BREAKING NEWS LIVE FROM IGUNGA! KATA YA SIMBO-KITUO CHA UMOJA SS -CCM 3, CDM 84, CUF 1. KITUO CHA USHIRIKA CCM 26 CDM 86, KITUO CHA ZIBA CCM 42 CDM 400. HUKO SIMBO WAMESHACHINJA NG'OMBE WATATU MATOKEO MENGINE NTAENDELEA KUWAPASHA! LKN CCM IMESHINDWA VIBAYA!
kwa mujibu wa diwani wa ARUSHA aliyeko Igunga
Nanyaro Ephata
Tumemkamata mgambo akiwa kwenye foleni ya kupiga kura huku akitoa rushwa ya shs 5,000/= kata ya Swingizi, baada ya kumweka chini ya ulinzi, tukamkuta na shs laki saba, kwa sasa anashikiliwa na polisi, anasema alitumwa na viongozi wa CCM
Nchemba anapita kila kituo anamwita msimamizi na kumpa hela, kwa sasa amedhibitiwa na vijana wetu