Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 15,529
- 27,584
Mkuu haya mambo sio ya kujadili juujuu tu.Ni saa ngapi mtu atatekwa tuamini na ni saa ngapi mtu atatekwa tupuuze wakati kuna waliotekwa na wakatoweka hadi leo hawajaonekana!
Nahisi ni hawa hawa watekaji ndio wanacheza na akili za watu wakitumia advantage ya serikali kutokufanya uchunguzi japo kwa serikali tukio lolote wanatakiwa kulichukulia seriously.
Kwa kuwa wanaotekwa ni watu wanaoonekana kuikosoa serikali hii inatufanya tuamini kuwa ni wao ndio washukiwa wakuu wa uhalifu huu.
Kuna siri nzito ambayo mimi na wewe hatuijui.
Tuombee taifa letu amani tu.