kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,234
- 9,506
Kili home nadhanBoisafi anamiliki vitega uchumi gani Moshi!?
Kili home nadhanBoisafi anamiliki vitega uchumi gani Moshi!?
Ndie mwenyekiti.Hilo sina uhakika kwasasa
Vp kuhusu stori za Mombasa store zinazosema hapajawahi kuonekana gari ikileta mzigo lakini dawa hazijawahi isha.No
Ni wakala mkuu wa voda mpesa kanda ya kaskazn pia ana mahoteli makubwa sana moshi; arusha
Ni kitu cha kweli kabisa mkuu mi nimeishi moshi miaka 15 nikiwa timamu sijawah onaVp kuhusu stori za Mombasa store zinazosema hapajawahi kuonekana gari ikileta mzigo lakini dawa hazijawahi isha.
Za kweli hizi??
Hii inanikumbusha stori moja ya mbibi mtu mzima na nyumbani kwake hapajawahi onekana majani/pumba/molases zikiletwa lakini anakamua maziwa kwa Ng'ombe wake na kuuzia wananchiNi kitu cha kweli kabisa mkuu mi nimeishi moshi miaka 15 nikiwa timamu sijawah ona
Mkuu kuna Uzi kule kaanzisha Britannica kwamba Wahaya ndio wanaongoza kwa kuwa na MaprofesaYes mkuu!
Jamaa kwenye belo za mtumba nasikia nae ni mdau sana
Mkuu, Britannica kaanzisha dude kule kuwa Wahaya ndio wanaongoza kwa Wasomi hasa Maprofesahahahaha mm ni mpenz mkubwa wa rhumba nazipenda nyimbo zake
Ameona ajaribu kuutoa huu uzi kwenye trend of the week.Mkuu kuna Uzi kule kaanzisha Britannica kwamba Wahaya ndio wanaongoza kwa kuwa na Maprofesa
Awez ng'o ukija kweny mapresenter bora kabisa apa bongo utakuta wanatokea moshi na a cityAmeona ajaribu kuutoa huu uzi kwenye trend of the week.
Yahaya aliuchafua mji kwa pesa aiseNdie mwenyekiti.
Waliamua kumpoza coz ye ndio angeshinda kura za maoni kama asingekuja Yahaya dakika za lalasalama
Watu walikula lakini kura zikaenda kwa mwingineYahaya aliuchafua mji kwa pesa aise
Moshi wajanja sanaaa,zile pesaa angemwaka kwenye jimbo kama la Dodoma mjini angenunua hadi uenyekiti wa mtaaWatu walikula lakini kura zikaenda kwa mwingine
Wakai wa kampeni nilibahatika kupita memorial kwa wamaza wanaouza mtumba. Walikuwa wanasema kabisa wanakula hela lakini hawampi kura ng'ooMoshi wajanja sanaaa,zile pesaa angemwaka kwenye jimbo kama la Dodoma mjini angenunua hadi uenyekiti wa mtaa
Huyu ni bro wake Mengi??Kweli nimemsahau Mzee Elitira. Alikua na tenda ya kushona nguo za wanafunzi Kilimanjaro na Arusha. Hii ni kabla ya uhuru. Reginald Mengi huyu tunaemjua ni zao mzee Elitira.
Ok, I thought so. Ndivyo kumbukumbu zangu zilivyonipa.Hilo gorofa nalifahamu sana kwa gorofa palikuwa panaitwa kwa Mwacha wakati panajengwa bimkubwa alikuwa anawauzia mafundi msosi so tulikuwa tunaingiamo. Ukienda mbele kidodgo ndio pakiitwa pensheni
Ndio huyu mwenye ghorofa flani hivi barabara ya moshi arusha.??
ni tag kwenye Uzi huo nimgaragazeMkuu, Britannica kaanzisha dude kule kuwa Wahaya ndio wanaongoza kwa Wasomi hasa Maprofesa
Kumbe k vant ni ya mmbongo kumbe nijuzeniKuna BIG 5s
Baadhi ya member washatajwa as individual
Kimaro wa K vant