Nimekutana na matokeo haya ya mikoa, ya kwanza ni kwa ufaulu wa division 1 hadi 3, ya pili ni division 1 hadi 4, Matokeo nayoamini yanaonyesha ufaulu wa uhakika ni division 1 hadi 3.
1. Division 1 hadi 3
Top 3 zote zinaenda mikoa ya kaskazini na wala hakuna kelele.
2. Division 1 hadi 4
matokeo ya ufaulu yanapendeza sana, Nchi nzima 94% ya wanafunzi (wanafunzi 94 katika kila wanafunzi 100) wamefaulu.
Ni kweli huwa kuna wanafunzi wa nje ya mkoa husika lakini hili ni jambo la kawaida kwa mikoa yote, idadi ya wanafunzi wageni haizidi 10% ya wanafunzi wote katika shule zote, wageni hupatikana zaidi katika shule chache za vipaji maalum na shule binafsi zinazofanya vizuri kitaifa.
1. Division 1 hadi 3
Top 3 zote zinaenda mikoa ya kaskazini na wala hakuna kelele.
2. Division 1 hadi 4
matokeo ya ufaulu yanapendeza sana, Nchi nzima 94% ya wanafunzi (wanafunzi 94 katika kila wanafunzi 100) wamefaulu.
Ni kweli huwa kuna wanafunzi wa nje ya mkoa husika lakini hili ni jambo la kawaida kwa mikoa yote, idadi ya wanafunzi wageni haizidi 10% ya wanafunzi wote katika shule zote, wageni hupatikana zaidi katika shule chache za vipaji maalum na shule binafsi zinazofanya vizuri kitaifa.