Jamani , kulalamikaaaaa kutwa, ingekua Rais Mkristo wangesema wanaonewa, adui wetu waislamu ni waislamu wenyewe, Tunajilaum kwa mambo yaliyo ndani yetu. TUNAOGOPA VISIVYO OGOPESHA.
UKITAKA KUJUA SISI NA MASHEHE WETU TUNAJIDHALILISHA ANGALIA MATAMKO YETU, Yamepwaya, hayana uzito wala mantiki, Maaskofu wakikemea Jambo, Mashehe wanakuja kujibu, ahaaaah kinyaa kabisa, Maaskofu wanawapuuza mashehe, kwakua wanaonekana ni watu wasio na ufahamu, uelewa na wala elimu katika maisha ya kawaida.
Soma hiyo thread juu, ni ujinga unaoweza kuukuta ndani ya Gazeti la Annuur na redio Imani sijui ya kule Morogoro.
tunajidhalilisha sana.