Unaweka fence ya umemeElectric fence
Mkuu dada Ako akizivaa ananivutia sanaNunua uzivae
Mtafute tu maisha yenyewe mafupi 😂Dada taratibu utasababisha ni mtafute Mwamvita
Google hutakosa hata moja mkuuUko na picha hapo tuone?
Imagination imefeli....
😃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Aisee nilikutana na Mbena mmoja pande za Njombe ana shanga kama zote,halafu fundi balaa Binti yule wa Kibena.Mkuu bila shaka wewe ni mbena au nakosea?
Aiseee hawajui kuoga tena?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wote hao wakinga wanyakikyusa sijui wanyalu hamna kitu washamba sana kwenye hiyo sekta..Kanda ya Ziwa ndio yote kabisa hawajui hata kuoga [emoji1787][emoji1787]
Natamani nikuonekuna watu wanazichukia shanga kwasababu hazijavaliwa kiunoni [emoji23] ziko kama ziko kwenye mgomba wa Rombo mbele hazipo nyuma hazipo... unapata mwanamke ana kitambi afu kavaa shanga kibao zimechanganywa changanywaaa...
Nyie wakataa shanga em upate mtu ana kiuno halafu ana rangi ipo kati ya Mtume na Bronze ana mahips kaweka shanga ya Bronze Gold moja imekaza ingine imelegea... halafu urudi tena hapa kutengua kauli
Waliobuni huu urembo wamejua kuniteka hamna kitu inavutia kama kuona kiuno cha mrembo chenye ngozi soft kilichopambwa na tattoo au shanga laini zilizolala kwenye nyama ya laini ...kwa kweli hua zinanipagawisha hatari sana.
Ingawa sio wote wanaopendelea hii kitu ila mi bint ambae hajavaa naona kama hayupo romantic..ukimpapasa mtoto alie vaa shanga hisia zake mpaka kiutelezi kinaanza kuonekana juu ya mashavu yake soft yaliopigwa Topaz na mvuke hatari sana....View attachment 2116188View attachment 2116190View attachment 2116191
Naaaaaaaaaamkuna watu wanazichukia shanga kwasababu hazijavaliwa kiunoni [emoji23] ziko kama ziko kwenye mgomba wa Rombo mbele hazipo nyuma hazipo... unapata mwanamke ana kitambi afu kavaa shanga kibao zimechanganywa changanywaaa...
Nyie wakataa shanga em upate mtu ana kiuno halafu ana rangi ipo kati ya Mtume na Bronze ana mahips kaweka shanga ya Bronze Gold moja imekaza ingine imelegea... halafu urudi tena hapa kutengua kauli
Noma na mvua hizi