Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Status
Not open for further replies.
Bora ccm wapigwe mawe hadi ufisadi uwatoke, kuliko haya mambo wanayotunyia wenzao.
 
Jiulize mbona shule ya msingi umesoma na waislam wengi Sekondari wakati ule kidato cha kwanza "wanachaguliwa" walikuwa wanachaguliwa waislam wangapi? ilhali wakristo walikuwa na fursa kwenye shule zao za seminari nyingine zilikuwa chini ya East African Muslim Welfare Society chini ya Aga Khan shule hizo moja wapo ni Tambaza, Azania na shule ya msingi Lumumba hizi ni kwa uchache tu.

kazi bado tunayo, kama watu walioenda shule hawelewi itakuwaje wengine?
 
MAFANIKIO YA WILLIBROD PETER SLAA KIKAZI NA KITAALUMA
1.Mkurugenzi Mtendaji,chama cha wasioona Tanzania, 1992-1998
2.Katibu Mkuu, Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), 1985-1991
3.Mkurugenzi wa maendeleo (Jimbo Katoliki la Mbulu). 1977-1979-1982-1985
4.PADRI WA KANISA LA KATOLIKI 1977-1978-1979-1980-1981-1982-1983-1984-1985-1986-1987-1988-1989-1990-1991
CHADEMA RAIS wenu huyo..NO Offense someni haraka then save mpaka kesho sidhani kama hii post tutaikuta wakiona wenyewe bye mimi nilikuwa napita tu.
 
MAFANIKIO YA WILLIBROD PETER SLAA KIKAZI NA KITAALUMA
1.Mkurugenzi Mtendaji,chama cha wasioona Tanzania, 1992-1998
2.Katibu Mkuu, Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), 1985-1991
3.Mkurugenzi wa maendeleo (Jimbo Katoliki la Mbulu). 1977-1979-1982-1985
4.PADRI WA KANISA LA KATOLIKI 1977-1978-1979-1980-1981-1982-1983-1984-1985-1986-1987-1988-1989-1990-1991
CHADEMA RAIS wenu huyo..NO Offense someni haraka then save mpaka kesho sidhani kama hii post tutaikuta wakiona wenyewe bye mimi nilikuwa napita tu.

Ndio ili iweje sasa?
 
Wewe kabila gani? pengine itakuwa vizuri tukikufahamisha jini ni nini na shetani ni nini kwa kilugha. Hayo ni majina mawili yenye maana tofauti mkuu. kama huelewi bi bora uulize usiropoke tu utaonekana mjinga.

Mie sina kabila naitwa Mtanzania mzalendo ninayeipenda nchi yangu.

Inaonekana wewe hujui hata maana ya SHETANI(shetwani kama mnavotamka waislamu). Wewe ulishawahi kumwona shetani???Unataka kuniambia mtu asipokuwa muislamu tayari ni shetani?? Hii inadhihirisha tu kuwa upeo wa uelewa wa mambo kwa waislamu ni zero yenye masikio. Kama vile ambavyo MUNGU asivoonekana vivo hivo na SHETANI huwezi kumwona.

KAMA TU VILE HUWEZI KUMWONA MUNGU(You call it ALLAH)BASI NA HALI KADHALIKA MAJINI NA MASHETANI HAWAONEKANI.
WAISLAMU MNA TUMIA SANA LUGHA YA KUPANDISHA MASHETANI,JE HUWA WANAPANDA KUTOKA WAPI?? NINAVOJUA NI KWAMBA SHETANI NA MAJINI NI ROHO ZISIZOONEKANA (SPIRITS) ILA ZINAWEZA KUMPAGAA AU KUMVAMIA MTU NA AKAWA AIDHA KICHAA,ZUZU AU TABIA ZA KISHETANI. HUYU MTU ALIYEPAGAWA NA SHETANI AU JINI HUWEZI KUMWITA KUWA NI SHETANI AU JINI. ILA ATAONYESHA TABIA FULANI ZA KISHETANI/KIJINI wazungu wanaita attributes.

Soma hapa chini upate tafsiri ya Neno SATAN(SHETANI):

Satan - (Judeo-Christian and Islamic religions) chief spirit of evil and adversary of God; tempter of mankind; master of Hell.

