Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Status
Not open for further replies.
Wakati huo Karume alikuwa Rais wa Nchi ya Zanzibar. Itifaki imezingatiwa Mzee!

but mkuu hilo si baraza la mawaziri, ni mkao wa kichama. Ingekuwa ni mkao wa kiserikali hivyo Shein angekuwa hapo alipokaa Makamba.
 
ni kama mzee msekwa anasema i iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!! anashangaa mno. Na ukaaji huo ni wa kiprotocali kulia kwa mwenyekiti yupo amani karume-vice chairman zanzibar, kwa nini kushoto kwake asiwe vice wa bara? au dini ndiyo ina-control itifaki?

Na hilo ndo lilowafanya nyie na maaskofu wenu muichukie ccm.Mlizoea kukutana na viongozi wa juu makanisanai na kazi nyingi mlipeana hukohuko lakini hawa hapa hamwapati kanisani wanapatikana ikulu.Na siku zote viongozi waislamu hujenga nchi wakati wenzao wakristu wakijenga ukristu.
 
ROMA iliangkka ndio itakua wewe ? hahaha unaonyesha upumbavu wako, I'm beyond that so I'll leave you to stay in your own hate sphere, that is enough to kill you!
Yes you are beyond stupidity, if you needed my confirmation.

Mpumbavu unaezaje kumtambua bila ya yeye kujidhihirisha? waache wasomaji waone mtiririko wa hoja, halafu kwa wakati watoe majumuisho.
 
Masheikh wameongea point sana. Nimenote point zifuatazo:
1.Ni lazima serikali ichukue jukumu lake la kuongoza nchi na si kukasimu madaraka yake kwa maaskofu na kuielekeza nini ifanye na nini isifanye.
2.Wakti wakristu wana MOU zinachotwa pesa za walipa kodi wote pamoja na mimi kwa manufaa yao peke yao,Waislam wameomba nchi ijiunge na OIC ili nchi kwa ujumla wake inufaike na misaada toka OIC.Serikali ilifanya utafiti ikagundua hakuna tataizo kujiunga lakini maaskofu wakaijia juu serikali nayo ikagwaya.
3.Mahakam ya Kadhi haitahusu wakristu,lakini wao pamoja na hayo bado hawataki,.Hapo ndo inapokuja point ya kuwa sasa kama madi ya waislamu hayatakiwi na wakristu basi bora tuijitenge kielewke.
Point zko nyingi tu lakini ngoja niishie hapo


Kwa mtaji huu, kweli nimeamini shule pekee haitusaadii wote!!!
 
but mkuu hilo si baraza la mawaziri, ni mkao wa kichama. Ingekuwa ni mkao wa kiserikali hivyo Shein angekuwa hapo alipokaa Makamba.
Makamba ndiye Mtendaji Mkuu wa shughuli za kila siku za CCM. Hapa ni kurahisisha mawasiliano na M/kiti wake wakati kikao kikiendelea.
 
Hivi nchi hii ina serikali kweli. Huu uchochezi na madai yasiyokuwa na msingi wala ushahidi wanaangalia tu bila kuwachukulia hatua hao mashehe wathibitishe maai yao. Uongozi wa juu umeshikiliwa na waislamu wenyewe, Raisi, makamo wa raisi, raisi Zanzibar, IGP n.k wanachotaka ni nini kama sio Alkaida wanatafuta kisingizio cha kutuletea vurugu.

Kwani hawawezi kutoa tamko bila kuwashambulia wakritu?
 
Sitaki kuamini kuwa kufaulu kwangu primary , secondary mpaka univerisity kulikuwa ni kwa ajili ya upendeleo kwa dini yangu!!!!
 
Kwa mtaji huu, kweli nimeamini shule pekee haitusaadii wote!!!
We ndo kwanza unalijua hilo leo?
Kuna wasomi wengi kibao nchini wengi wao waliopitia semianri za kanisa lakini ona nchi ilivyo.Sasa hizo elimu zao zinatusaidia nini.Ndio wanoongoza nchi kuja na mikataba mibovu na mingine ya upeneleo kama MOU unategemea nini Zero
 
Sitaki kuamini kuwa kufaulu kwangu primary , secondary mpaka univerisity kulikuwa ni kwa ajili ya upendeleo kwa dini yangu!!!!
We kwani ulihitimu primari kipindi gani?
Kipindi chote cha Nyerere kulikuwa hakuna kufaulu darasa la saba kulikuwepo kuchaguliwa.Walikuwa wnapanaga mkoa fulani watoe watoto kahdaa na mkoa mwingine kadhaa dai likiwa ni kwamba nafasi ni chache na hivyo zinagawanywa proportionately.Hapo ndo waislam waliumizwa sana kwa sababu watendaji wote wa zoezi hilo walikuwa ni dini moja na wizara ilikuwa chini ya Padri.Soma Kitabu cha Padri Dr.John Sivalon (Siasa za Tz na Kanisa Katoliki). Mtu alipokuwa hakuchaguliwa darasa la saba huo ulikuwa ndo mwisho wa elimu kwani hata sekondari za binafsi haziukuwep. Haya mambo yana ushahidi practically and theoretically. Mimi ni msomi wa elimu ya juu,nina uhakika panapo majaaliwa ya Mungu na wanangu watasoma lakini suala la ubaguzi wa aina yoyote haufai na lazima upigwe vita
 
Nani kakwambia chuo kikuu cha kiislamu kinaweza kutoa watu weledi zaidi ya weledi wa madrasa?!..binafsi sishangai kwa hao wanaojiita maprofesor kutoa matamko ya namna hii..................hawa uprofessor wao ni sawa na uprofessor wa akina profesa jay...

Lakini kwa niniwaislamu wamefurahia sana mauaji ya arusha wakati waliyachukia sana yale ya zanzibar na mwembechai?..........
Hivi waislamu kwa akili zao ndogo za kushinda vijiweni na kupiga soga wanashangaa wabunge kuwa 75%........mbona wanaomaliza shule za msingi, wanaomaliza secondary, wanaomaliza vyombalimbali na vyuo vikuu kote nchini kwa ujumla wake na wale wanaofanikia kuendelea na masomo ya juu ni 92%-wakristo na 8%-waislamu?.......utakaaje vijiweni na kupata uprofessor wa madrasa alafu uwe mbunge?........sasa pamoja na uvivu na kutokuwa na akili kwa waislamu bado serikalini mawaziri wamefikia zaidi ya 20% huu ni uonevu kwa wakristo........hata katika maombi ya kazi sisi tuliopo kwenye nafasi za kuajiri watu idadi ya wanaoomba kazi huwa 95%waislamu na 5%-waislamu na wengine.........haya madai ya kishamba na ambayo yameegamia kwenye misimamo ya kidini ni hatari sana?...............

Dunia bila uislamu pangekuwa mahali salama sana kwa kuishi kwanio palipo na uislamu pana chuki, vurugu,vita,migomo hovyohovyo, kujitolea muhanga........hakika ni dini ya shetani na dini hatari sana kwa ustawi wa jamii.
 
Masheikh wameongea point sana. Nimenote point zifuatazo:
1.Ni lazima serikali ichukue jukumu lake la kuongoza nchi na si kukasimu madaraka yake kwa maaskofu na kuielekeza nini ifanye na nini isifanye.
2.Wakti wakristu wana MOU zinachotwa pesa za walipa kodi wote pamoja na mimi kwa manufaa yao peke yao,Waislam wameomba nchi ijiunge na OIC ili nchi kwa ujumla wake inufaike na misaada toka OIC.Serikali ilifanya utafiti ikagundua hakuna tataizo kujiunga lakini maaskofu wakaijia juu serikali nayo ikagwaya.
3.Mahakam ya Kadhi haitahusu wakristu,lakini wao pamoja na hayo bado hawataki,.Hapo ndo inapokuja point ya kuwa sasa kama madi ya waislamu hayatakiwi na wakristu basi bora tuijitenge kielewke.
Point zko nyingi tu lakini ngoja niishie hapo

Kalamazoo,

Nasikia harufu ya Mujahaddin na Answar suni.

Naomba uwe mpole na fahamu zikirudie. Naona tatizo hapa ni Madras. Napenda nizijibu hoja zako tatu kama ifuatavyo:
  1. Serikali ya CCM chini ya Rais Kikwete Mwuislamu hata siku moja haijakasimu mamlaka au madaraka ya kuongoza nchi kwa maaskofu. Huo ni uzushi,uongo na unafiki uliopindukia mipaka. Hivi kwa akili yako ya MADRAS unaweza kutushawishi kuwa Serikali ya CCM inaongozwa na MAASKOFU kweli??? Mpaka sasa Tanzania inaongozwa kwa misingi ya Katiba na Sheria japo zinakiukwa na haohao tuliowapa dhamana ya kutuongoza. Hapa nina maana ya ukiukwaji wa Katiba na Sheria kwa kuwagandamiza wananchi katika kuwanyima DEMOKRASIA YA KWELI NA UHURU WA KUTOA MAWAZO NA KUSIKILIZWA. Vilevile katiba inakiukwa kwa serikali kushindwa kuwaletea Watanzania maendeleo. Hakuna mahali popote kwenye Katiba na sheria za nchi hii ambapo kuna KIFUNGU KINACHOELEKEZA VIONGOZI WATEKELEZA MAELEKEZO YA MAASKOFU.Hakuna. Kilichopo ni kuwa SERIKALI YA TANZANIA HAINA DINI NA HIVO KILA MTU ANAO UHURU WA KUABUDU DINI ANAYOTAKA ILMRADI HAVUNJI SHERIA ZA NCHI. Maaskofu wanachofanya ni KUTOA MAONI YAO KAMA SEHEMU YA RAIA WA NCHI HII PALE WANAPOONA SERIKALI YA CCM INAPOKWENDA ALIJOJO. HATA KAMA INGELIKUWA YA CUF,CDM,UDP,NCCR-MAGEUZI n.k.maaskofu wangeendelea kukosoa upuuzi. Maaskofu hawawezi kunyamaza wakti KATIBA NA SHERIA ZINAPOVUNJWA NA WENYE UCHU WA MADARAKA AU MAFISADI WALIOKUBUHU. Kesi ya Uchaguzi wa meya ARUSHA IKO WAZI KABISA CCM WALIKIUKA TARATIBU NA HATA BAADHI YA VIONGOZI WENYE BUSARA NDANI YA CCM WALIKEMEA HILO JAMBO. KUNA SWALA LA DOWANS KULIPWA MABILIONI YA PESA,FEDHA YA WALIPA KODI WA NCHI HII,UNATEGEMEA MAASKOFU WANYAMAZE TU KAMA NYIE MBUMBUMBU MZUNGU WA RELI??WATU MNAKAA KUTOA TAMKO LA KIPUUZI BADALA YA KUTOA TAMKO LINALOHUSU MAMBO YA MSINGI??K.m. KATIBA MPYA,DOWANS,UCHAGUZI FEKI WA MEYA ARUSHA,n.k????
  2. Hili la OIC lilikuwa ni swala la KIKATIBA. Kwamba Zanzibar ilitaka kujiunga na OIC kama nchi kamili(Sovereign State) kwa hiyo ikaonekana kuwa Zanzibar wanavunja Katiba. Vilevile kulikuwa na HARUFU YA UDINI KATIKA OIC. Kwamba misaada ya kutoka OIC ina masharti na sharti mojawapo ni lazima nchi iwe ya KIISLAMU. Tanzania Bara au Visiwani(Kwa maana ya Zenj) hakuna Serikali inayoongozwa kidini, whether Kiislamu au Kikristo.
  3. Mahakama ya Kadhi najua Waislamu mnaitaka sana. Wakti watu MAKINI WANADAI KATIBA MPYA nyie MNADAI MAHAKAMA YA KADHI!Sasa sijui kwa akili yenu WAISLAMU, KIPI MHIMU,KATIBA MPYA AU MAKAMA YA KADHI???Uchaguzi wa mwaka 2005 CCM waliingiza kwenye ILANI yao ya Uchaguzi ili kuweza kupata KURA ZA WAISLAMU. Uchaguzi wa mwaka jana 2010 hili halikuwemo kwenye ILANI YA CCM,lakini juzi wakti wa sherehe za IDD EL HAJ, Makamu wa Rais Dr. Mohamed Gharibu Bilali aliwaahidi WAISLAMU KUWA MUWE WATULIVU KWA KUWA SWALA LENU LA MAHAKAMA YA KADHI LINASHUGHULIKIWA NA HIVI KARIBUNI MTAPEWA MNACHOTAKA. SIJASIKIA ASKOFU YEYOTE AKIPINGA hiyo kauli ya Makamu wa Rais.Sasa sijui unacholalamika ni nini hasa. Tunajua hiyo MAHAKAMA YA KADHI HAINA TIJA YOYOTE ZAIDI YA KUJA KUCHOCHEA MOGOGORO TU NDANI YA JAMII. Huwezi kuwa na mifumo ya Mahakama za aina 2 kwa wakti mmoja. MAHAKAMA YA SERIKALI na MAHAKAMA YA KADHI. Huwa nawauliza waislamu kwa nia njema tu,kuwa ukikutwa unaiba MAHAKAMA YA KADHI INASEMA UKATWE MKONO,ukikutwa unazini,UTACHIMBIWA SHIMO NA UTAPIGWA MAWE MPAKA UFE. Sasa je, baada ya KUKATWA MKONO utapelekwa tena Mahakama ya Serikali? Huyu aliyefanya Uzinzi akapigwa mawe na kufa,Mahakama ya Serikali itasema nini au itaamua nini?? Huku itakuwa ni kuchanganya mambo. Lakini mimi nasema wawape hizo Mahakama halafu tuone mtafanya nini!!
 
Wapendwa wana JF, Binafsi nasikitika sana tuapojadili historia ya dini zetu na masiha yetu.Guys kama kweli mliweza kusoma history vizuri na mkaielewa sidhani kama mtaendelea kubishania kuhusu Udini.
DINI ZOTE ZILILETWA NA WAMISSIONARY NA WAARABU,ambao their target was how EUROPE AND ARABS countries are now.p
PLEASE,PLEASE,PLEASE LETS THINK OUT OF THE BOX kama shujaa KABANGA ALIYEMPIGA MKORONI
 
Akili yako finyu sana na hupendi kuuliza kama hujui, mwinyi kaikuta bakwata uliza historia ya bakwata utaambiwa, miaka ya baadae "wakati wa Mwinyi"ikagawanyika hao hao bakwata na kuwa na branches mbili moja ya kushughulikia madrassa "bakita" ikiongozwa na Sheikh Yahya Hussein na baadae Sheikh Mattaka akaazisha Baraza kuu la misikiti tanzania "bamita" hii ni baada ya kugundulika pesa zinazotolewa na wahisani kuendesha misikiti na madrasa zilikuwa zinaliwa na wajanja wachache. Ndio Yahya Hussein akawa toka na Bakita na Mattaka akatoka na Bamita.

Mzee labda wewe akili yako ndo finyu nadhani hujasoma hayo malalamiko ya waislamu kwa bakwata kama tamko lao linavyosome hapo juu nanukuu "Ndio maana tangu wakati wa Nyerere hadi leo, uchaguzi wa viongozi wa Waislamu husimamiwa na vyombo vya dola. Nia ikiwa ni kutokuwapa Waislamu uhuru wa kuwachagua viongozi wao. Katika taifa moja haki hiyo ni ya Wakristo peke yao. Sote ni mashahidi kuwa mwaka 1994 serikali ilimwagiza Naibu Waziri Mkuu Mh. Augustino L. Mrema kuhakikisha kuwa Bakwata inapitisha katiba mpya inayotakiwa na serikali. Na Maaskofu wakachangia gharama. Waislamu ni maadui kidini na kisiasa, lazima wadhibitiwe". mwisho wa kunukuu,

Tamko linasema serikari ilimwagiza Agustino Mrema, serikari ya nani? wakati huo sio mzee RUKSA? kwa hiyo mzee Mwinyi nae alichangia kuhujumu BAKWATA? na mpaka leo JK, SHEIN na BILAL serikari yao inaendelea kuhujumu BAKWATA na uislamu? sasa kama waislamu hawana Imani na serikari kusaidia Taasisi za kislamu kama BAKWATA, Inakuaje wanaiomba serikari waanzishe MAHAKAMA YA KADHI na Serikari iwalipe makadhi, si serikari hii hii waislamu wanayoituhumu itaweza kuwahujumu waislamu, sasa kwa nini waislamu wasijiepushe na hujuma za serikari kwa kujianzishia mahakama yao ya KADHI? KADHI ni swala la ibaada sa serikari kweli ILIYOWEZA kuhujumu BAKWATA, ina aminika vipi tena kuanzisha kadhi mkuu? Naomba unisaidie hapo nimekwama kuelewa hawa ndugu zangu wanachohitaji.
 
Jamani , kulalamikaaaaa kutwa, ingekua Rais Mkristo wangesema wanaonewa, adui wetu waislamu ni waislamu wenyewe, Tunajilaum kwa mambo yaliyo ndani yetu. TUNAOGOPA VISIVYO OGOPESHA.

UKITAKA KUJUA SISI NA MASHEHE WETU TUNAJIDHALILISHA ANGALIA MATAMKO YETU, Yamepwaya, hayana uzito wala mantiki, Maaskofu wakikemea Jambo, Mashehe wanakuja kujibu, ahaaaah kinyaa kabisa, Maaskofu wanawapuuza mashehe, kwakua wanaonekana ni watu wasio na ufahamu, uelewa na wala elimu katika maisha ya kawaida.

Soma hiyo thread juu, ni ujinga unaoweza kuukuta ndani ya Gazeti la Annuur na redio Imani sijui ya kule Morogoro.

tunajidhalilisha sana.

kwa nini kila hao "mashehe" wanapotoa tamko ni mpaka wakusanye mashehe wanazuoni?
 
KABLA YA "KURUDISHA" hizo shule na hospital Iunde Tume tujue hayo mashule na Hospital watayorudishiwa hayakutokana na zile pembe zetu za Ndovu walopora Mission, almasi yetu,watumwa, kama jibu ni Ndio ni Product ya Dhulma ile vipigwe Mnada tufidie wizi ule wa Missioneries then Chenji yao watapewa!!!!
 
Jamaa walioandika tamko wamesoma au vipi? mbona hakuna point humo????utumbo mtupu...huwa hawawezi kuanzisha kitu kipya zaidi ya kujibu mambo walioanzisha maaskofu???????????????????????wazee wa tende bwana!
 
CCM wanatumia Ignorance na njaa za ndugu zetu (Though wapo wa kristo ignorance na njaa kwa sana tu pia), sijui kwa nini CCM wame opt kuwatumia Waislam nao kuingia Mkenge kiasi cha kutoa matamko shallow na hatari kama wanavyofanya na ninaamini wataendelea kufanya (kwa kutumiwa na CCM)

JK aliupata urais kwa kuwawekea mizengwe wenzake kupitia wahariri njaa ambao wengine ndio hao sasa ni wakurugenzi wa habari Ikulu, hivyo huu udini unaochomoza ni ajenda kamili iliyopikwa kutoka ndani ya watu walewale ambao tunataka kuwasahau kuwa ni think tank wa mkulu wetu na lengo lao kuu ni la kizamani sana...."divide and rule"...Sitaki kuamini kuwa kwa hili watafanikiwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom