Ili asitukanwe ukubwan kwamba ana umbolessUnamuwekea shepu ili nani afaidi?
Yaani unamtengenezea mkulungwa akamfaidi mtoto wako!Ili asitukanwe ukubwan kwamba ana umboless
Ili asitukanwe ukubwan...ndicho nilichoandika mkuuYaani unamtengenezea mkulungwa akamfaidi mtoto wako!
Mi hayo mkuu siwezi kuyaruhusuIli asitukanwe ukubwan...ndicho nilichoandika mkuu
Changia ili tujue upo kundi la tabia ipi?.Hodi wakuu, hivi nikichangia huu uzi nitakuwa na tabia mbaya? [emoji848][emoji848]
Mi rangi sijajua kama zina maana naona urembo tuu mkuuHapa hapa mberee..
Unajua rangi za shanga zina maana?.
Changia mkuuHodi wakuu, hivi nikichangia huu uzi nitakuwa na tabia mbaya? [emoji848][emoji848]
Tayari anazo aina mbalimbali.. uchafu unakuaje mkuumnunulie mkeo/gfriend wakooo
asipozingatia usafiii nawe utakuwa mchafu
Dah mkuu kweli tupo tofauti mi nikiona shanga kiuononi na kikuku akikaa vibaya namkwiba mzimamzimaDah sijui ni ushamba wangu tu ila kuna vitu kama.
Shanga.
Kieleni puani
Bangili ya mguuni
Tattoo kwa mwanamke
Akijichubua
Nikiviona ivyo uyo mwanamke anapoteza kabisa ushawishi Kwangu.
Sawa mkuu. Mnunulie ili ufurahie na kupagawa zaidi.Mi rangi sijajua kama zina maana naona urembo tuu mkuu