Soma nukuu hizi toka kitabu cha Kiislamu:



157. Na wameweka nasaba baina yake na majini.
158. Na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa.
159. Ametakasika Mwenyezi Mungu na yale wanayomsifu.
160. Isipokuwa waja wa Mwenyezi Mungu.


Onyesheni hoja ya kiakili au ya kinukuu kuwa Mwenyezi Mungu amewafanya Malaika ni wanawake.


Na wameweka nasaba baina yake na majini.


Wametofautiana wafasiri kuhusu maana ya Aya hii. Tunavyofahamu sisi,kutokana na dhahiri yake ni kuwa washrikina walimnasibishia Mwenyezi Mungu mtukufu mahusiano ya uzazi na majini, kama walivyomnasibishia Malaika. Kuna tafsiri iliyonukuliwa kutoka kwa Mujahid na Muqatil kwamba Kinana na Khuzaa walisema kuwa Mwenyezi Mungu alitaka uchumba kwa mabwana wa kijini nao wakamuoza binti wao wa ukoo wa kilodi, na ndio akazaa naye Malaika!


Na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa

Vipi atakuwa na nasaba na majini na hali wao wanajua kuwa Mungu ndiye aliyewaumba na kwamba wao watafufuliwa na kuulizwa yale waliyokuwa wakiyafanya.



 
Kwa akili ya kawaida ya kibinadamu nashindwa kuelewa huyu mtu aliye anzisha huu mjadala anamwakilisha binadamu wa aina gani !!!! je anamuwakilisha muislam wa taifa lipi, sidhani kama anamuwakilisha muislamu wa Tanzania? Nchi ambayo haina udini wala ukabila !!!!!!!!!
Sipati picha, mbona watanzania bado hatujafikia huko? Mbona kila dhehebu lina uhuru wa kuabudu mahali popote bila kujali ukristu wala uislamu? Mbona muislamu bado anauhuru wa kuingia kanisani au kwenye mkutano wa injili bila kubughudhiwa na mkristu pia anauhuru wa kuingia msikitini au kwenye mhadhara wa waislamu bila ya kubaguliwa? Sasa tuulizane zaidi, je, ni wakristu wangapi wameoa waislamu na ni waislamu wangapi wameoa katika familia za kikristu? Je hii bado haitoshi kutoa jibu kwamba hapa kwetu Tanzania Waislamu na wakristu wote ni ndugu moja? Iweje leo atokee mtu kutoa madai mazito na ya hatari kama hayo !!!!!!

Kwa maoni yangu naomba serikali iwe makini sana sana na watu wa aina hii kwani haitakii amani nchi yetu. Tufike mahali tuwe na mipaka ya demokrasia ya kuzungumza. Mtu kama huyu anatakiwa akamatwe haraka sana na ahojiwe ili kujua kwamba anamuwakilisha nani katika hili. Sitaki kuamini kuwa huyu kweli ni mtanzania na kwamba ni kweli anazungumza kwa niaba ya waislamu watanzania.
Inawezekana labda ametumwa na baadhi ya watu wasioitakia nchi yetu amani. Ninamaana huenda watu hawa wanatumiwa na baadhi ya viongozi wachafu (mafisadi) walioko ndani ya serikali yetu
ili kuanzisha mjadala mzito ambao unaweza kufunika mijadala mingine iliyopo sasa hivi kama DOWANS, Titcmond, katiba mpya na mauaji ya raia Arusha na Mberali Mbeya. Kama ndivyo basi tumewashitukia. Watanzania sasa hivi tuna machungu na hatudanganyiki mpaka kieleweke
 
Msishutuke sana hivyo ni vizee vyenye Njaa ambavyo awali vilikosa mali wakati wa Chukua Chako mapema, sasa viko hoi utavikuta balazani vikiongelea CCM Simba au Yanga baadaye utasikia vikipiga SIMU bwan Ndogo leo mkono haujaenda kinywani, nitilie kidogo, utavikuta Ilala , Club ya Simba au Yanga, au Magomeni vikinywa kahawa, nasema msiogope kwa kuwa vijana wengi wan uelewa wa hali ya juu, mtu akisema Waislam hawajasoma naktaa kabisa.

Labda tuwatenge kufuatana na Umri, ambao hawajasoma wnaokaria majungu ya Mpiraau siasa hawataki kufanya kazi kazi yao ni kupangisha majumba na uchawi wa chuma ulete, nao hawa wana umri kuanzia miaka sitini na kuendelea.

Sisi vijana kuanzia miaka 20 na kuendelea tulikosa kazi kwa asilimia kubwa hivyo tunaona CHINA na Indonesia ndio kimbilio letu la kutukomboa kiuchumi na Kielimu maana wanakwambia tembea uone, sasa vijana wamewapiku WAHINDI mpaka wamekimbia, Njoo kariakoo muone viajana wanavyochakarika huku vizee hivyo vikingoja hela za wafadhili ambazo wamezipata kutokana na UFISADI mara utasikia LUASA kaisha pita ?, au Rostam kaacha nini mnigawie.

Watu hawa ndiyo wanavotumiwa kuleta malumbano yasiyo na tija na kutugawa, JUZI tu wameanza mambo ya AJABU, kuna watu wanaitwa ALJUMAA, hawa watu wabaya sana WAMEJENGA jengo moja wanamiliki wao kupanga KWAO ni LAZIMA uwe MWISLAM na UWE na sala TANO, cha kushangaza mbona RWAKATALE kauza KANISA kwa MWISLAM na limefanywa MADUKA lipo pale kwenye uso wa kariakoo , mbona watu wote tumepanga pale bila kubaguana?

Hawa wasituletee zengwe wawakemee wanaodhulumu nchi wasiwe wadini
 
MAFANIKIO YA WILLIBROD PETER SLAA KIKAZI NA KITAALUMA
1.Mkurugenzi Mtendaji,chama cha wasioona Tanzania, 1992-1998
2.Katibu Mkuu, Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), 1985-1991
3.Mkurugenzi wa maendeleo (Jimbo Katoliki la Mbulu). 1977-1979-1982-1985
4.PADRI WA KANISA LA KATOLIKI 1977-1978-1979-1980-1981-1982-1983-1984-1985-1986-1987-1988-1989-1990-1991
CHADEMA RAIS wenu huyo..NO Offense someni haraka then save mpaka kesho sidhani kama hii post tutaikuta wakiona wenyewe bye mimi nilikuwa napita tu.
Usibadilishe mada, topic iliyopo ni kwa waislam kutumiwa kama toilet paper bado wana mategemeo ambayo Kikwete hawezi yatimiza, walidanganywa watulie hadi baada ya uchaguzi sasa wameanza kushituka kuona miezi inapita, Kikwete naye baada ya kuona hawezi timiza anatapatapa na kuutupa mpira kwenye udini kiwe kama kisingizio cha kushindwa kwake.
 
Kwenye mada yako nimeona ukiwaasa waislamu wasitumiwe na ccm. Ningeomba uonyeshe waislamu wanatumiwaje na ccm maanake bila kuonyesha inaweza kuwa vigumu kukubali nasaha zako. Hao unaowaita baadhi ya waislamu wenye udhaifu wa kuchanganua mambo ni akina nani? Unaweza kuwataja? Nitashukuru sana kama utanipa majibu.
 
MAFANIKIO YA WILLIBROD PETER SLAA KIKAZI NA KITAALUMA
1.Mkurugenzi Mtendaji,chama cha wasioona Tanzania, 1992-1998
2.Katibu Mkuu, Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), 1985-1991
3.Mkurugenzi wa maendeleo (Jimbo Katoliki la Mbulu). 1977-1979-1982-1985
4.PADRI WA KANISA LA KATOLIKI 1977-1978-1979-1980-1981-1982-1983-1984-1985-1986-1987-1988-1989-1990-1991
CHADEMA RAIS wenu huyo..NO Offense someni haraka then save mpaka kesho sidhani kama hii post tutaikuta wakiona wenyewe bye mimi nilikuwa napita tu.

Nadhani umeyumba sana kwenda nje ya mada halisi iliyoletwa na mwanzishaji.

Hapa unaleta historia ya dr Slaa ukionyesha kukerwa na upadri wake aliotumikia kwa miaka 11 lakini unasahahu ubunge wake aliotumikia kwa miaka 15 ikiwa ni mingisana kuliko ile aliyotumia katika upadri wake.

Mada kubwa niliyoona hapa ni ile ya viongozi wa kiisalamu kutmika kisasa kuwashambuliwa wenzao wa dini nyingine. Kuna ripoti nyingi sana zinazoonyesha kuwa tangu masheikh waahidi kutoipigia CCM kura kwa kutokana na kushindwa kwake kuleta mahakama ya Kadhi iliyokuwa imahidiwa mwaka 2005, Makamba na Kikwete walifanya jitihadi kubwa sana kuwaahidi viongozi wa kiisalamu kuwa CCM itashughulikia swala hilo mara baada ya uchaguzi; hata Bilal aliwatamkia waislamu hivi majuzi tu kuwa swala ma mahakama ya kadhi sasa litatekelezwa, na akatumia maneno "inshallah kilio chenu kimesikilizwa na sasa mtaona matunda yake."

Tatizo kubwa linalojitokeza ni kuwa Katiba iliyopo hairuhusu kuundwa kwa mahakama ya Kadhi, na kwa upepo unavyokwenda katiba mpya ikiandikwa ni vigumu sana katiba hiyo kuwa na kipengele cha mahakama ya kadhi. Sasa kwa vile masheikh waliamua kuambatana na CCM wakitegemea kupata mahakama ya kadhi, OIC, na kutaka sikukuu nyinginezo za kiislamu ziwe za kitaifa, kunaweka giza kubwa sana huko mbeleni kama kweli vitu hivyo vitapatikana kweli, na endapo kweli masheikh na CCM wataendelea na umoja huo.

Tatizo jingine ni pale ambapo CCM ikatokea kuongozwa na mtu ambaye siyo mwislamu, kwa mfano Membe, Mwandosya, Lowassa au Magufuli ambao wote ni potential candidates. Au ikiwezekana CHADEMA ikapata kionfgozi ambaye ni mwislamu, kwa mfano Zito au Profesa Safari. Miaka ya hivi karibuni viongozi wa kiislamu wamekuwa wanaangalia dini ya mtu zaidi ya uwezo wake. Kwa vile viongozi wakubwa wa CCM ni waislamu basi chama hicho kimekubaliwa zaidi kwenye uislamu licha ya maovu yake tunayojua sote.
 
jamani tupo pamoja,why waislamu wapo iferior hivo?????wasidanganyike na zawadi za ccm,inaonekana kama masheikh wamefurahia mauaji arusha..wakisahau pia kuna muumini wao aliuwawa,mnatuboa masheikh hebu fikirieni b4 kukurupuka....
 
Niwaambie ukweli, mwenzenu hadi hivi sasa siwezi, sitaki, sikubali na wala sifikirii kukubali kuwa hili ndilo lilikuwa tamko rasmi la hao viingizo wa Kiislamu. Nakataa.

Endelea kukataa, wala hatuhitaji wewe ukubali..ndio sisi tutuoe tamko

Meanwhile, ni vizuri ukaelewa tamko kwa makini yasije yakatokea mkasema hatujaambiwa

Niliwahai kusema nchi hii lazima kutatokea mgawanyiko kwasababu haki imebinywa sana kwa jamii fulani..
 
Usibadilishe mada, topic iliyopo ni kwa waislam kutumiwa kama toilet paper bado wana mategemeo ambayo Kikwete hawezi yatimiza, walidanganywa watulie hadi baada ya uchaguzi sasa wameanza kushituka kuona miezi inapita, Kikwete naye baada ya kuona hawezi timiza anatapatapa na kuutupa mpira kwenye udini kiwe kama kisingizio cha kushindwa kwake.

Nilipopiga mstari sijapenda wala sio lugha nzuri kwa mtu yeyote

Jaribu kuwa na ustaarabu kwa binadamu wenzako..i does not cost that much..lol
 
Endelea kukataa, wala hatuhitaji wewe ukubali..ndio sisi tutuoe tamko

Meanwhile, ni vizuri ukaelewa tamko kwa makini yasije yakatokea mkasema hatujaambiwa

Niliwahai kusema nchi hii lazima kutatokea mgawanyiko kwasababu haki imebinywa sana kwa jamii fulani..

Kulikuwa na posta moja inayouliza hiyo haki iliyobinywa kwa wasialamu ni ipi. Kila ninaposama malalamiko yanayotolewa na wasemaji wa wasilamu, huwa naona wote wanatoa conjectures na speculations tu. Kuna mtu kasema eti waziri wa elimu aliwahi kuwa padri, (nadhani padri Chiwanga) kwa hiyo aliwafelisha waislamu waseindelee na elimu ya sekondari. Hata hivyo hajatoa ushahidi wowote kuonyesha jinsi waziri huyo alivyokuwa anaamua matokeao ya mtihani wa darasa la saba kwa nchi nzima wakati kila mkoa ulikuwa unasimaia mitihani yao. Nasikitika sana waislamu wanasiasa makini kama Dr Omar Juma na Sheikh Idria Abudul wakili hawapo tena miongon mwetui leo hii. Wanasaisa wengi waislamu haSA WALE WA NGAZI ZA JUU NDANI YA ccm WAMEKUWA NI WANAFIKI WANAOCHOCHEA MGAWANYIKO WA KIDINI ILI WAENDELEE KUWAPO MADARAKANI, NA MASHEIKH WANAKUBALI KUTUMIKA KWA NJIA HIYO.
 
Usibadilishe mada, topic iliyopo ni kwa waislam kutumiwa kama toilet paper bado wana mategemeo ambayo Kikwete hawezi yatimiza, walidanganywa watulie hadi baada ya uchaguzi sasa wameanza kushituka kuona miezi inapita, Kikwete naye baada ya kuona hawezi timiza anatapatapa na kuutupa mpira kwenye udini kiwe kama kisingizio cha kushindwa kwake.
Pole sana kuwa mvumilivu naona hasira nyingi, mimi sijaona hiyo mada ya toilet pepa unayosema usiwapangie watu wazima cha kusema wapangie watoto wako au mke wako, wewe unapenda kujadili vitu unavyopenda wasiwasi wetu sisi watanganyika PADRI kuwa RAIS..tunaogopa SCANDAL PRIEST HOMOSEXUAL
 
Ni swala la ajabu sana Waislam kujiingiza kwenye migogoro ya America and Middle East linatokana na ufinyu wa watu kufikiri. Mimi naishi US and honest mji niliopo kuna misikiti over 150 na tunaishi peaceful, sababu we figure out kwamba vita ya Middle East and U.S is non of our business.

Watanzania waislam wanaitaji mambo mawili, kwanza kuacha kulalama kwamba tumekandamizwa 1950's, pili kujikita katika Elimu na Ujasilimali. Hii itaongeza chachu kwenye community, more jobs will be developed and people will earn their share of pie. Kuendelea kulia lia kwamba tunabanwa, tunanyanyaswa hakusaidii kitu. Elimu and Ujasilimali is the key of any economic development.

Sasa kama mnataka kuendelea kunywa gahawa pale mwamboni na kutaka serikali iwaletee mpaka mikate ya Boflo, then be my guest my friend because Government is not a solution but part of a problem. I learned that in the hardway..... dawa ni ku-train watu wenye taaluma kuja kufundisha shule zetu na vyuo vyetu bila kubagua.... Kumbuka hadithi ya Hijirah wakati mtume (swa) alivyo mtafuta kijana wa kumlisha ngamia na kumsaidia kuongoza njia kwenda madinah, kijana yule hakuna muislam bali alikuwa amebobea kwenye direction ndani ya jangwa (now days tungemuita GPS). Hadhi hii inaonyesha kwamba Mtume (swa) aliajiri mtu kutokana na ujuzi wake na sio dini yake.... sasa kama mtume wa mungu alifanya hivyo, jee mimi na wewe?

Hawa kina shekh Juma Ponda na wehu wengine ni opportunist ambao hawana shule. Ndio maana nawaambia waislam wengi dunia Tanzania kunaitaji vitabu vingi vya dini vilivyochambuliwa kiswahili. America wamechambua almost kila kitabu, Tanzania need to do the same.... ama sivyo tutaangamia....
 
Kulikuwa na posta moja inayouliza hiyo haki iliyobinywa kwa wasialamu ni ipi. Kila ninaposama malalamiko yanayotolewa na wasemaji wa wasilamu, huwa naona wote wanatoa conjectures na speculations tu. Kuna mtu kasema eti waziri wa elimu aliwahi kuwa padri, (nadhani padri Chiwanga) kwa hiyo aliwafelisha waislamu waseindelee na elimu ya sekondari. Hata hivyo hajatoa ushahidi wowote kuonyesha jinsi waziri huyo alivyokuwa anaamua matokeao ya mtihani wa darasa la saba kwa nchi nzima wakati kila mkoa ulikuwa unasimaia mitihani yao. Nasikitika sana waislamu wanasiasa makini kama Dr Omar Juma na Sheikh Idria Abudul wakili hawapo tena miongon mwetui leo hii. Wanasaisa wengi waislamu haSA WALE WA NGAZI ZA JUU NDANI YA ccm WAMEKUWA NI WANAFIKI WANAOCHOCHEA MGAWANYIKO WA KIDINI ILI WAENDELEE KUWAPO MADARAKANI, NA MASHEIKH WANAKUBALI KUTUMIKA KWA NJIA HIYO.

Ushahidi tumeotoa kwenye tamko letu sema hamtaki kusoma hivyo viatabu vya refernce tulizowapa..mnaendelea kutoa kejeli na dharau..

Ushahidi wa hujuma hizo na takwimu zilipelekwa serikalini enzi ya mkapa ili aunde tume kuchunguza ukweli, akasoma alipoona ukweli akawaita maaskofu akaanza kufoka..hatimaye guilt consiuos yake akatoa muslim university..

Haya mambo siyo uzushi ni kweli na documents, trends tunazo...
 
Basi kama DINI ndio zinatugawa hivi kwa kutumiwa na mataifa ya Jirani kwa kuendekeza njaa, kuliko kuuana na kuendeleza migongano isiyokuwa tija BORA Misaada yote ya KIDINI ipigwe marufuku tuwe kama china, awali china walimwamini Mao kama Mungu wao wakafanikiwa kuondoa dhuluma, kujilimbikizia mali na kueneza ujamaa ndio maana wameendelea sana, hawalali kwa kuwa wameona giza hila baada ya uchovu baada ya kufanya kazi, sasa wewe kama unapiga domo kuwa CCM ina wenyewe wenyewe kama mafisi si jioni itakula kwako kama uliowatetea vijiweni hawakukuletea kitu, Msizidishe majungu HAKUNA UDINI ni Njaa tu ZINAWASUMBUA, sasa wewe Mzee unayeniangallia unaleta CHOCHOKO za Ubaguzi na UCHOKOZI zikianza Ngumi waweza kimbia DAR kamKsiwa hakuna pa kutokea KUMBUKA kuwa VIJAN HAWAKO na nyie ndio Maana huwezi kuwaona Kwenye Matamko ya AJABU wanapigania maisha Bora sio nyie Tegemezi bwana, Acha kabisa WEWE Mzee Fulani ninayekuona unasubiri MAKAMBA hakupe Ten ukalale
 
Ni swala la ajabu sana Waislam kujiingiza kwenye migogoro ya America and Middle East linatokana na ufinyu wa watu kufikiri. Mimi naishi US and honest mji niliopo kuna misikiti over 150 na tunaishi peaceful, sababu we figure out kwamba vita ya Middle East and U.S is non of our business.

Watanzania waislam wanaitaji mambo mawili, kwanza kuacha kulalama kwamba tumekandamizwa 1950's, pili kujikita katika Elimu na Ujasilimali. Hii itaongeza chachu kwenye community, more jobs will be developed and people will earn their share of pie. Kuendelea kulia lia kwamba tunabanwa, tunanyanyaswa hakusaidii kitu. Elimu and Ujasilimali is the key of any economic development.

Sasa kama mnataka kuendelea kunywa gahawa pale mwamboni na kutaka serikali iwaletee mpaka mikate ya Boflo, then be my guest my friend because Government is not a solution but part of a problem. I learned that in the hardway..... dawa ni ku-train watu wenye taaluma kuja kufundisha shule zetu na vyuo vyetu bila kubagua.... Kumbuka hadithi ya Hijirah wakati mtume (swa) alivyo mtafuta kijana wa kumlisha ngamia na kumsaidia kuongoza njia kwenda madinah, kijana yule hakuna muislam bali alikuwa amebobea kwenye direction ndani ya jangwa (now days tungemuita GPS). Hadhi hii inaonyesha kwamba Mtume (swa) aliajiri mtu kutokana na ujuzi wake na sio dini yake.... sasa kama mtume wa mungu alifanya hivyo, jee mimi na wewe?

Hawa kina shekh Juma Ponda na wehu wengine ni opportunist ambao hawana shule. Ndio maana nawaambia waislam wengi dunia Tanzania kunaitaji vitabu vingi vya dini vilivyochambuliwa kiswahili. America wamechambua almost kila kitabu, Tanzania need to do the same.... ama sivyo tutaangamia....

Kasome tamko tena uanze kusema kwa vigezo siyo emotions
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom