kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,234
- 9,507
MakundiHizi BM ni za nanii??
MakundiHizi BM ni za nanii??
Machame safari ni Menti Mbowe.Kuna Machame Safari na Machame Investment. Yule wa Machame Safari anaitwa somebody Mengi na anaishi Moshi,huyo wa Machame Investment jina lake limenitoka but anaishi Kondoa.
KAKOE..?Mkuu sasa niko dar
Home ilikuwa ni pale karibu na msikiti wa maanswari kwa sasa
Ila kwa sasa pamebadilika sana pia nakumbuka kulikuwa na tajiri mmoja anatengeneza ma skania nishasahau jina lake
Boisafi anamiliki vitega uchumi gani Moshi!?lasway yupo na tena biashara zake zinaenda kinoma yule apendag utani kwny kaz zake ukimletea wiz wiz anakupiga bastola za mat*ko kama mia iv pia kuna kina boisaf,, mdgo ake meng mweny salsalnero kina mr price pia yupo Lawrence Mosha aliekuwaga katib wa yang zaman aligombea ubung mosh akakosa
Patrick Ngiloi Olomi since Patrick Ngiloi Oil mjini Moshi .Hivi panone ni za nani?
Msumbiji MTU mcheshi kibosho wa mjini jamii ya Alex Massawe ha hahKuna mmoja alikua anaitwa Msumbiji sijui yupo wapi siku hizi
Bilas Makundi (BM)Za Don yupi zile
Stationery na huduma za Mobile MoneyBoisafi anamiliki vitega uchumi gani Moshi!?
KAKOE..?
Stori za Bikra maria zipo kule kibosho na aliko onekana... Kuhusu Baba Mtakatifu Yohane Paul wa pili ilikuwa mwenzi kama huu alipita pia Memorial daaah umenikumbusha mbaliiiiiii.Kuna story za jerad alotokewa na mama bikira Maria
Mji ulizizima
Watu wazima walienda kibosho kushuhudia muujiza ule
Bibi yangu alikwenda,na alinihakikishia alimwona mama bikira Maria.
Kuna habari za baba mtakatifu yohane paulo wa pili miaka ya 90 alikuja Tanzania
Nadhan alifika kristu mfalme pale,sina uhakika kwakuwa nilikuwa mdogo
Alituachia baraka watanzania
Babu yangu alinambia alivofika airport aliibusu ardhi ya Tanzania,akimaanisha baraka na amani hivyo haitokaa itokee vita Tanzania.
Fake ID ni kwere member mmoja hapo juu ni jirani yangu sema ndio ivyo tena anyway tutakutana tu ata mbinguni mradi uhaiDuuuh asee utakuta majirani hatujuani kwa hizi fake IDs.
Buni Ramole Ossy Hotel ...old manNi kweli mzee kwetu ukitoka ni lami tu
Nyumbani ni karibu na hotel ya al jezeera au msikiti wa riadha
Pia sio mbali sana na hotel ya buni ramole
Ukipanda juu unakutana na maduka mpangano a.k.a kariakoo
Juu unakuta soko la juu unanyoosha umefika home
Kada wa ccm Mwenyekit ccm mkoa?Stationery na huduma za Mobile Money
Buni Ramole Ossy Hotel ...old man
Ni wakala mkuu wa voda mpesa kanda ya kaskazn pia ana mahoteli makubwa sana moshi; arushaBoisafi anamiliki vitega uchumi gani Moshi!?
Ndio nimeondoka uko juzi tu mzee babaOk good endeeleen kuujenga mji
Vipi wewe warud lini tuilete moshi ya zamani?
Hilo sina uhakika kwasasaKada wa ccm Mwenyekit ccm mkoa?
Yes mkuu!Machame safari ni Menti Mbowe.