Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Status
Not open for further replies.
=EXACTLY, ndicho kilichopo na kilianza tangu wasaini MoU kwa kila mwanafunzi wa chuo wanapewa ruzuku na kwa kila kitanda hospitalini wanapewa ruzuku (mbaya zaidi hakuna goverment auditing)
Ni wanafunzi gani ambao wamewahi kupewa ruzuku hizo? Mbona mimi nimesoma hapa hapa nchini na sijawahi kuwaona?

Kuwa na gari zuri hakuhitaji ruzuku ya serikali. labda useme nisamaha wanayopata inasaidia kuchangia kuweza kumiliki magari hayo kwa urahisi zaidi.

Kuna watu wengi kwa jitihada zao binafsi wana magari mazuri kuliko yanayotumiwa na mapadri na maaskofu. Wao pia hawapewi ruzuku na serikali.

Of course kuna watu wengi wana magari hiyo ni lugha ya mfano, nachosema ruzuku kutokana serikalini kwenda kwenye taasisi za makanisa haina dispute through MoU..huo ni ukweli hakuna askofu wala kiongozi wa serikali anayepinga..

Ruzuku hawapewi wanafunzi wanapewa kanis lenye hilo chuo...kwa kuongeza kitanda au mwanafunzi..
 

Nimefanya kazi katika level kubwa tu ya kujua kila kinachotoka na kuingia kwa upande wa Pesa, ngoja nikutonye kidogo, unajua ni Hospitali ngapi za Serikali Kanisa linazisaidia? Ninayo mifano mingi sana na si ushabiki kama ulionao wewe. Sehemu kubwa ipo katika misamaha ya Kodi, na mara chache misaada ambayo itacover mahitaji muhimu kwa eneo usiku ambayo inaathiri Huduma za Afya kwa kiwango kikubwa, Mfano: Chumba cha Maiti, Magari ya kubebea wagonjwa , Huduma za X-ray na upasuaji nk, Ambazo zote hutumiwa na jamii husika bila kujali Dini ,Rangi wala itikadi.

Kuhusu shule naomba nitajie kama 5 zilizojengwa na Waislamu, Je kuna SACCOS NGAPI ZA WAISLAMU? Benki nayo? Maana unasema mnafanya.


Hakuna ushabiki hapa Hospitali ya KCMC, Muheza Teule, etc ni mifano michache ya hospiural zinazokomba pesa serikali kwenda kwenye taasisi ya dini na bado watumiaji wnalipa gharama kubwa tu...wanachota tena kutoka kwa watumiaji?

Vifaa vya uchunguzi vinanuliwa na pesa za serikali (x-ray, vya damu, etc) wafanyakazi wanalipwa na pesa serikali je kwanini wasifanye hivyo kwa taasisi za dini zingine?

Shule ngapi za kiislamu, then kama hujui hata shule moja ya kiislamu ..ni ngumu kukuelewwesha.
 
Sasa nimetambua adui mkubwa wa waislamu Tanzania ni CCM na sera zake za kibaguzi tangu enzi za mwalimu hadi leo Makamba anaendeleza. Basi waislamu wasiilaumu Chadema hata kidogo. Baada ya kuijali CCM 50 yrs ikawaangusha basi waijaribu CHADEMA!!
 
Ushahidi tumeotoa kwenye tamko letu sema hamtaki kusoma hivyo viatabu vya refernce tulizowapa..mnaendelea kutoa kejeli na dharau..

Ushahidi wa hujuma hizo na takwimu zilipelekwa serikalini enzi ya mkapa ili aunde tume kuchunguza ukweli, akasoma alipoona ukweli akawaita maaskofu akaanza kufoka..hatimaye guilt consiuos yake akatoa muslim university..

Haya mambo siyo uzushi ni kweli na documents, trends tunazo...

Muslim university badala ya kuwa kitovu cha elimu kwa waislam mnaitumia kwa propaganda za kutaka kuandamana kumuunga mkono mhalifu wa kivita Al Bashir na kuwafagilia Al Shabaab mnadhani mtaondokana na ujinga kweli? Thubutu, mtaendelea kulalamika hadi siku tutakaypgawana nchi. Nyie waarabu wanawapa zawadi za tende na halua, wenzenu wazungu wanawapa zawadi za vitabu na computer, je mtaoka kweli?
 
Walioanzisha upendeleo huu wa misamaha ya kodi, ruzuku n.k walijua exactly this is what will happen in the future. Wakati watakapo kuwa wamepiga hatua kubwa mno kiasi hata kufikika hawafikiki..wamejaa kwenye idara zote za serikali, wana idadi kubwa ya shule na vyo vikuu, wana vitua vya afya na hospitali bora kabisa na wana wana taaluma bora na wengi mno.

Ila dhulma kamwe haijengi na malipo ni hapa hapa duniani, lazima kizazi kimojawapo kitakuja pata haki za waliodhukumiwa wazazi wao. Wewe huwezi kukata watu kodo za serikali na kwenda kuimarisha makanisa na taasisi zake. Tunaamini kama Mungu wetu ji Mungu wa haki na yeye ndio mlipaji wa yote juu ya dhula zote. Tuna Yaqiin atatusaidia tu!
Ma'ssalaam.
Shkh Yahya

natamani hizo hospitali za waikristo(bugando,kcmc) zirudi kipravate ili ziendeshwe kwa gharama kubwa tuone hayo mabusha mtayatibu wapi.ruzuku kwenye hizi hospitals ni kwasababu govt haina hospitals zakutosha ikiziacha ziendeshwe kibinafsi wallah wananchi twafaaaaaa
 
Waislam hawana WIVU ya maendeleo walionayo wakristo. Wakristo ndio wenye WIVU wasiopenda waislam nao kuiubuka...

kama wakristo wana nguvu...Basi waambieni Wafute Misamaha ya KODI....Taasis walizonazo wameshindwa kuziendesha...na lazima wapate support ya Serikali.

Tunachotaka waislam HAKI sawa kwa wananchi wote. Mnaojenga Matabaka ktk nchi,haitowasaidia chochote.

Anzisheni zenu sio kuchapana makofi.Moslems ur disorganised,unfocused and departed,simply on cheap thinking. so after this tamko, mnasubiri remix ya maaskofu,shame on u
 
We ndo kwanza unalijua hilo leo?
Kuna wasomi wengi kibao nchini wengi wao waliopitia semianri za kanisa lakini ona nchi ilivyo.Sasa hizo elimu zao zinatusaidia nini.Ndio wanoongoza nchi kuja na mikataba mibovu na mingine ya upeneleo kama MOU unategemea nini Zero

Nazir karamagi
 
Contradiction. Mnataka serikali isiingilie maswaala ya Waislamu wachague viongozi wao wenyewe kam wanavyoachiwa Wakristo. Hapohapo mnataka mahakama ya kadhi isimamiwe na serikali. Kuteua huyo kadhi na kulipia shughuli zake. Unasemaje???
 
Ndugu yangu kama BAKWATA iliyoanzishwa na serikari ya mzee wetu Ali Hassan Mwinya (Mzee Ruksa) haina uhalali mbele ya waislamu kwa sababu tu ni chombo kilicho anzishwa kwa usimamizi wa serikali, Je mnapata wapi ujasiri na imani kuwa mahakama ya kadhi itakayoanzishwa na serikari haitakuwa kama BAKWATA? mbona jamani mnakuwa too contraversial and double standard kiasi hicho?

Waislamu wanaita BAKWATA ni wasaliti kwa sababu wako pro government na wanalipwa pesa na serikali za kuanzisha BAKWATA, hiyo imani yenu kwa serikari kuanzisha na kumlipa kadhi mkuu inatoka wapi, Je maaskofu hawawezi kuchangia fedha za kuanzisha kadhi na kuwalipa kama ilivyokuwa kwa BAKWATA. I am just trying to think jamani!
Nakwambia mara tu serikali ikishawapa hiyo mahakama ya kadhi utasikia wanakuja na ngonjera nyingine za kulaumu serikali kwa kuwapa mahakama ya kadhi. Ni walalamishi kwa kila kitu waislamu jamani. urithi wa ulalamishi toka kwa kiongozi wao Muhamad. We subiri tu utaona.
 
Msitake kuwasemea WAISLAM mbona wakirtu wengi tu wapo CCM? WASLAM wote sio CCM, naona nyie CHADEMA mmeishajitenga kabisa na WAISLAM hamuwataki sababu mnae MPADRI wenu.

Good,Tumefikaje hapa wanjf? Its only CHEAP politics za JK na familia yake ili apate kura za Waislam ambao walimuunga mkono Dr Slaa na Lipumba.Psychopolitics.Ni hatari sana kikwete kuwaadaa Waislam ili apate kura.Mashekh kweli kuna maisha bora? UCHUMI vp? umeme? ajira,dowans? je baada ya kumchagua jk muislam mmevipata? mshaibiwa jk check bob pombe na mikasi ndo issue kwake.
 
Mohammed Shossi
Senior Member

Join Date
Mon Jan 2011
Posts
213
Thanks
6
Thanked 61 Times in 27 PostsRep Power
21

Inaonekana umejiunga mwezi huu Monday. Mwezi huu umeshakuwa na Monday 2 tu. Kasi yako ya kupost inanipa mashaka si bure!

Wakrito katika hii mada nendeni mkalale.Mmeshindwa kuwatetea maaskofu wenu.Mnaanza kubabaika kushangaa wanaowajibu badala kutoa hoja.Serikali isicheze na madai ya waislamu.
 
Ni swala la ajabu sana Waislam kujiingiza kwenye migogoro ya America and Middle East linatokana na ufinyu wa watu kufikiri. Mimi naishi US and honest mji niliopo kuna misikiti over 150 na tunaishi peaceful, sababu we figure out kwamba vita ya Middle East and U.S is non of our business.

Watanzania waislam wanaitaji mambo mawili, kwanza kuacha kulalama kwamba tumekandamizwa 1950's, pili kujikita katika Elimu na Ujasilimali. Hii itaongeza chachu kwenye community, more jobs will be developed and people will earn their share of pie. Kuendelea kulia lia kwamba tunabanwa, tunanyanyaswa hakusaidii kitu. Elimu and Ujasilimali is the key of any economic development.

Sasa kama mnataka kuendelea kunywa gahawa pale mwamboni na kutaka serikali iwaletee mpaka mikate ya Boflo, then be my guest my friend because Government is not a solution but part of a problem. I learned that in the hardway..... dawa ni ku-train watu wenye taaluma kuja kufundisha shule zetu na vyuo vyetu bila kubagua.... Kumbuka hadithi ya Hijirah wakati mtume (swa) alivyo mtafuta kijana wa kumlisha ngamia na kumsaidia kuongoza njia kwenda madinah, kijana yule hakuna muislam bali alikuwa amebobea kwenye direction ndani ya jangwa (now days tungemuita GPS). Hadhi hii inaonyesha kwamba Mtume (swa) aliajiri mtu kutokana na ujuzi wake na sio dini yake.... sasa kama mtume wa mungu alifanya hivyo, jee mimi na wewe?

Hawa kina shekh Juma Ponda na wehu wengine ni opportunist ambao hawana shule. Ndio maana nawaambia waislam wengi dunia Tanzania kunaitaji vitabu vingi vya dini vilivyochambuliwa kiswahili. America wamechambua almost kila kitabu, Tanzania need to do the same.... ama sivyo tutaangamia....

Hi Mdanganyika, Big up!

Nimeifurahia sana thread yako. Hakika imetulia. Naona US imekubadilisha mtazamo mazee.Tunataka WAISLAMU wenye mtazamo kama wewe na si hawa vihiyo kina Ponda na pamoja na Masheikh wote waliotamka hili TAMKO LA UBABAISHAJI.

Mimi nimeshawahi kusema kwenye forum hii kuwa WAISLAMU WANANG'ANG'ANIA KUSOMA KIARABU KWENYE MADRAS BADALA YA KUSOMESHWA KISWAHILI AU KIINGEREZA KWENYE SHULE ZA KAWAIDA ILI WAPATE ELIMU DUNIA ITAKAYOWAPANUA UPEO WAO WA KUFIKIRI.

Nimeshasema QURAN siyo lazima isomeke KIARABU wakti wote. KIARABU si lugha ya Mbinguni. Waislamu wanatakiwa wakatae UKOLONI MAMBOLEO WA KIARABU kuwa Quran ikitafsiriwa kwa LUGHA NYINGINE itapotoshwa. Hii si kweli. Kitu ninachokiona ni kuwa kuna Waislamu wanahofia kuwa ZIPO AYA ZIKITAFSIRIWA KATIKA NATIVE LANGUAGE zinaweza kuwafumbua macho na kuushtukia Uislamu maana kwenye Quran kumejaa AYA ZENYE KUTILIWA MASHAKA!Do you remember the SATANIC VERSES?
 
Mimi naogopa sana malumbano ya udini; hivi tumekosa kuzungumzia mambo mengine ya maana na yenye umuhimu kwa ajili ya maendeleo yetu? Jamani tusiivuruge AMANI tuliyonayo, nawaomba sana punguzeni jazba; MUNGU hapendi. Mrudieni Mungu atawaongoza kwa mema!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi hawa watu wasioishiwa na malalamiko wanatambua kuwa ili nchi yetu ili iweze kupiga hatua ya maendeleo ni lazima ipate msaada kutoka nchi za ulaya ambazo karibu zote ni za Kikristo? Hakuna ubishi katika hili, hicho kiasi cha kodi kinachokusanywa hapa nchini hakifiki popote, aidha hakuna kanisa linalopokea ruzuku kutoka serikalini, ilivyo ni kodi za wakristo wa ulaya ndiyo inayofanya maendeleo unayoyaona hapa tz. Siku wakikataa kutoa tutatafutana hapa.
 
Hivi hawa watu wasioishiwa na malalamiko wanatambua kuwa ili nchi yetu ili iweze kupiga hatua ya maendeleo ni lazima ipate msaada kutoka nchi za ulaya ambazo karibu zote ni za Kikristo? Hakuna ubishi katika hili, hicho kiasi cha kodi kinachokusanywa hapa nchini hakifiki popote, aidha hakuna kanisa linalopokea ruzuku kutoka serikalini, ilivyo ni kodi za wakristo wa ulaya ndiyo inayofanya maendeleo unayoyaona hapa tz. Siku wakikataa kutoa tutatafutana hapa.

Kama ilivyo Tanzania haina dini, nchi nyingi ulaya hazina dini. Wacha kuropoka!!
 
Nakwambia mara tu serikali ikishawapa hiyo mahakama ya kadhi utasikia wanakuja na ngonjera nyingine za kulaumu serikali kwa kuwapa mahakama ya kadhi. Ni walalamishi kwa kila kitu waislamu jamani. urithi wa ulalamishi toka kwa kiongozi wao Muhamad. We subiri tu utaona.

Crap!! Prejudices....una bomoa zaidi badala ya kujenga Taifa hili...Mchango wako ni wa chuki na hauna maendeleo katika nchi yetu!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom