Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Status
Not open for further replies.
kwani sheria ya ugaidi ni dhidi ya waislamu?... Mbona waislamu wanajihalisha kuwa wao ni magaidi?

Ni ukweli usiopingika kuwa palio na uislamu pana chuki, visasi, vita, maandamano hovyohovyo, mauaji, utekaji nyara, kujitolea mhanga....

NASEMA DUNIA BILA UISLAMU INGEKUWA SALAMA SANA TUNGEISHI KM ADAM NA EVA WALIVYOKUWA WAMAISHI PALE BUSTANINI EDENI[/QUOTE]

Asante Jile79. Huo ndiyo ukweli.
 
Mwaka jana wakati nafanya utafiti kuhusu pressure kwenye coastal resources niliwauliza wazee, kwanini watu wa Pwani wengi hawakusoma, nikaambiwa. 80% Walijibu kuwa hawakusoma kwa sababu walikatazwa na viongozi wa dini yao ya Kiislamu kuwa kusoma elimu ya dunia kwenye shule zilizokuwepo za wakoloni ilikuwa dhambi. Wao walitakiwa wasome madrasa tu. Nilishangaa sana leo lawama wanapelekewa watu wengine.

Ila kuna mtu hapa kanishangaza, aliposema kuwa suluhisho kwa waislamu lilikuwa kwenye sanduku la kura... Kwa hiyo mwaka jana kumbe kura zilitakiwa zipigwe KIUDINI?...In fact, kulingana naye ni kuwa kulikuwa na mobilization of such kind.

Jifunzeni kutoka nchi kama Nijeria nyie ambao munaendeleza UDINI?
 
KAUMZA said:
...lakini ukweli ni huu MUISLAMU MMOJA ALIYESOMA VEMA (ANAEUJUA UISLAMU WAKE na Mwenye hii elimu ya kizungu"Formal"), huwa ana uwezo wa kujenga hoja nzito kuliko wakristo 10. Tunakuja, ukombozi wetu umekaribia. Keki hii ya taifa letu, tutakula wote
Hapa nakubaliana nawe lakini kuna wachache wanataka kutumia Uislam kwa mslahi binafsi, mojawapo walioandika tamko hili. Leo hii Waislam sio watu wa kulalamika kiasi hiki; kuna viongozi wa ngazi za juu, wafanyabiashara, wajasiriamali na watu wa kada mbalimbali wengi sana waliowaislam na wamefanikiwa tofauti na taswila inayojengwa na tamko hili. Ni wazi kwamba kujitenga au vurugu zitarudisha nyuma hatua waliokwishapiga ndugu zetu.

Tusikubali kutumiwa, mbona tamko la maaskofu halina neno lolote kuhusu uislam?
 
Jamani , kulalamikaaaaa kutwa, ingekua Rais Mkristo wangesema wanaonewa, adui wetu waislamu ni waislamu wenyewe, Tunajilaum kwa mambo yaliyo ndani yetu. TUNAOGOPA VISIVYO OGOPESHA.

UKITAKA KUJUA SISI NA MASHEHE WETU TUNAJIDHALILISHA ANGALIA MATAMKO YETU, Yamepwaya, hayana uzito wala mantiki, Maaskofu wakikemea Jambo, Mashehe wanakuja kujibu, ahaaaah kinyaa kabisa, Maaskofu wanawapuuza mashehe, kwakua wanaonekana ni watu wasio na ufahamu, uelewa na wala elimu katika maisha ya kawaida.

Soma hiyo thread juu, ni ujinga unaoweza kuukuta ndani ya Gazeti la Annuur na redio Imani sijui ya kule Morogoro.

tunajidhalilisha sana.


Nguvumali na Wana JF,hakika hili TAMKO LA WAISLAMU(FULL TEXT)linatia kichefuchefu,lina-bore,linaudhi na ni upupu na upuuzi mtupu. Kwa ujasiri kabisa naweza kusema hili tamko ni FOOLISH TEXT au FULL RUBBISH.

Hapa ndipo wale GREAT THINKERS wanapoweza kuona udhaifu mkubwa kabisa ulioko kwenye dini ya hawa ndugu zetu. Napenda nimnukuu mwanafalsafa aliyewahi kusema,''Great minds discuss ideas; Average minds discuss events; Small minds discuss people." -Eleanor Roosevelt

Kulingana na tamko la hawa waislamu, wao hawako kwenye Great minds wala Average minds kulingana na ER. Waislamu wanaangukia moja kwa moja kwenye kundi la Small minds!
Ukisoma TAMKO lao limejaa manung'uniko na malalamiko ya kuwasema WAKRISTO na SERIKALI yao kuwa ina wanyanyasa na kuwaonea madai ambayo hayana msingi hata chembe.
Hizi ni sawa na porojo za wahuni wa vijiweni waliokosa kazi, waliobakisha kula bangi na kunywa gahawa!

Kuna Waislamu wachache wanaoweza kuchambua au kupambanua mambo kama nguvumali nilivyomnukuu hapo juu. Huyu amesema kweli kabisa ambayo hakuna anayeweza kupinga.

Hawa Masheikh wa Kiislamu inaonyesha hawana upeo wa elimu ya kuchanganua mambo. Ni masheikh waloishia elimu ya MADRAS ambayo sana sana ni kujifunza kusoma KIARABU na KURUANI,full stop.Unategemea nini mtu mwenye elimu ya MADRAS? Hawa jamaa huwa wanafikiri wakishajua kutamka maneno ya KIARABU basi wameshafuzu.

Mimi huwa nawaambia Kiarabu ni lugha tu wala si imani wala dini. Sijui nani aliyewadanganya kuwa KIARABU ni lugha au dini ya Mwenyezi Mungu na kwamba bila kiarabu huwezi kwenda akhera? Utakuta mdigo anang'ang'ana kuswalisha kwa Kiarabu ilihali anaowaswalisha ni Wadigo! Why not speak in your native language kidigo so that the Digos get the Quran message in their mother tongue? Why speak Arabic language? Huu ni udhaifu mojawapo wa dini ya Kiislamu. Kuthamini lugha ya Kiarabu na kudharau lugha ya mama! Hilo ni moja.

Lakini la pili,ni haya malalamiko ya Waisalmu kuwa wanaonewa katika serikali kwa maana kunyimwa nyadhifa katika uongozi mbalimbali. Wametaja u-DC,u-RC,Ubunge,Uwaziri n.k.
Swali kwa Waislamu hawa ni Je, hivi mtu unaweza kuajiriwa,kuteuliwa au kuchaguliwa kama huna SIFA(Qualifications) kwa maana ya CVs???Ni wapi ulikuta vyeo vinagawiwa kama karanga???

Tuanze na hili la u-DC/RC,la kuteuliwa na Rais. Tumekuwa na awamu nne za Marais ambao ni Waislamu. Ali Hassan Mwinyi (Mzee Ruksa)- awamu 2 na sasa tuna Jakaya Kikwete ambaye yuko awamu yake ya 2. Je, hawa Marais walishindwaje kuteua ma-DC/RC Waislamu kama wapo na wana sifa? Jibu ni kwamba hao Waislamu wenye sifa hawapo.

Hili la Wabunge niseme hivi: Kuna vyama vingi sana vya upinzani na havibagui dini ya mtu. Hawa waisalmu wanakuwaga wapi kugombea nafasi za Ubunge zinapotangazwa kupitia vyama mbalimbali? Jibu ni kwamba HAWANA SIFA ZA KUGOMBEA UBUNGE. Sifa waliyonayo ni degrees za MADRAS! Mbona tuna wabunge waislamu ambao wana sifa wanagombea na wanachaguliwa? Zitto Zuberi Kabwe(Mwuislamu) ni mbunge kijana kupitia tiketi ya CHADEMA. Ubaguzi uko wapi.Bado kuna wabunge wa KUTEULIWA: Rais ana uwezo wa kuteua Wabunge 10. Baada ya Uchaguzi mwaka jana Rais Kikwete alianza kwa kuteua wabunge 3 wote WAISLAMU, Nahodha Waziri wa Mmabo ya Ndani, Zakhia Meghji,na Prof.Mbawala. Wameteuliwa kwa sababu wana sifa mbali ya ushikaji n.k.


Kuhusu Mawaziri ni kwamba hawa wanatokana na Wabunge wa kuchaguliwa au kuteuliwa. Sasa kama Waislamu hamkugombea ubunge mkachaguliwa na wala Rais Kikwete(Mwuislamu) hakuwateuwa kwa sababu hamkuwa na sifa mnataka nchi ifanyaje kuwasaidia au kuwaingiza kwenye madaraka???????????Hakika madai yenu ni porojo na ndoto za Alnacha.

Kuna kipindi Mzee Ruksa aliwaambia Waislamu kwenye mojawapo ya mikutano yenu ya aidha Baraza la Idd au Maulid or whatever kuwa,WAISLAMU MUACHE KULALAMIKA BAALI MKAZANE KUSOMA KAMA WENZENU WAKRISTO.

Maneno hayo hayo yakaja kurudiwa na Jakaya mwenyewe kuwa WAISLAMU NENDENI MKASOMA NA MJENGE SHULE ILI WATOTO WENU WASOME. Kikwete alienda mbali zaidi kwa kuwaambia kuwa YEYE KIKWETE ALISOMA SHULE ZA MISSION MAANA NDIZO ZILIZOKUWEPO na mpaka sasa zinaendelea kuwepo. Waislamu badala ya kujenga English Medium Primary Schools,Seminaries na Universities kila SIKU WANAJENGA MISIKITI na MADRAS KILA KONA na kila mtaa! Saa ngapi mtasoma ili mpate hizo nafasi mnazo zililia huko serikalini???

Waislamu acheni unafiki. Kwa hili hakuna atakaye waunga mkono.

Nitaendelea.
 
Utaweza? brainwashed Islamist hawezi kupambana na mtu sober kama mimi.

ROMA iliangkka ndio itakua wewe ? hahaha unaonyesha upumbavu wako, I'm beyond that so I'll leave you to stay in your own hate sphere, that is enough to kill you!
 
Anayewabagua na kutoenea sisi Waislam ni sisi wenyewe. Wakati wenzetu wanapigana kupeleka watoto wao shule sisi tunapelekwa madrasa. Sasa ni usawa gani tunaoutaka zaidi ya viongozi wetu wa dini ya Kiislam kuendekeza njaa na kutumiwa na CCM? Hizi njaa zetu zitatupeleka pabaya jamani. Tuamke. Aliyekutangulia amekutangulia tu. Hata JK alisoma mission na je asingesoma Mission leo angekua hapo alipo? Waislam tuache ujinga tuamke (infiriority complex itatumaliza):amen:
 
Nimetambua sasa kwa nini viongozi wengi wa misikiti wanang'olewa na vijana. Tamko hili ni aibu kubwa kwa jamii ya kiislam iliyostaarabika. Nchi yetu inamwingiliano mkubwa sana wa dini, hivi wanatambua kuwa nchi hii ina dini mbalimbali? Fitina, wivu, chuki na ubinafsi wa dhahiri dhidi ya wakristo ndiyo unaoojitokeza hapa. Hilo jopo lililokaa na kutoa tamko la utafiti wao ni uongo. Waislam wengi ni wasomi wazuri na wanafasi sehemu mbalimbali tena nyeti za serikali, kujaribu kumvunjia heshma baba wa taifa na kumbatiza dhambi ambayo kwa wengi wanavyomuelewa msimamowake nafikiri ni kichekesho cha karne. Mwalimu sio yeye aliyetaifisha mali nyingi za kanisa na kuziweka mikononi mwa wananchi wote? hivi mashehe wanaweza kueleza ni lini walijenga shule yenye hadhi na walimu wenye viwango wakakataliwa? ni taasisi gani ya serikali amabayo muislamu mwenye sifa ameomba kazi akakataliwa huku akiwa na vigezo?. Mashehe wanatakiwa wajitahidi kuwahamasisha waumini wao wafanye kazi kwa bidii na kutoa michango misikitini ili kuwawezesha wale wenye matatizo yasiyo ya lazima wakomboke.

Hivi kwa jazba hiyo wanayokuja nayo ikitokea kanisa kugoma kutoa huduma za hospitali, shule n.k kwa jamii ya kiislamu watafanyaje? waelewe wazi mafanikio yeyote wanayoyaona yakifanywa na kanisa sio ruzuku ya serikali ni mikakati na kanuni za kuchangia ndiyo zinazoleta maendeleo na mafanikio makubwa wanayoyaona. Makanisa mengi waumini wao ndiyo wafadhili wakubwa sio serikali jamani? Fanyeni utafiti haya mambo msilaumu tuu. Hisia za mashehe ni za miaka ya arobaini kwa sasa mambo hayo hayapo? Hata wangepewa eneo wajitawale pasipokuwa na mpango mkakati wa kuendelea itakuwa ni shida tupu. Nchi hii waislamu na wakristo ni ndugu, si ajabu kukuta nyumba moja kuna watoto wa baba mmoja wakristo na waislam, sasa akitokea mtu adai kuwa kuwe na eneo la waislam tu ataeleweka kweli? Zanzibar 99.5% ya wakazi wote ni waislamu, je shida ya mwanachi wa zanzibar nayo imechangiwa na kanisa?

Uchochezi huu ni imani yangu kuwa itapuuzwa na jamii ya waislamu wenye kujua ukweli wa namna haya mambo yanavyoenda. Naamini Kanisa litapuuza tamko hili maana nia ya hawa jamaa ni kuleta mambo ya afghanistani hapa kwa kisingizio cha kupata thawabu. Ni imani yangu kuwa watanzania (wakristo kwa waislamu) matamko ya aina hii watayapuuza bila kujali kama yametolewa na Askofu au Shehe.
 
Tukigawana nchi hawa jamaa watabomoa shule wajenge madrasa na misikiti kwa wingi.
 
Masheikh wameongea point sana. Nimenote point zifuatazo:
1.Ni lazima serikali ichukue jukumu lake la kuongoza nchi na si kukasimu madaraka yake kwa maaskofu na kuielekeza nini ifanye na nini isifanye.
2.Wakti wakristu wana MOU zinachotwa pesa za walipa kodi wote pamoja na mimi kwa manufaa yao peke yao,Waislam wameomba nchi ijiunge na OIC ili nchi kwa ujumla wake inufaike na misaada toka OIC.Serikali ilifanya utafiti ikagundua hakuna tataizo kujiunga lakini maaskofu wakaijia juu serikali nayo ikagwaya.
3.Mahakam ya Kadhi haitahusu wakristu,lakini wao pamoja na hayo bado hawataki,.Hapo ndo inapokuja point ya kuwa sasa kama madi ya waislamu hayatakiwi na wakristu basi bora tuijitenge kielewke.
Point zko nyingi tu lakini ngoja niishie hapo
 
Mimi bahati nzuri sio mfia dini, ila kama kuna mtu anadhani dini nyingine ndio kikwazo kwake anajidanganya au ni mvivu wa kufikiri. Tunisia ni taifa la kiarabu na sote tunajuwa kwamba waarabu majority ni waislamu, sasa mbona wale watunisia mawemuondowa Rais wao? Pakistani ni jamhuri ya kiislamu lakini huko ndio kila siku wanawang'owa viongozi wabovu, kwa hiyo hapa hoja sio anaeongoza ni dini gani hoja ni kwamba anaengoza anatosha kwenye hiyo nafasi? wakati kilaini aliposema kikwete ni chaguo la mungu, sisi tunaoona mbali tulimpinga na ndio ilikuwa mara yangu ya mwisho kuingia kanisani kwa sababu niliona kama askofu anaweza kuwa muhuni vile hawezi kunipa huduma za kiroho, lakini sikusikia masheikh wakilaani kauri ile ya askofu kumuita binadamu eti ni chaguo la mungu, na ikumbukwe kulikuwa na wagombea wakristo akiwemo mchungaji wakanisa Mtikila na Lyatonga mrema. mtu yeyote ambaye sio mvivu wa kufikiri atakubaliana na ukweli huu kwamba ccm inapumuwa kwa kutumia propaganda na sio hoja za kisiasa. dawa ni kushikamana kuwang'owa madarakani hawa wakoloni weusi kabla ya 2015, maana ni mbali huko watakuwa wameshatunyonya tumebakia mifupa.
 
Tatizo la waislam ni kuamini conspiracy theories. Wao wanaamini wakristu wanawaonea lakini ukuwauliza kivipi wanabaki wanabung'aa tu hawana cha maana cha kujibu. Hata huko uarabuni kwenye waislam wa kweli wamekaa kuamini eti waisrael wanatawala dunia....wao ni kuamini amini tu hata vitu ambavyo havipo. Dawa ni kuachana nao na kujenga vyuo vingi zaidi.
 
(7) Serikali ikawa radhi kuvunja Katiba ya nchi kwa kupitisha Sheria ya Kuzuia Ugaidi ya 2002 ili zipatikane fursa zaidi za kuwanyoongesha Waislamu. Waislamu waliipinga sheria hiyo kwa nguvu zao zote, lakini kwa kuwa wao ni jamii inayotakiwa kupigwa vita hawakusikilizwa.
Aisee, kumbe sheria ya kuzuia ugaidi iliwafanya waislamu kuwa wanyonge!
 
KUTUMIKA KAMA GOGO LA CHOONI KUBAYA SANA.
Waislamu fungueni macho you are being used!!!!!
 
Nguvumali na Wana JF,hakika hili TAMKO LA WAISLAMU(FULL TEXT)linatia kichefuchefu,lina-bore,linaudhi na ni upupu na upuuzi mtupu. Kwa ujasiri kabisa naweza kusema hili tamko ni FOOLISH TEXT au FULL RUBBISH.

Hapa ndipo wale GREAT THINKERS wanapoweza kuona udhaifu mkubwa kabisa ulioko kwenye dini ya hawa ndugu zetu. Napenda nimnukuu mwanafalsafa aliyewahi kusema,''Great minds discuss ideas; Average minds discuss events; Small minds discuss people.” -Eleanor Roosevelt

Kulingana na tamko la hawa waislamu, wao hawako kwenye Great minds wala Average minds kulingana na ER. Waislamu wanaangukia moja kwa moja kwenye kundi la Small minds!
Ukisoma TAMKO lao limejaa manung'uniko na malalamiko ya kuwasema WAKRISTO na SERIKALI yao kuwa ina wanyanyasa na kuwaonea madai ambayo hayana msingi hata chembe.
Hizi ni sawa na porojo za wahuni wa vijiweni waliokosa kazi, waliobakisha kula bangi na kunywa gahawa!

Kuna Waislamu wachache wanaoweza kuchambua au kupambanua mambo kama nguvumali nilivyomnukuu hapo juu. Huyu amesema kweli kabisa ambayo hakuna anayeweza kupinga.

Hawa Masheikh wa Kiislamu inaonyesha hawana upeo wa elimu ya kuchanganua mambo. Ni masheikh waloishia elimu ya MADRAS ambayo sana sana ni kujifunza kusoma KIARABU na KURUANI,full stop.Unategemea nini mtu mwenye elimu ya MADRAS? Hawa jamaa huwa wanafikiri wakishajua kutamka maneno ya KIARABU basi wameshafuzu.

Mimi huwa nawaambia Kiarabu ni lugha tu wala si imani wala dini. Sijui nani aliyewadanganya kuwa KIARABU ni lugha au dini ya Mwenyezi Mungu na kwamba bila kiarabu huwezi kwenda akhera? Utakuta mdigo anang'ang'ana kuswalisha kwa Kiarabu ilihali anaowaswalisha ni Wadigo! Why not speak in your native language kidigo so that the Digos get the Quran message in their mother tongue? Why speak Arabic language? Huu ni udhaifu mojawapo wa dini ya Kiislamu. Kuthamini lugha ya Kiarabu na kudharau lugha ya mama! Hilo ni moja.

Lakini la pili,ni haya malalamiko ya Waisalmu kuwa wanaonewa katika serikali kwa maana kunyimwa nyadhifa katika uongozi mbalimbali. Wametaja u-DC,u-RC,Ubunge,Uwaziri n.k.
Swali kwa Waislamu hawa ni Je, hivi mtu unaweza kuajiriwa,kuteuliwa au kuchaguliwa kama huna SIFA(Qualifications) kwa maana ya CVs???Ni wapi ulikuta vyeo vinagawiwa kama karanga???

Tuanze na hili la u-DC/RC,la kuteuliwa na Rais. Tumekuwa na awamu nne za Marais ambao ni Waislamu. Ali Hassan Mwinyi (Mzee Ruksa)- awamu 2 na sasa tuna Jakaya Kikwete ambaye yuko awamu yake ya 2. Je, hawa Marais walishindwaje kuteua ma-DC/RC Waislamu kama wapo na wana sifa? Jibu ni kwamba hao Waislamu wenye sifa hawapo.

Hili la Wabunge niseme hivi: Kuna vyama vingi sana vya upinzani na havibagui dini ya mtu. Hawa waisalmu wanakuwaga wapi kugombea nafasi za Ubunge zinapotangazwa kupitia vyama mbalimbali? Jibu ni kwamba HAWANA SIFA ZA KUGOMBEA UBUNGE. Sifa waliyonayo ni degrees za MADRAS! Mbona tuna wabunge waislamu ambao wana sifa wanagombea na wanachaguliwa? Zitto Zuberi Kabwe(Mwuislamu) ni mbunge kijana kupitia tiketi ya CHADEMA. Ubaguzi uko wapi.Bado kuna wabunge wa KUTEULIWA: Rais ana uwezo wa kuteua Wabunge 10. Baada ya Uchaguzi mwaka jana Rais Kikwete alianza kwa kuteua wabunge 3 wote WAISLAMU, Nahodha Waziri wa Mmabo ya Ndani, Zakhia Meghji,na Prof.Mbawala. Wameteuliwa kwa sababu wana sifa mbali ya ushikaji n.k.


Kuhusu Mawaziri ni kwamba hawa wanatokana na Wabunge wa kuchaguliwa au kuteuliwa. Sasa kama Waislamu hamkugombea ubunge mkachaguliwa na wala Rais Kikwete(Mwuislamu) hakuwateuwa kwa sababu hamkuwa na sifa mnataka nchi ifanyaje kuwasaidia au kuwaingiza kwenye madaraka???????????Hakika madai yenu ni porojo na ndoto za Alnacha.

Kuna kipindi Mzee Ruksa aliwaambia Waislamu kwenye mojawapo ya mikutano yenu ya aidha Baraza la Idd au Maulid or whatever kuwa,WAISLAMU MUACHE KULALAMIKA BAALI MKAZANE KUSOMA KAMA WENZENU WAKRISTO.

Maneno hayo hayo yakaja kurudiwa na Jakaya mwenyewe kuwa WAISLAMU NENDENI MKASOMA NA MJENGE SHULE ILI WATOTO WENU WASOME. Kikwete alienda mbali zaidi kwa kuwaambia kuwa YEYE KIKWETE ALISOMA SHULE ZA MISSION MAANA NDIZO ZILIZOKUWEPO na mpaka sasa zinaendelea kuwepo. Waislamu badala ya kujenga English Medium Primary Schools,Seminaries na Universities kila SIKU WANAJENGA MISIKITI na MADRAS KILA KONA na kila mtaa! Saa ngapi mtasoma ili mpate hizo nafasi mnazo zililia huko serikalini???

Waislamu acheni unafiki. Kwa hili hakuna atakaye waunga mkono.

Nitaendelea.
Waislam hawatarajii kuungwa mkono na watu wa aina yako. Madrasa na misikiti inakuuma sana lakini itaendelea kujengwa kila kona,na shule zitajengwa na zinajengwa lakini kubwa zaidi sisi huwa hatupendi kujitenga kama nyie tunapenda serikali ifanye kazi yake ya kutoa elimu,matibabu na huduma nyingine bila kuzikasimu kwa mashirika ya dini yawe ya waislam au wakristu. Tunafarijika Serikali ya jk inajitahidi inajenga zahanati katka kila kata,shule za sekondari za kata,inaboresha maslahi ya watuminishi katika taasisi zake.Hili ni mojawapo ya mambo yaliyowaudhi maaskofu dhid ya jk kwani watumishi walianza kuhama taasisi zao na kwenda serikalini.
Masheikh nyie endeleeni kutusemea wakti huo nasisi tunaendelea na harakati nyingine za maendeleo muda si mrefu yote haya yataisha tu
 
Masheikh wameongea point sana. Nimenote point zifuatazo:
1.Ni lazima serikali ichukue jukumu lake la kuongoza nchi na si kukasimu madaraka yake kwa maaskofu na kuielekeza nini ifanye na nini isifanye.
2.Wakti wakristu wana MOU zinachotwa pesa za walipa kodi wote pamoja na mimi kwa manufaa yao peke yao,Waislam wameomba nchi ijiunge na OIC ili nchi kwa ujumla wake inufaike na misaada toka OIC.Serikali ilifanya utafiti ikagundua hakuna tataizo kujiunga lakini maaskofu wakaijia juu serikali nayo ikagwaya.
3.Mahakam ya Kadhi haitahusu wakristu,lakini wao pamoja na hayo bado hawataki,.Hapo ndo inapokuja point ya kuwa sasa kama madi ya waislamu hayatakiwi na wakristu basi bora tuijitenge kielewke.
Point zko nyingi tu lakini ngoja niishie hapo

Mdau jitahidi usome thread ya #203 japokuwa ndefu kidogo (ila kwa kuwa tunaelimika kwa kusoma tu hivyo huna budi kuisoma)imeeleza vizuri sana kuhusu 'so called tamko' kuongeza kidogo tatizo naloliona hapa ni inferiority complex jaribuni kudeal na hili tatizo kwanza kabla ya kutoa matamko kama haya.
 
Hivi.................

Hebu tujiulize, maaskofu wakatoa tamko lao na kueleza msimamo wao dhidi ya Serikali na vyombo vyake JUU YA YALIYOTOKEA ARUSHA...

Mashehe nao wakaibuka na tamko lao kulaani maaskofu............

Wazee wa Dar es Salaam wakaja na tamko lao kulaani maaskofu............

Tamko la maaskofu halikuwalenga mashehe wala wazee wa Dar es Salaam, lakini mashehe na wazee wa Dar es Salaam wakawajibu maaskofu kana kwamba wao ni wasemaji wa Serikali...............

Maaskofu wameisema serikali.................. wazee wa Dar wamewajibu maaskofu, na mashehe wamewajibu maaskofu.............

HAWA NDO WASEMAJI WA SERIKALI.......???

KWA UPANDE WA SERIKALI
Waziri wa Mambo ya Ndani Shamsi Vuai Nahodha anasema vyake, Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Kamillius Membe anasema vyake, Kamishna wa Polisi Paul Chagonja akaja na yake, chama tawala kikaja na migawanyiko yake; Waziri Stephen Wasira akaja na kauli yake .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom