Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Status
Not open for further replies.
Shule zipi? Hao waislamu wako wa kufikirika wakati wanaomba kuingia kwene hizo shule za Kikristu hawakujua kwamba wanaingia shule za kikristu?

Hata hivyo kutokana na wingi wa shule za waislamu kwa sasa pamoja na shule za serikali za kata,wakristu wasitegemee kupata waislam ktk shule zao
 

Kwenye EPA!Jeetu Patel, Farijala Husein,Rajab Maranda,Zakia Meghji....niendelee kutaja?

Hao unaowataja mkuu Dr Slaa anawakataa anasema "wamo kwenye ile list ya mafisadi wa mwembe yanga" na kuwa hao ni changa la macho tu!!!! Nadhani unamwamini Dr kuwa hawezi kusema uowongo au kutafuna maneno.
 
Anti Christ spirit in action

What do you mean N-Handsome? who is anti Christ here? Namheshimu sana Jesus na namfeel kwani hata kwenye Quraan ametajwa yeye ni mtume wa Mungu na nidhambi kumdhihaki kwa namna moja au nyingine mtume yeyete wa Mungu. Nasaha zangu ni kuwa ukiwa Muislam usithubutu kutoa maneno machafu juu ya nabii Issa kwa kufanya hivyo utakuwa umemtukana Mungu aliemleta kueneza injili ambayo ndani ya quraani imo!
 
Crap!! Prejudices....una bomoa zaidi badala ya kujenga Taifa hili...Mchango wako ni wa chuki na hauna maendeleo katika nchi yetu!!!
Imekuuma au imekukuna? Huo ndio ukweli subiri utaona mwenyewe ili mradi uwe mfuatiliaji ndipo unaweza kugundua hili. Na kama wewe uko kwenye clan hiyo jichunguze utashangaa kwamba na wewe ni mlalamishi. Umerithi wapi? kule kule middle east.
 
Hata hivyo kutokana na wingi wa shule za waislamu kwa sasa pamoja na shule za serikali za kata,wakristu wasitegemee kupata waislam ktk shule zao

Sasa ndio umejibu nini? taratibu naanza kuelewa wale wanaosema kwamba huenda tatizo la uelewa miongoni mwa waislamu is genetic.
 
Ndugu zangu Waislam upumbavu ni tusi ila ujinga si tusi ,mjinga mfaamishe ataelewa ila mpumbavu mwache maana hata elewa ,wakati wamisionari wa kikristo wanajenga shule ili kuwaelimisha maaskofu, mapadre na wachungaji wengine ,waislam walikuwa bize na elimu yao ya dini ,wakristo kupitia shule zao walijifunza elimu ya duniani na elimu ya Mungu,leo hii si jambo la kuficha wakristo wengi wamesoma. Katika dunia ya sayansi na teknolojia elimu ya madrasa pekee haina nafasi, mawazo ya mashehe yanafika mahala yanagota ndio maana mambo yao bila kusimamiwa hayaendi...HIVI MWAKA 2005 MBONA WAKRISTO WALIMUITA JK MTEULE WA MUNGU ? MBONA HAWAKUMPINGA? MBONA WAKRISTO WALIMCHAGUA JK KWA SIFA ZAKE NA SI KWA DINI YAKE? JAMANI ELIMIKENI MNAACHWA NYUMA.
 
Actions will follow, muslims to understand the true history...nakushauri usome tamko between the lines..

Umaskini ni tatizo letu wote lakini zaidi limesababishwa na uchukuaji wa fedha za umma na kuzipeleka kwenye miradi ya kanisa kuliko ya jamii yote..justice is what we want

Hebu tupe mitano mkuu ya makanisa yaliyojengwa na fedha za umma. Mbona husemi kuwa umaskini wetu umesababishwa na mafisadi wakubwa ambao ni waislamu
 
Ndugu zangu Waislam upumbavu ni tusi ila ujinga si tusi ,mjinga mfaamishe ataelewa ila mpumbavu mwache maana hata elewa ,wakati wamisionari wa kikristo wanajenga shule ili kuwaelimisha maaskofu, mapadre na wachungaji wengine ,waislam walikuwa bize na elimu yao ya dini ,wakristo kupitia shule zao walijifunza elimu ya duniani na elimu ya Mungu,leo hii si jambo la kuficha wakristo wengi wamesoma. Katika dunia ya sayansi na teknolojia elimu ya madrasa pekee haina nafasi, mawazo ya mashehe yanafika mahala yanagota ndio maana mambo yao bila kusimamiwa hayaendi...HIVI MWAKA 2005 MBONA WAKRISTO WALIMUITA JK MTEULE WA MUNGU ? MBONA HAWAKUMPINGA? MBONA WAKRISTO WALIMCHAGUA JK KWA SIFA ZAKE NA SI KWA DINI YAKE? JAMANI ELIMIKENI MNAACHWA NYUMA.
Waache wawe nyuma, kila mtu akiwa kichwa nani atakuwa mguu?
 
Hoja zinakwepwa mkuu ili kupoteza maudhui yanayozungumzwa usipoteze muda kujibizana na wapotoshaji.

Hivi hapa hoja ni nini? hii thread ni UTUMBO MTUPU mwanzo mwisho, and i can tell ya..mtu yeyote objective anaichukulia hii thread kama kona ya komedi tu na kuona watu wanavyovurumisha uharo wao.
 
Hakuna ushabiki hapa Hospitali ya KCMC, Muheza Teule, etc ni mifano michache ya hospiural zinazokomba pesa serikali kwenda kwenye taasisi ya dini na bado watumiaji wnalipa gharama kubwa tu...wanachota tena kutoka kwa watumiaji?

Vifaa vya uchunguzi vinanuliwa na pesa za serikali (x-ray, vya damu, etc) wafanyakazi wanalipwa na pesa serikali je kwanini wasifanye hivyo kwa taasisi za dini zingine?

Shule ngapi za kiislamu, then kama hujui hata shule moja ya kiislamu ..ni ngumu kukuelewwesha.
Hapa mimi nafikiri unachanganya mambo au unajichanganya mwenyewe.Hivi unafikiri kuwa hizo Hospitali zinahudumia wakristo peke yao?
Serikali kuna maeneo ambayo wanalazimika ku-support ili kupunguza gharama ,na wakati mwingine wakati inatafuta fedha kwa ajili ya kujenga ama Hospitali yake inazitumia hizi za misheni kwa gharama nafuu kidogo, huku ikijua kuwa wanaohudumiwa ni Watanzania Wooote. Hata kama Leo hii Waislamu wakifungua Hospitali na ikaweza kuhudumia wananchi bado serikali inaweza kupeleka wataalamu, huduma na vifaa muhimu kwa wananchi na si kwa Wakristo peke yao.
 
Una tatizo la msingi wewe.Kwani ni asilimia ngapi ya waislamu wanatibiwa ktk hospitali hizo? Je una habari kuwa gharama za matibabu ktk hospitali hizo ziko juu sana huwezi jua kama kuna ruzuku inayotoka serikalini?Nenda TMJ kwa mfano isiyopata ruzuku za serikali linganisha gharama zake kama hutakuta TMJ ni nafuu sana kuliko hizo za kanisa.
Hata hivyo suala la huduma kama za matibabu ni wajibu wa serikali.Tatizo ni kwamaba serikali imekasimu wajibu wake kwa makanisa na unakuta hata viongozi wakristu badala ya kujenga nchi wanajenga dini yao.Mimi nataka kodi yangu serikali iitumie kutoa huduma kama za hospitali kwa raia wote na ifanye yenyewe kazi hiyo sio kodi yangu kwenda kwenye taasis za kanisa halafu wakati huo hou eti serikali inalishukuru kanisa kwa kuisaidi ktaka huduma.Nani anamsaidia nani? Kila mwezi nakatwa kodi kubwa kwenye mshahara wangu pia nalipia kodi zingine mabalimbali sipendi kabisa ziende kanisani.Hii sio haki na ni ufisadi namaba moja.
JAMANI TUMUOGOPE MUNGU, ni kodi gani unayotoa ww inatumika kwa wakristo. mchango wa taasisi za dini usibezwe hata kidogo, kwa sisi tulio vijijini tunaona mchango wa taasisi hizi, fikiri kidogo wakristo wana shule ngapi za sec. na ni watoto awngapi wanasoma hapo. tuanachane na mawazo mabovu ya kusema kundi fulani linaonewa. mimi nadhani wakristo wana haki zaidi ya kulallamika maana serikali iliwanyanya taasisi zao ili kunufaisha watanzania wote. KWELI SHYUKRANI YA PUNDA NI MATEKE😛lane:
 
Sisi wapagani msituhusishe tu na gharama za kuiendesha hiyo mahakama yenu ya kiarabu ya kukatana mikono au kupigwa mawe mpaka kufa. Hata wakristo nao wakianzisha mahakama yao chonde wasiguse mfuko wetu mkuu kwa ukorinto wao. Watanzania walio wengi hawako kwenye dini zenu za waarabu na wazungu
Utashangaa safari hii mkuu hayo tunayosema yatafika mbali, wewe uliyekata tamaa shauri yako, mimi siamini katika kukata tamaa mahakama ya kadhi itakuwepo, na haki zingine pia zitapatikana we don't care when and how? sisi ni wenye kushinda tu..tulishinda wakoloni sembese hawa...
 
Hapa mimi nafikiri unachanganya mambo au unajichanganya mwenyewe.Hivi unafikiri kuwa hizo Hospitali zinahudumia wakristo peke yao?
Serikali kuna maeneo ambayo wanalazimika ku-support ili kupunguza gharama ,na wakati mwingine wakati inatafuta fedha kwa ajili ya kujenga ama Hospitali yake inazitumia hizi za misheni kwa gharama nafuu kidogo, huku ikijua kuwa wanaohudumiwa ni Watanzania Wooote. Hata kama Leo hii Waislamu wakifungua Hospitali na ikaweza kuhudumia wananchi bado serikali inaweza kupeleka wataalamu, huduma na vifaa muhimu kwa wananchi na si kwa Wakristo peke yao.

Tumejitahidi kuwaelewesha lakini niye vichwa ngumu kweli. Huduma gani zinatolewa? Nitajie japo hospitali moja inayotoa huduma.Wanfanya biashara tu.Hivi mtu binafsi akifungua hospitali anakuwa anatoa huduma au anafanya biashara? Na waislam kama raia wengine wanenda kupata matibabu kwa pesa zao hawpati matibabu bure.
Kama serikali inaweza kutoa pesa ili makanisa yajenge hospitali au vyou kwani isifanye yeneywe? Tunataka serikali ichukue wajibu wake na sio kuukasimu kwa makanisa
 
JAMANI TUMUOGOPE MUNGU, ni kodi gani unayotoa ww inatumika kwa wakristo. mchango wa taasisi za dini usibezwe hata kidogo, kwa sisi tulio vijijini tunaona mchango wa taasisi hizi, fikiri kidogo wakristo wana shule ngapi za sec. na ni watoto awngapi wanasoma hapo. tuanachane na mawazo mabovu ya kusema kundi fulani linaonewa. mimi nadhani wakristo wana haki zaidi ya kulallamika maana serikali iliwanyanya taasisi zao ili kunufaisha watanzania wote. KWELI SHYUKRANI YA PUNDA NI MATEKE😛lane:
We kweli shule imepanda?
MOU ni makubaliano baina ya serikali na makanisa ambapo serikali inachota pesa hazina zinaenda kusaidi taasisi za kanisa kama hospitali na vuyo.Sasa pesa zikishatoka hazina maana yake ni kwamba mlipa kodi yeyeote bila kujali dini yake kodi yake ipo hapo.Hatukatai kanais kuwa na taasisi zake lakini waendesha wenyewe bila kuchota pesa zetu hazina.
 
Chuki binafsi juu ya jambo fulani au mahaba juu ya kitu yakizidi hufanya mtu au watu husika kutokuona mapungufu au mazuri ya jambo walichukialo au walipendalo! Mimi ni muislam, lakini nilazima niseme ukweli tamko hili la "waislam" ndilo lenye kuelekea katika uchochezi! Maaskofu ndio walitoa kitu kinaitwa " Muongozo juu ya uchaguzi 2010" lakinji si hata waislam walitoa muongozo pia? Serikali inasidia taasisi zote za dini sio za wakristo tu, mbona ni serikali hii hii inatoa mikopo kwa wanafunzi kusoma pale MUM, mbona ni serikali hii hii inatoa misaada kwa hospitali zinazoendeshwa na Bakwata na hata imezisajili zingine na utaratibu wa bima ya Afya!. lakini pia nitoe angalizo si kweli kuwa waislamu hawajasoma, kama bado wakristo wanafikiri hivyo basi wanajidanganya kwa kiasi kikubwa sana, kwa sasa more than 70% ya waislam wana elimu ya kutosha sana kupambanua mambo! Ninachokiona juu ya tamko hili ni Uchochezi na ulimbukeni wa watu wachache tu kutaka kuficha incompetence ya JK kwa maslahi yao!
 
Sisi wapagani msituhusishe tu na gharama za kuiendesha hiyo mahakama yenu ya kiarabu ya kukatana mikono au kupigwa mawe mpaka kufa. Hata wakristo nao wakianzisha mahakama yao chonde wasiguse mfuko wetu mkuu kwa ukorinto wao. Watanzania walio wengi hawako kwenye dini zenu za waarabu na wazungu

Sas we mpagani mbona huzungumzii MOU? Tayari peza zako kama kweli we ni mlipa kodi zinaenda kusaidi na kuimarisha taasisi za kanisa wewe umelal? amka waamshwe na wapagni wenzako hapa tunaibiwa
 
We kweli shule imepanda?
MOU ni makubaliano baina ya serikali na makanisa ambapo serikali inachota pesa hazina zinaenda kusaidi taasisi za kanisa kama hospitali na vuyo.Sasa pesa zikishatoka hazina maana yake ni kwamba mlipa kodi yeyeote bila kujali dini yake kodi yake ipo hapo.Hatukatai kanais kuwa na taasisi zake lakini waendesha wenyewe bila kuchota pesa zetu hazina.

Kumbe MoU ni makubaliano baina ya serikali na kanisa. Sasa kwanini mgomvi wenu asiwe serikali ambayo ndio mna hisa nayo? Mi nahakika hata kama kuna hoja kwamba maslahi ya wasilamu yanapunjwa kutokana na MoU, huezi udai haki kwa chapisho kaahilo la mashehe ubwabwa hapo juu. Kila mtu ataona nyie wahuni tu wa mtaan mliokosa kazi.
 
Anayewabagua na kutoenea sisi Waislam ni sisi wenyewe. Wakati wenzetu wanapigana kupeleka watoto wao shule sisi tunapelekwa madrasa. Sasa ni usawa gani tunaoutaka zaidi ya viongozi wetu wa dini ya Kiislam kuendekeza njaa na kutumiwa na CCM? Hizi njaa zetu zitatupeleka pabaya jamani. Tuamke. Aliyekutangulia amekutangulia tu. Hata JK alisoma mission na je asingesoma Mission leo angekua hapo alipo? Waislam tuache ujinga tuamke (infiriority complex itatumaliza):amen:

Tena huwezi amini, mwaka jana waziri Hawa Ghasia alienda Znz kwenye mashindano ya kusoma juzuu, akawaambia waislamu: Mnapojenga shule (za elimu dunia), jengeni na madrasa zaidi ili kudumisha vipaji vya kusoma iyo kitu. SASA HUYU NI WAZIRI, ALIYEPEWA NAFASI HUKO SERIKALINI KWA WAKRISTO.... BADALA YA KUWAHAMASISHA WENZAKE ZAIDI WASOME ELIMU DUNIA WAFAIDI KUKAA KARIBU NA IKULU, KUTEMBELEA V8 NA KUKAA NYUMBA ZA MASAKI KAMA YEYE, ANAWASHAURI WABAKI HUKOHUKO..... tafakari!!!!
 
Tena huwezi amini, mwaka jana waziri Hawa Ghasia alienda Znz kwenye mashindano ya kusoma juzuu, akawaambia waislamu: Mnapojenga shule (za elimu dunia), jengeni na madrasa zaidi ili kudumisha vipaji vya kusoma iyo kitu. SASA HUYU NI WAZIRI, ALIYEPEWA NAFASI HUKO SERIKALINI KWA WAKRISTO.... BADALA YA KUWAHAMASISHA WENZAKE ZAIDI WASOME ELIMU DUNIA WAFAIDI KUKAA KARIBU NA IKULU, KUTEMBELEA V8 NA KUKAA NYUMBA ZA MASAKI KAMA YEYE, ANAWASHAURI WABAKI HUKOHUKO..... tafakari!!!!

Lakini ilmu ya akhera nayo si ni muhimu? you can't have both ways, u either eat ur cake or have it.
 
Walioanzisha upendeleo huu wa misamaha ya kodi, ruzuku n.k walijua exactly this is what will happen in the future. Wakati watakapo kuwa wamepiga hatua kubwa mno kiasi hata kufikika hawafikiki..wamejaa kwenye idara zote za serikali, wana idadi kubwa ya shule na vyo vikuu, wana vitua vya afya na hospitali bora kabisa na wana wana taaluma bora na wengi mno.

Ila dhulma kamwe haijengi na malipo ni hapa hapa duniani, lazima kizazi kimojawapo kitakuja pata haki za waliodhukumiwa wazazi wao. Wewe huwezi kukata watu kodo za serikali na kwenda kuimarisha makanisa na taasisi zake. Tunaamini kama Mungu wetu ji Mungu wa haki na yeye ndio mlipaji wa yote juu ya dhula zote. Tuna Yaqiin atatusaidia tu!
Ma'ssalaam.
Shkh Yahya

Sidhani kama mna ufahamu kuwa hata hiyo elimu inayowafanya muwe na uelewa huo, ni nyerere ndio aliyewafikisha hapo baada ya kuamua kutaifisha shule nyingi za kikristo ili kila mtoto asome kwa kuwa nyie mliziita ni za makafiri, mkaacha kuwapeleka wananu na badala yake mkawapeleka madrasa. Leo hii mnamuona mbaya, msisahau kulipa fadhila sio kulaumu tu, hao maprofesa waislam na hao wanazuoni, hiyo elimu waliipata wapi? Huyo JK mwenyewe alisoma shule gani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom