Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Kwa vyovyote vile haiwezekani kura zisizozidi laki kuhesabiwa zaidi ya masaa mawili....
Tatizo ni tume ya uchaguzi na siasa uchwara za chama tawala.
 
Kwa vyovyote vile haiwezekani kura zisizozidi laki kuhesabiwa zaidi ya masaa mawili....
Tatizo ni tume ya uchaguzi na siasa uchwara za chama tawala.
Je ikitangazwa CDM imeshinda, utapinga matokeo?
 
Nafurahi jambo moja tu; hata kama CCM itashinda, ukweli utabaki kuwa WANANCHI wamebadilika na kuonesha kuwa Igunga ya uchaguzi mdogo wa mwaka 1994 (alipofariki waziri Kabeho) siyo ya sasa hivi. CCM imetumia nguvu nyingi kuliko matokeo inayoyapata. CHADEMA tukishindwa tusikate tamaa, ukombozi hauji siku moja. Nampongeza Mwalimu Kashindye kwa matokeo yoyote atakayoyapata.
 
Matokeo bado watanzania tusubiri chama chochote kinaweza kushinda tu, CUF, UPDP, CDM, CCM, UMD
 
KAMA KWELI KAKANA KITU BASI HICHI KIJITOTO CHA MZEE NNAUYE HAFAI HATA KUSHIKA NAFASI YA UKATIBU KATA!!!!!!!!!!!

Ni Jana usiku tu ambapo kiongozi mmoja wa ngazi ya juu sana kwenye Chama Cha Mapinduzi alipoibuka na orodha ndefu ya takwimu alioita MATOKEO RASMI YA UCHAGUZI WA IGUNGA na kutumwagia hapa jamvini huku akitamba na maneno ya kejeli kwa watu aliowaita 'PEOPLE'S POWER sasa kwishni', leo hii akaikane kama vile anachezea akili watoto wadogo???????????

Kwa kweli inashangaza mno kusikia eti kakana ile THREAD alioanzisha na baadaye MOD wa zamu kuanza kuikimbiza hovyo kwenda kuificha uvunguni ambapo tayari tumeshaunyonya yote.

Ripoti ya Nape ilinisababishia usumbufu mkubwa, kunipunguzia sana imani kwa Tume ya uchaguzi kana kwamba ni chombo geresha tu hivyo hata chochote watakachokitangaza, mimi kama mpiga kura wa nchi hii, si imani nayo hata kidogo kwa kuwa afisa mkubwa sana ndani ya CCM alinifanya niamini vinginevyo.

Ninaamini wapo watu wengi sana wanaojikuta katika hali hii nilionayo hivi sasa kote nchini hivyo zoezi zima Igunga haina tena any legal credibility and democratic legitimacy pindi mshindani anapojigeuza refarii.

Ukigeugeu kwa kiongozi wa ngazi ya juu kiasi hicho cha Nape kwa Wana-CCM ambaye kauli yale yoyote ile, in publi or private, huchukuliwa kuwa ni OFFICIAL POSITION ya chombo anachokiwakilisha, ni jambo la hatari mno!!!

Kama kweli anadiriki kukana waka
THREAD yake nzima tulishaihifadhi mbali kabisa kutokana na hiyo BLANDER YA KISHERIA aliyoifanya basi huyu kijana wa Mzee Nnauye HAFAI hata kushika nafasi ya UKATIBU KATA - ovyo kabisa hamna kitu pale.

Nape na CCM kweli mnaleta 'mzaha za akina Rage na bunduki kuwarukia viunoni bila kutambua' katika masuala nyeti kama haya ya uchaguzi.

Kama haujui maana ya kosa la KIUFUNDI ulilolitenda basi nenda ukamuulize Mzee Mukama atakuelewesha pengine kwa kukulambisha kibao cha uso maana mpaka hapa
KUNA KILA DALILI uchaguzi wa Igunga kuingia DOSARI KUBWA hivyo kuhitaji tafsiri za hali ya juu kisheria.

NB: Na mpaka hapa ni vema ikaeleweka wazi kwamba KITU CHOCHOTE MATANGAZO YA MATOKEO YA UCHAGUZI kwa jina la Jimbo la Igunga KAMWE HAYAWEZI KUAMINIKA tena na mtu yeyote mwenye akili timamu na ufahamu wa sheria za uchaguzi.

Nape na CCM tayari mmeingiza taifa kwenye HASARA kubwa katika hili.
 
zittokabwe @mwakamele from our collection it seems we have lost this
battle (not the war)
 
Wajikoni Updates!!
CDM wanaongoza kwa zaidi ya kura 20,000 mpaka sasa bado kata 3
 
Kama mnatushawishi kuwa huu ndo utaratibu wa kutangaza matokeo basi lazma CCM itashinda, CUF hata kama imepata kura sifuri, hiyo sifuri ni lazma iandikwe, sifuri ni namba/takwimu muhimu pia sio kama ilivyo hapa epmty kabisa. Something fishy is going on here. N kama mnasema kuwa taarifa hizi zinatoka kwa Nape, basi huyo Nape atakuwa tu anatatizo.
 
its so sad kuona matokeo ya jimbo moja yakichukua zaidi ya 12hrs kutangazwa.Aibu kubwa kwa tume ya uchaguzi
 
sifa ya mwanasiasa ni kusoma nyakati na kutumia rejea kama silaa kwa baadae. sipati picha uchaguzi 2015
 
KAMA KWELI KAKANA KITU BASI HICHI KIJITOTO CHA MZEE NNAUYE HAFAI HATA KUSHIKA NAFASI YA UKATIBU KATA!!!!!!!!!!!

Ni Jana usiku tu ambapo kiongozi mmoja wa ngazi ya juu sana kwenye Chama Cha Mapinduzi alipoibuka na orodha ndefu ya takwimu alioita MATOKEO RASMI YA UCHAGUZI WA IGUNGA na kutumwagia hapa jamvini huku akitamba na maneno ya kejeli kwa watu aliowaita 'PEOPLE'S POWER sasa kwishni', leo hii akaikane kama vile anachezea akili watoto wadogo???????????

Kwa kweli inashangaza mno kusikia eti kakana ile THREAD alioanzisha na baadaye MOD wa zamu kuanza kuikimbiza hovyo kwenda kuificha uvunguni ambapo tayari tumeshaunyonya yote.

Ripoti ya Nape ilinisababishia usumbufu mkubwa, kunipunguzia sana imani kwa Tume ya uchaguzi kana kwamba ni chombo geresha tu hivyo hata chochote watakachokitangaza, mimi kama mpiga kura wa nchi hii, si imani nayo hata kidogo kwa kuwa afisa mkubwa sana ndani ya CCM alinifanya niamini vinginevyo.

Ninaamini wapo watu wengi sana wanaojikuta katika hali hii nilionayo hivi sasa kote nchini hivyo zoezi zima Igunga haina tena any legal credibility and democratic legitimacy pindi mshindani anapojigeuza refarii.

Ukigeugeu kwa kiongozi wa ngazi ya juu kiasi hicho cha Nape kwa Wana-CCM ambaye kauli yale yoyote ile, in publi or private, huchukuliwa kuwa ni OFFICIAL POSITION ya chombo anachokiwakilisha, ni jambo la hatari mno!!!

Kama kweli anadiriki kukana waka
THREAD yake nzima tulishaihifadhi mbali kabisa kutokana na hiyo BLANDER YA KISHERIA aliyoifanya basi huyu kijana wa Mzee Nnauye HAFAI hata kushika nafasi ya UKATIBU KATA - ovyo kabisa hamna kitu pale.

Nape na CCM kweli mnaleta 'mzaha za akina Rage na bunduki kuwarukia viunoni bila kutambua' katika masuala nyeti kama haya ya uchaguzi.

Kama haujui maana ya kosa la KIUFUNDI ulilolitenda basi nenda ukamuulize Mzee Mukama atakuelewesha pengine kwa kukulambisha kibao cha uso maana mpaka hapa
KUNA KILA DALILI uchaguzi wa Igunga kuingia DOSARI KUBWA hivyo kuhitaji tafsiri za hali ya juu kisheria.

NB: Na mpaka hapa ni vema ikaeleweka wazi kwamba KITU CHOCHOTE MATANGAZO YA MATOKEO YA UCHAGUZI kwa jina la Jimbo la Igunga KAMWE HAYAWEZI KUAMINIKA tena na mtu yeyote mwenye akili timamu na ufahamu wa sheria za uchaguzi.

Nape na CCM tayari mmeingiza taifa kwenye HASARA kubwa katika hili.


Umepata pa kupumulia. Mambo ya Igunga hayo, pole sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom