Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Kwa nini wewe kijana ukubali kutumiwa? Je wewe unayekubali kutumiwa unafanya CBA???
Kumbuka, atakayeteseka ni wewe unayekubali kutumiwa pamoja na familia yako..... Wakati huo wanakutumia watakuwa Ubelgiji .....
Acha hixo propaganda za Lumumba street! Una maana gani kutumiwa? Hii ni nchi yenye mfumo wa Multipartism Kwanini KIJANA anaye support Chama pinzani ndo aonekana anatumiwa lakini aliyeko CCM aonekana hatumiwi? Acha akili za matope brother. Watz siyo wajinga! They know each and everything WHAT CCM is doing to harrass opposition parties in both Tanzania Mainland and Tanzania Island!!!