latifu mohamed
Member
- May 1, 2017
- 20
- 16
- Thread starter
- #21
sipingi tunataka sheria ambayo itataja maeneo ambayo hizo camera zinatakiwa kufungwa siyo kila mtu anafunga anavyo jisikia.Utakuja kupinga hata Camera za mtaani ni maendeleo hayo na kuwa na ulinzi kwa mfumo wa kisasa nimedokezwa pia ndege nyingi zimefungwa Camera kwenye vyoo ila abiria hawezi kuiona hiyo inatoka na mambo ya Ugaidi kuenea kwa kasi...