Kheri mficha uchi ambaye baadaye ataadhirika kwa malazi ...Ninacho kiona hapa kwa hii walaka ni kama ngonjera kwa watoto wanao kaaa mtaa mmoja.
Hakuna ufikiri yakinifu wowote ulio semwa hapo ukisoma walaka huo siwezi amini kama mashehe na wanazuoni wanaweza kuandika kitu kama hiki unless uniambie wote wanaakili moja japo walio soma wapo au hawataki kusema kitu kuchangia kuwanusuru wenzao.
Poleni sana ELIMU MUHIMU JAMANI sio kukaa kijiweni na kusema yule hivi mara vile haisaidiii.
Kiukweli wenzetu wana tatizo ambalo ni General na ambalo huwa lina wa affect wote walioenda shule na wasio enda shule.
Lakini mwisho wataaa kubali kule INDIA walisha kubali na ukiona mtu masikini kupindukia india ujue ni MUSLIM na wenzao wana walalamikia ndiyo wanaojaza population yao, wanazaa watoto kumi wake wa nne uwezo wa kuwasomesha hakuna hii ni shida kweli.
Wapeni pole ndiyo walivyo hao ndugu zetu tuwaache tu kama walivyo.
Ona hapo wamefikiri nchi inaendeshwa na mkristo je angekuwa mkristo ingekuwaje?
Jaribuni kufikiri japo kidogo ila kutoa tamka lisilo na kichwa wala mguu ni upuuzi kabisa.
Na wewe pia hujasoma tamko, umekurupuka na prejudices zenu mlizofundishwa kanisani..lipi ambalo si kweli katika tamko..