Matumizi ya CCTV camera Tanzania na uvunjifu wa haki ya faragha

May 1, 2017
18
11
Kumeibuka tabia ya kila mtu anafunga CCTV camera kwenye maeneo ya biashara au nyumba ya kuisha mfano mtu anafunga CCTV camera kwenye eneo la baa au nyumba ya kulala wageni na Hakuna sheria au muongozo ambao umewekwa na serikali kusimamia matumizi ya hizo camera mwisho siku unakuta haki za binadumu (haki ya faragha) inafunjwa kwani serikali imeshindwa kutunga sheria ambayo itaweza kutoa muongozo wa matumizi ya CCTV camera. Matokeo yake CCTV camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.

kuna umuhimu wa kutunga sheria kuweka utaratibu kuakikisha kukua kwa TEHAMA hakufunji haki ya faragha kama ilivyotamkwa na Ibara 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
 
Wacha ziendelee kutumika hadi kwenye mabanda yetu ya kuku, ng'ombe na bustuni za matunda na mbogamboga.... maana watu wawalikua wanaibiwa vyotefaida na mtaji😅😅😅

Huko kwengine kunakoitwa kwenye faragha kuwe na utaratibu wake wa wapi ziwekwe kwa usalama wa wote watoa huduma na walaji
 
Kumeibuka tabia ya kila mtu anafunga cctv camera kwenye maeneo ya biashara au nyumba ya kuisha mfano mtu anafunga cctv camera kwenye eneo la baa au nyumba ya kulala wageni na Hakuna sheria au muongozo ambao umewekwa na serikali kusimamia matumizi ya hizo camera mwisho siku unakuta haki za binadumu (haki ya faragha) inafunjwa kwani serikali imeshindwa kutunga sheria ambayo itaweza kutoa muongozo wa matumizi ya cctv camera.
matokeo yake cctv camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.

kuna umuhimu wa kutunga sheria kuweka utaratibu kuakikisha kukua kwa teama hakufunji haki ya faragha kama ilivyo tamkwa na ibara 16 ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya 1977.
Kwanza sababu ni za kiusalama kulinda eneo kwa taharuki zikitokea so usalama ni muhimu, pia kutunza kumbukumbu za mauzo matajiri wengi wanaibiwa sana mahesabu
 
Kweli kabisa mkuu maana serikali isipo weka utaratibu, itafika wakati kwenye mahotel watafunga adi chooni au chumban matokeo yake camera zitarecord Kaz maalm za Siri.......
Kumeibuka tabia ya kila mtu anafunga CCTV camera kwenye maeneo ya biashara au nyumba ya kuisha mfano mtu anafunga CCTV camera kwenye eneo la baa au nyumba ya kulala wageni na Hakuna sheria au muongozo ambao umewekwa na serikali kusimamia matumizi ya hizo camera mwisho siku unakuta haki za binadumu (haki ya faragha) inafunjwa kwani serikali imeshindwa kutunga sheria ambayo itaweza kutoa muongozo wa matumizi ya CCTV camera. Matokeo yake CCTV camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.

kuna umuhimu wa kutunga sheria kuweka utaratibu kuakikisha kukua kwa TEHAMA hakufunji haki ya faragha kama ilivyotamkwa na Ibara 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977l
 
Utakuja kupinga hata Camera za mtaani ni maendeleo hayo na kuwa na ulinzi kwa mfumo wa kisasa nimedokezwa pia ndege nyingi zimefungwa Camera kwenye vyoo ila abiria hawezi kuiona hiyo inatoka na mambo ya Ugaidi kuenea kwa kasi...
 
Miaka ya 2008 Kuna jamaa alifunga kamera kwenye chumba Cha gesti alichokua anakiuza kwa watu wa mchana short time . Akiingia mtu na demu wake au chele mhudumu anawaita watu kutoka kijiweni waje waangalie mchezo kwa gharama ya buku.
Wateja waliokuja kugundua huo mchezo walihama mtaa.
 
Kumeibuka tabia ya kila mtu anafunga CCTV camera kwenye maeneo ya biashara au nyumba ya kuisha mfano mtu anafunga CCTV camera kwenye eneo la baa au nyumba ya kulala wageni na Hakuna sheria au muongozo ambao umewekwa na serikali kusimamia matumizi ya hizo camera mwisho siku unakuta haki za binadumu (haki ya faragha) inafunjwa kwani serikali imeshindwa kutunga sheria ambayo itaweza kutoa muongozo wa matumizi ya CCTV camera. Matokeo yake CCTV camera zinafungwa kwenye maeneo ambayo siyo sahii kufungwa.

kuna umuhimu wa kutunga sheria kuweka utaratibu kuakikisha kukua kwa TEHAMA hakufunji haki ya faragha kama ilivyotamkwa na Ibara 16 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
Wazo lako zuri utatuokoa tunaoiba wake za watu na kupitanao barabarani kufanya shoping'i, zile za Mnazimmoja ziondolewe.
 
Miaka ya 2008 Kuna jamaa alifunga kamera kwenye chumba Cha gesti alichokua anakiuza kwa watu wa mchana short time . Akiingia mtu na demu wake au chele mhudumu anawaita watu kutoka kijiweni waje waangalie mchezo kwa gharama ya buku.
Wateja waliokuja kugundua huo mchezo walihama mtaa.
tunataka kuwepo na sheria ambayo itatoa taratibu na adhabu kwa mtu atakaye funga camera na kuzitumia kinyuma na matakwa ya sheria.
 
Wacha ziendelee kutumika hadi kwenye mabanda yetu ya kuku, ng'ombe na bustuni za matunda na mbogamboga.... maana watu wawalikua wanaibiwa vyotefaida na mtaji😅😅😅

Huko kwengine kunakoitwa kwenye faragha kuwe na utaratibu wake wa wapi ziwekwe kwa usalama wa wote watoa huduma na walaji
kutumika zitumike lakini tuwe na sheria ambayo itatengeneza mazingira mazuri matumizi ya hizo camera.
 
kwenye biashara ya mtu ni faragha?camera inafungwa kwenye coridor sio chumbani. Wewe unavua nguo kuanzia kwenye coridor?
sawa zimefungwa kwenye coridor unajua baada ya hizo kurekodiwa hakuna mtu anayejua hizo taarifa zinapelekwa wapi na zinahifadhiwa kwa mda gani Tunataka sheria ambayo itatupa muongozo.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom