Zanzibar 2020 MATUKIO KATIKA PICHA NA VIDEO: Yaliyojiri visiwani Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu 2020

Kuna mahali kama Taifa tunapatamani kweli kufika, ila tunaenda vizuri sana, tutapafika tu! Dola na uongozi kazaneni tumekaribia kupafika, ni juhudi kidogo tu zinatakiwa mwishoni hapa.
Toka nyuma ya kibod kaongeze nguvu
 
Hakuna mwaka wowote CCM ilishinda Zanzibar pia kuanzia mwaka 1992 CCM hawajawahi kushinda uchaguzi zaidi ya KUIBA

Huu ni Ukweli mchungu na CCM Wote na Magufuli wao wanalijua hili! Kilichobakia ni kubaka Demokrasia ya Zanzibar kwa kupandikiza Vibaraka wa CCM kutokea Bara!
 
UPDATES: Kwenye tukio la kuuawa watu watatu kwenye kijiji cha Kangagani, jimbo la Ole, kaskazini Pemba, mpasha habari wetu aliyeko kwenye eneo la tukio ametujulisha hivi punde taarifa za waliouawa kwamba wote walipigwa risasi wakiwa majumbani ama vibarazani:

1. Bi Asha Haji Hassan mwenye umri wa miaka 33 ameuawa wakati akitoka nyumbani kwa baba yake kwenda nyumbani kwake. Bi Asha ameacha mume na watoto sita.

2. Yussuf Shaame Muhiddin mwenye umri wa miaka 27 ameuawa wakati akiwa barazani anacheza keramu na wenzake. Hana mke wala watoto.

3. Komba Hamad Salum (maarufu Kipigi) mwenye umri wa miaka 30, naye alikuwa barazani pake wakati alipopigwa risasi na kuuawa. Ameacha mke na watoto watatu.

Kwa upande wa majeruhi, ambapo hadi sasa idadi inayofahamika ni tisa, ni hawa wafuatao:

1. Abbas Haji Nyange (miaka 27), amepigwa risasi wakati akichota maji kwenye mfereji nyumbani kwake. Utumbo umetoka nje, na kwa sasa amewahishwa Hospitali ya Vitongoji.
2. Bakari Khamis Bakari (miaka 55)
3. Mukhtar Yahya Hassan (mtoto wa miaka 16)
4. Khamis Mohammed Mmanga (miaka 40)
5. Hassan Kombo Ali (mtoto wa miaka 13)
6. Abbas Mgau Ali (miaka 22)
7. Mgau Omar Mgau (miaka 35)
8. Hamad Omar Hamad (miaka 20)
9. Ali Hamad Seif (16)

Hadi tunakwenda hewani, bado maiti zote zipo kijijini Kangagani na baadhi ya majeruhi wameshindikana kupelekwa hospitalini kwa sababu ya kutanda maaskari kwenye barabara za kuelekea Chake Chake, Vitongoji na Wete.

Weyani TV itakuwa inakuletea muhtasari wa mwenendo wa mambo kama yanavyojiri na kupokelewa na dawati letu la habari.
 
Mzee Mwinyi ulishapata urais wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwanao amekuwa mbunge na waziri kwa miaka mingi.

Leo hii majeshi yanaua watu Zanzibar ili mtawale. Mnataka nini ninyi kizazi cha nyoka?

Masultani weusi washennxx na waroho wa Madaraka. Mungu anawaona na iko siku Damu hii watailipia!!!
 
Hivi hawa wanaojaribu kupambana na dola kwa kuvunja sheria kwa makusidi huwa kweli mnafanya cost benefit analyis?

Cost = kufungwa / kupata kilema cha maisha / kufa
Benefit = ???

Yes kuna watu wanakasirika sna kukumbushwa ukweli huu. Lakini ndivyo hivyo. Wale wanaowahamisha mtoke wenyewe hata hawako front line. Ni wewe na familia yako ndio mtakaobeba cost hiyo. Tafakari, achana na mihemko
 
Zanzibar Mungu atuepushe na haya yanayoendeleaView attachment 1613748View attachment 1613749View attachment 1613747View attachment 1613750View attachment 1613751View attachment 1613752
20201027_123445.jpg
View attachment 1613753View attachment 1613754
 
Askari unalipwa laki mbili na sabini Kama mshahara nyongeza Hakuna unatumika na watawala kuuwa watz wenzako kwa faida ya tumbo la mtawala. Unahatarisha maisha ya familia yako ndugu zako au wazazi wako kwa ajili ya tumbo la mtawala ambae anakunyima haki yako hakuna nyongeza za mishahara, kikokotoo, mafao kiduchi. Niliona ni heri nilime mchicha kuliko kuwa mtumwa wa mtawala.
 
Hivi hawa wanaojaribu kupambana na dola kwa kuvunja sheria kwa makusidi huwa kweli mnafanya cost benefit analyis?

Cost = kufungwa / kupata kilema cha maisha / kufa
Benefit = ???

Cost Benefit Analysis is not only for the Citizens. Je, Dola wamefanya hiyo CBA kabla ya kuanza kuwafyatulia Risasi za Moto raia wasio hatia?
Je, hivi siku hizi Polisi wetu hawana Mabomu ya Machozi na Maji ya Washawasha??? KWANINI WANATUMIA RISASI ZA MOTO?
 
Back
Top Bottom