Matumizi ya CCTV camera Tanzania na uvunjifu wa haki ya faragha

sheria lazima iweke mamlaka ambayo itakuwa inasimamia hizo camera
naona unazunguka tu. Kuwe na mamlaka ya usimamizi wa CCTV? haaa haaaa mamlaka itakuwa inafanya kazi gani. Mkuu kama umeenda gest chakarii ukavua nguo kwenye korido pambana tu na hali yako
 
Kumeibuka tabia ya kila mtu anafunga CCTV camera kwenye maeneo ya biashara au nyumba ya kuisha mfano mtu anafunga CCTV camera kwenye eneo la baa au nyumba ya kulala wageni na Hakuna sheria au muongozo ambao umewekwa na serikali kusimamia matumizi ya hizo camera mwisho siku unakuta haki za binadumu (haki ya faragha) inafunjwa kwani serikali imeshindwa kutunga sheria ambayo itaweza kutoa muongozo wa matumizi ya CCTV camera. Matokeo yake CCTV camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.

kuna umuhimu wa kutunga sheria kuweka utaratibu kuakikisha kukua kwa TEHAMA hakufunji haki ya faragha kama ilivyotamkwa na Ibara 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
Malaysia nilikuta kamera imefungwa chumba vha kulala. Chooni tu ndio hamna Kamera.
 
Kumeibuka tabia ya kila mtu anafunga CCTV camera kwenye maeneo ya biashara au nyumba ya kuisha mfano mtu anafunga CCTV camera kwenye eneo la baa au nyumba ya kulala wageni na Hakuna sheria au muongozo ambao umewekwa na serikali kusimamia matumizi ya hizo camera mwisho siku unakuta haki za binadumu (haki ya faragha) inafunjwa kwani serikali imeshindwa kutunga sheria ambayo itaweza kutoa muongozo wa matumizi ya CCTV camera. Matokeo yake CCTV camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.

kuna umuhimu wa kutunga sheria kuweka utaratibu kuakikisha kukua kwa TEHAMA hakufunji haki ya faragha kama ilivyotamkwa na Ibara 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.

Kwan zimefungwa chumbani ndug?
 
Kumeibuka tabia ya kila mtu anafunga CCTV camera kwenye maeneo ya biashara au nyumba ya kuisha mfano mtu anafunga CCTV camera kwenye eneo la baa au nyumba ya kulala wageni na Hakuna sheria au muongozo ambao umewekwa na serikali kusimamia matumizi ya hizo camera mwisho siku unakuta haki za binadumu (haki ya faragha) inafunjwa kwani serikali imeshindwa kutunga sheria ambayo itaweza kutoa muongozo wa matumizi ya CCTV camera. Matokeo yake CCTV camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.

kuna umuhimu wa kutunga sheria kuweka utaratibu kuakikisha kukua kwa TEHAMA hakufunji haki ya faragha kama ilivyotamkwa na Ibara 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
Mkuu tatizo ni uelewa wako juu ya haya mambo tu.

Sehemu yoyote ambayo haimilikiwi na wewe hauwezi kuingilia utaratibu wa sehemu hiyo.

Umeenda dukani kwa mtu hapamilikiwi na wewe hivyo muache mmiloki afanye awezavyo kuimarisha ulinzi.

Umeenda baa umekuta CCTV komaa nayo tu kwa sababu ungetaka faragha ungejifungia chumbani tena kuwe kwako.

Siku CCTV zikija kufungwa chumbani kwako au chooni kwako bila ridhaa yako unayo haki ya kulalamika sana tu kwa sababu wewe ndio mmiliki.
 
soma ibara ya 16 ibara ndogo ya 2 ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya1977. inajibu kahuri yako.
 
Malaysia nilikuta kamera imefungwa chumba vha kulala. Chooni tu ndio hamna Kamera.

Mkuu acha maksihara!! ilikuwa Kwenye hotelini au nyumbani kwa mtu.
Hatari sana kuna jamaa yangu alienda Hungary semina ya Kama miezi 2 akawa anakaa Kwenye hostel siku za mwishoni akaja kugundua kuna kamera alikuwa anarekodiwa jamaa alimaind kishenzi ila ndio akawa anarudi bongo
 
Back
Top Bottom