latifu mohamed
Member
- May 1, 2017
- 20
- 16
- Thread starter
- #41
tunataka pawepo na sheria.Nicho taka ndiyo nini
tunataka pawepo na sheria.Nicho taka ndiyo nini
naona unazunguka tu. Kuwe na mamlaka ya usimamizi wa CCTV? haaa haaaa mamlaka itakuwa inafanya kazi gani. Mkuu kama umeenda gest chakarii ukavua nguo kwenye korido pambana tu na hali yakosheria lazima iweke mamlaka ambayo itakuwa inasimamia hizo camera
Malaysia nilikuta kamera imefungwa chumba vha kulala. Chooni tu ndio hamna Kamera.Kumeibuka tabia ya kila mtu anafunga CCTV camera kwenye maeneo ya biashara au nyumba ya kuisha mfano mtu anafunga CCTV camera kwenye eneo la baa au nyumba ya kulala wageni na Hakuna sheria au muongozo ambao umewekwa na serikali kusimamia matumizi ya hizo camera mwisho siku unakuta haki za binadumu (haki ya faragha) inafunjwa kwani serikali imeshindwa kutunga sheria ambayo itaweza kutoa muongozo wa matumizi ya CCTV camera. Matokeo yake CCTV camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.
kuna umuhimu wa kutunga sheria kuweka utaratibu kuakikisha kukua kwa TEHAMA hakufunji haki ya faragha kama ilivyotamkwa na Ibara 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
Kumeibuka tabia ya kila mtu anafunga CCTV camera kwenye maeneo ya biashara au nyumba ya kuisha mfano mtu anafunga CCTV camera kwenye eneo la baa au nyumba ya kulala wageni na Hakuna sheria au muongozo ambao umewekwa na serikali kusimamia matumizi ya hizo camera mwisho siku unakuta haki za binadumu (haki ya faragha) inafunjwa kwani serikali imeshindwa kutunga sheria ambayo itaweza kutoa muongozo wa matumizi ya CCTV camera. Matokeo yake CCTV camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.
kuna umuhimu wa kutunga sheria kuweka utaratibu kuakikisha kukua kwa TEHAMA hakufunji haki ya faragha kama ilivyotamkwa na Ibara 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
Ungehoji kama wanasera zao au ungeipiga plaster kama ulikua na plan ya kunyandua jeKwan zimefungwa chumbani ndug?
Mkuu tatizo ni uelewa wako juu ya haya mambo tu.Kumeibuka tabia ya kila mtu anafunga CCTV camera kwenye maeneo ya biashara au nyumba ya kuisha mfano mtu anafunga CCTV camera kwenye eneo la baa au nyumba ya kulala wageni na Hakuna sheria au muongozo ambao umewekwa na serikali kusimamia matumizi ya hizo camera mwisho siku unakuta haki za binadumu (haki ya faragha) inafunjwa kwani serikali imeshindwa kutunga sheria ambayo itaweza kutoa muongozo wa matumizi ya CCTV camera. Matokeo yake CCTV camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.
kuna umuhimu wa kutunga sheria kuweka utaratibu kuakikisha kukua kwa TEHAMA hakufunji haki ya faragha kama ilivyotamkwa na Ibara 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
Malaysia nilikuta kamera imefungwa chumba vha kulala. Chooni tu ndio hamna Kamera.