Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,139
- 6,050
Mimi nakuja sana Zenji na kila nikija nakutana na vituko vipya vya kijinga. Mwaka huu nilikutana na mtu kafuatwa kwake na kutolewa nje kuchapwa viboko na vijana waliokariri Qur'an kisa eti alikuwa anakula ndani ya nyumba yake wakati wa mfungo wa Ramadhani, kama si ujinga huu ni nini? Kufunga si lazima, vijana hawataki kufanya kazi eti wanapita mitaani kusaka watu wasile, kwa kweli nilishangaa sana. Mashoga wengi wa Dar/Bara wanatoka Pemba, Zanzibar, na Tanga....sehemu zilizoshamiri vijana wasiopenda kufanya kazi.Acha uzwazwa wewe, kama hujui basi ushoga umeshamiri sana Bara. Kama tatizo ni dini si kila mtu na dini yake, kakariri na wewe Biblia kwani kuna mtu kakukataza. Kama ni vijana hawataki kazi kwani wapi walilazimisha kuajiriwa bara?
Kumbe nawe ni miongoni mwa mnaosema waarabu wabaya, then mwisho wa siku mnawakimbilia hao hao kutaka mikopo! Tumia akili iliyomo kichwani mwako kufikiria na sio kutumia kichwa chako kufugia nywele tu! Mambo yamebadilika na kizazi cha mwaka 47 sio hiki cha 2000.