Shkh Yahya
Senior Member
- Oct 1, 2010
- 100
- 5
:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big: you really made my night!! yaani nimecheka , na mbavu sina hapa.
Wakipewa misaada, eti wanapewa tende. Alafu wanaona wamepata kitu cha maana sana?!! Shhuuuuuuuuuuuuuuuuuiiiiiiiiiikama unataka kujua kama watu hawa walioandika hiyo article wamekosa shule, angalia tu mwenyewe hicho wanachokisema hapo...ni utumbo huwezi amini hawa ndo wanaswalisha watu. sasa wanataka nini? unajua, mimi nafikiri ifikie kipindi selikali ijitoe kabisa, iondoe misamaha ya kodi, irudishe hospitali zote za kidini na shule zote za kidini, halafu ituache sisi wakristo tujiendeshe wenyewe, kwasababu kinachoonekana hapa ni WIVU na si sababu yoyote, wivu tu. jamani, sisi tunajenga mashule na hospitali kwa sadaka zetu, tunajenga pia kwa misaada toka ulaya....ninyi mbona hamuwezi?
Jamani , kulalamikaaaaa kutwa, ingekua Rais Mkristo wangesema wanaonewa, adui wetu waislamu ni waislamu wenyewe, Tunajilaum kwa mambo yaliyo ndani yetu. TUNAOGOPA VISIVYO OGOPESHA.
UKITAKA KUJUA SISI NA MASHEHE WETU TUNAJIDHALILISHA ANGALIA MATAMKO YETU, Yamepwaya, hayana uzito wala mantiki, Maaskofu wakikemea Jambo, Mashehe wanakuja kujibu, ahaaaah kinyaa kabisa, Maaskofu wanawapuuza mashehe, kwakua wanaonekana ni watu wasio na ufahamu, uelewa na wala elimu katika maisha ya kawaida.
Soma hiyo thread juu, ni ujinga unaoweza kuukuta ndani ya Gazeti la Annuur na redio Imani sijui ya kule Morogoro.
tunajidhalilisha sana.
Basi Nadhani kwenye katiba mpya tuombe nafasi maalumu za upendeleo bungeni kwa waislamu na nafasi maalum za upendeleo kwa waislamu za Ukuu wa wilaya, ukuu wa mkoa etc. Kwa maana kama Muislamu mwenzetu JK anateua wakuu wa wilaya ambao ni nyumba ndogo tu! na kuacha waislamu wenzake then tunawatupia lawama maaskofu na wakristo then tunasafari ndefu ya kujikomboa kifikra!
Kisha niende dini gani? upagani? acha kudharau imani ya mtu kaka hapa tunafahamishana kwa lugha nyepesi kuwa wapo waislam wa kweli ila waliowekwa mfano "bakwatwa" wapo kimaslahi zaidi sijaamanisha kuwa uislam unaniboa hutaniboa na nitakufa nikiwa Muislamu Insha'Allah.
waliowaletea hizi dini wenyewe wako kimya wanawaza maendeleo,nyinyi mnawaza kubaguana, kama sio akili mbovu ni nini?
miafirika bwana tuko hovyo!
(2) Kwa kuwa kila wanchosema Maaskofu ndicho kinachofuatwa na serikali, na kwa kuwa Maaskofu wamekwishatamka hadharani na kwa sauti kali kuwa katika nchi yetu hakuna kabisa udini na atakayesema kuna udini basi ni yeye ndiye anayetaka kuleta udini, na kauli hiyo kudakwa na mawakala wa Maaskofu katika serikali, ni dhahiri kuwa dhulma za udini zinazoendelea kuwakandamiza Waislamu miaka 50 baada ya Uhuru hazitaondoshwa na Katiba mpya. Hivyo wajibu wetu mwingine ni kupigania ukombozi wa Waislamu ili washiriki katika kuandaa katiba mpya wakiwa ni raia huru na sawa na wenzao. Waislamu popote tulipo tunao wajibu wa kuorodhesha dhulma zote za udini tunazofanyiwa na kupigania ziondolewe kwanza na kulipwa fidia."
Hii ni trick ya CCM kujaribu kupoteza malengo yetu wapenda mabailiko kwa kupoteza hoja amabazo kimsingi zinichachafya CCM na serlikali yake, wanataka kutupoteza tusijadili DOWANS, tusijadili Mauaji waliyoyafanya Arusha, Tusijadili Katiba Mpya, tusihoji nia na uwezo wa Muungwana katika vita Dhidi ya Rushwa na ufisadi kama alivyodokeza Edward Hoseah."(1) Maadam Mfumo Kristo umeimarika kiasi cha kuweza kuitisha serikali na viongozi wake na wakatishika, na maadam Mfumo huo Kristo una nguvu za kuweza hata kuvitisha na kuvikemea vyombo vya dola na vikasalimu amri, Waislamu tutake tusitake, kama alivyohadharisha Mh. Membe, ukweli unabaki kuwa hautapita muda mrefu, dhulma hii ya udini italisambaratisha Taifa letu, kama udini ulivyoisambaratisha Ivory Coast ambayo katika miaka ya 1960 na 1970 ilikuwa mfano wa kuigwa.
Hivyo basi wajibu wetu wa mwanzo ni kuufikisha ujumbe huu kwa Waislamu wote nchini, na kuwataka wazingatie kuwa kwa kuwa wanabaguliwa na kudhalilishwa katika nchi hii kwa sababu ya Uislamu wao, basi ni wajibu wao na wao kushikamana kama Waislamu."
Niambie ni halali kuchota pesa na kupeleka kwenye miradi ya kanisa? pesa za umma through MoU? kama huo ni wivu mkuu basi sijakusoma!
Wanachofanya CCM ni kama kawaida yao kutumia udhaifu wa Masheikh, ambao ni njaa ili kuwatumia kama ule mpira wa kujikinga na ukimwi halafu 2015 kama wakiweka mgombea mkristo kibao kinageuka.
We umesoma elimu ahera halafu unataka kujifanya mahiri ktk mambo ya kidunia? Lazima CCM watakuzidi akili tu na kukutumia kwa manufaa yao
![]()
Nafasi kuu za uongozi wa nchi wamekamata wao, angalia hawa viongozi wa kamati kuu ya ccm