Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Hii ni kweli kabisa, hata uchaguzi wa october kwenye jimbo la "waziri kivuri" K4C ilikuwa hivi hivi hadi wakasababisha dada wa watu kuchanganyikiwa.

Mpaka kieleweke,hope u knw what it means.
Haujaandika bdo
 
‎Mpya toka Igunga:

Mh Halima Mdee muda mfupi uliopita, amekamata masanduku yenye kura feki huko Choma! Pia aliyekuwa diwani wa Igunga Mama Ngessy anashikiliwa na polisi kwa kukutwa nyumbani kwake akiwa na masanduku yenye kura feki!

Vigogo wa CCM leo asubuhi wote wametoweka Igunga na kurejea Dar!
Watakuwa wamehamia mstuni kule ambako Helkopta ilipotelea ili wachakachue matokeo kwa njia ya mtandao, baada ya hapo watatoweka kiana, Chdema kazeni uzi kabeni hadi penati.
 
BREAKING NEWS LIVE FROM IGUNGA! KATA YA SIMBO-KITUO CHA UMOJA SS -CCM 3, CDM 84, CUF 1. KITUO CHA USHIRIKA CCM 26 CDM 86, KITUO CHA ZIBA CCM 42 CDM 400. HUKO SIMBO WAMESHACHINJA NG'OMBE WATATU MATOKEO MENGINE NTAENDELEA KUWAPASHA! LKN CCM IMESHINDWA VIBAYA!
kwa mujibu wa diwani wa ARUSHA aliyeko Igunga
Nanyaro Ephata
Tumemkamata mgambo akiwa kwenye foleni ya kupiga kura huku akitoa rushwa ya shs 5,000/= kata ya Swingizi, baada ya kumweka chini ya ulinzi, tukamkuta na shs laki saba, kwa sasa anashikiliwa na polisi, anasema alitumwa na viongozi wa CCM

Nchemba anapita kila kituo anamwita msimamizi na kumpa hela, kwa sasa amedhibitiwa na vijana wetu


Huyo Mgambo ana bahati saana, alitakiwa asiweze hata kuona kituo cha polisi, bali 'atangulie' mwalimu. Tumechoshwa na wizi na umafia wa CCM na punguwani inaowatumia kutokana na njaa na matumbo makubwa, wanaogopa kitachotokea. Ole wao, kilichotokea Zambia, Mh Satta aliimba wimbo na kauli moja tu "HAKUNA KUIBA" hawakumuelewa, na sasa wameitambua kauli yake. Na CHADEMA inasema 'HAKUNA KUIBA" kwa kauli hii CCM haitakaa ishinde hata uchaguzi ndani ya chama chao wenyewe, sembuse kupigiwa kura kwa haki na watanzania! Hakuna gamba la kuvua CCM, ni kufa tu!
 
There are currently 975 users browsing this thread. (313 members and 662 guests)
 
Mbona mmeondoka kabisa Igunga???? Ila mnasilaha kali, leo mkaona mtumie Mvua kabisa duh!!!!
 
Mimi nasubiri matokeo ya mwisho.UZURI SINA CHAMA.
 
CCM 71 37 41 40 63 80 31 59 79 7 65 47 Jumla 620 CHADEMA 91 109 95 47 63 75 59 21 84 19 75 92 Jumla 830 Hivyo ni vituo 12 hadi sasa ,,usiwe mbali mkuu na JF kwa matokeo zaidi,,,source ni ITV na Reinfredy masako na Ufoo Chaloo.
 
Breaking News: Uchaguzi kurudiwa, Vijana wa Red brigades wamesepa na masanduku ya kura katika vituo sita.
 
itakuwa ishara njeama ya mabadiliko nchini kama chadema itachukua jimbo la igunga...CCm ni wababaishaji, wanafiki wakubwa...watu gani wanaodanganya raia wao kama watoto wadogo...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom