Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,125
Fatilia posti ndio utajua kwanini nimesema hivyo....
Nimekwambia sijafuatilia post?
Fatilia posti ndio utajua kwanini nimesema hivyo....
Nimekupata kaka ila tatizo letu sisi waislam hatuwezi ku walk on our words, hao walioandika huo waraka wakipigwa mpunga na pesa kidogo wanauza maslahi yetu kwa kitu. Wachache sana wenye kuweza kusimama kidete mfano Sheikh Ali Basaleh lakini hana msaada wowote.
Mfano kwenye ilani ya chama chetu tawala ya mwaka 2005 iliyoandaliwana idara ya itikadi na uenezi ya chama na kupitishwa kwenye CC ya chama kulikuwa na kipengele cha mahakama ya kadhi. Tuache unafiki wote waliisifia ile ilani mapadre, makasisi na mashekhe wakamuita JK chaguo la Mungu. Ilipokuja mjadala wa mahaka ya kadhi kilichotokea sote tunakijua.
Silaha ya waislam ilikuwa kwenye sanduku la kura lakini kwa mgawanyo wetu na unafiki wetu yaliyojiri mnayajua sina mengi ya kusema ila ukweli utabaki pale pale. Itatuchukua miongo mingi sana kujipanga kupata solution ya matatizo ya kiislam na uislam.
My Take,
Waislam hawawezi kubadilika na hawatabadilika.
Nimekupata kaka ila tatizo letu sisi waislam hatuwezi ku walk on our words, hao walioandika huo waraka wakipigwa mpunga na pesa kidogo wanauza maslahi yetu kwa kitu. Wachache sana wenye kuweza kusimama kidete mfano Sheikh Ali Basaleh lakini hana msaada wowote.
Mfano kwenye ilani ya chama chetu tawala ya mwaka 2005 iliyoandaliwana idara ya itikadi na uenezi ya chama na kupitishwa kwenye CC ya chama kulikuwa na kipengele cha mahakama ya kadhi. Tuache unafiki wote waliisifia ile ilani mapadre, makasisi na mashekhe wakamuita JK chaguo la Mungu. Ilipokuja mjadala wa mahaka ya kadhi kilichotokea sote tunakijua.
Silaha ya waislam ilikuwa kwenye sanduku la kura lakini kwa mgawanyo wetu na unafiki wetu yaliyojiri mnayajua sina mengi ya kusema ila ukweli utabaki pale pale. Itatuchukua miongo mingi sana kujipanga kupata solution ya matatizo ya kiislam na uislam.
My Take,
Waislam hawawezi kubadilika na hawatabadilika.
Kwa hiyo wewe peke yako ndio muislamu sio? au unayo detector ya kujua dini za wana JF?
Ahsante sana Mkuu. Waislamu wengi ni wanafiki sana. Wengine wanadiriki hata kusema kwamba Kikwete anaandamwa kwa sababu ni Muislamu na hivyo wanamuoandama ni Wakristo kwa kuwa wanataka Rais awe mkristo mwenzao.
Ukiwaambia anaandamwa kwa kuwa ni kiongozi mbovu na kuna ushahidi wa kutosha kwamba kazi ya kuongoza nchi imemshinda hawakuelewi hata kidogo kwao wao Kikwete kafanya mengi sana. Sijui mengi yepi ambyo yamefanywa na Kikwete ukiondoa usanii.
Fatilia post utajua kwa nini nimesema hivyo, muongo, maneno/maandishi yake ndio yaliyo muumbua, you don't need any detector, just read between the lines
Kaka comprehension ngumu eeh? kwa hiyo mimi nikisema, mathalan, 'Watanzania wanahitaji serikali thabiti', ina maana mimi si mtz? au mpaka nikuoneshe kitambulisho cha kupiga kura ndio uamini?
CRAP!! Ndio wale wale wakikamatwa wanaiba wanasema walikua wanaonja tu!! au nilikua naongea mimi kama mimi na sio waziri hahahha
Hivi nini kina kutuma kutumia jina zaidii ya moja, Mohammed Shossi ??
Sums up all.
Eti Mapambano, pambana na UJINGA KWANZA.
Huo ndio udanganyifu wenu kama kwamba munacheza na watoto wadogo.Hizo resource za kanisa ni zipi?.
Hayo mambo mungeyafanya bila MOU na kulazimisha misamaha ya kodi tungewaelewa.Kinyume cha hapo ni kutaka kuchukua majukumu ya serikali kupitia mlango wa nyuma na kukuza dini yenu kupitia mabezo kwa waislamu.Hapa ndipo ambapo waislamu wamewashtukia.