Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Halafu watanzania tuache ukabila
Mie na wazee wangu si wachaga,maisha tu yalimfikisha mzee huko akajenga na tukazaliwa,moshi town kuna makabila mengi sana
Labda huko migomban,ila kwa pale mjini asilimia kubwa ni wakuja
So sio kila anayeiongelea moshi ni mchagga
Sote ni watanzania na tuna haki ya kuishi popote Tanzania, madhali huvunji sheria za nchi
Hii thread ni maalumu kwa wana moshi ,whether mchagga ama chasaka .Wengine tumezaliwa pale town ,tukakua tukasoma and our childhood memories ziko pale,so tujiue ili tusiikumbuke moshi?It's Gods plan.Naomba mjadala na uendelee.ukabila pembeni.we both Tabzanians apart from our tribal differences.
 
Lipi hilo?

Ibra alikuwa hataki gari zake (coaster) zikae foleni ya kilo kipindi hiyo. Basi kwa ubabe zikawa zikija tuu zinaingia mbele kabisa ndio zipakiwe.

Na ubabe huo akawa nao hadi mizani ya himo. Basi zake zikikuta foleni zinaenda piga pini gari ya mbele na kuunga moja kwa moja mizani. Hakuna kupanga foleni.

Jamaa wa gari za machame wakawa wanamlalamikia Mengi. Akawaambia siku imetokea tukio kama hilo tena basi wamvutie waya na wasisogeze gari ilipo.


Mwisho wa siku hamadi kibindoni machame ndio inatakiwa iingie mizan gari ya ibra na ibra mwenyewe akiwemo hawa hapa wana force wawahi.

Mengi akavutiwa waya akaja fasta.
Ibra akatoa mashine jamaa aliposhuka kwenye gari yake. Mengi kachomoka na silaha ya kivita.

Ibra akanywea. Akatukanwa kinyama hadi hizi mambo za ndumba kwenye familia yao. Mengi akamwambia kwanza gari zenyewe haziko kwa jina lake. Kama zikko kwa jina yake amletee kadi ya gari atampa coaster mpya.
Ibra alinywea sana.
Adabu akaishika
 
Halafu watanzania tuache ukabila
Mie na wazee wangu si wachaga,maisha tu yalimfikisha mzee huko akajenga na tukazaliwa,moshi town kuna makabila mengi sana
Labda huko migomban,ila kwa pale mjini asilimia kubwa ni wakuja
So sio kila anayeiongelea moshi ni mchagga
Sote ni watanzania na tuna haki ya kuishi popote Tanzania, madhali huvunji sheria za nchi
Hii thread ni maalumu kwa wana moshi ,whether mchagga ama chasaka .Wengine tumezaliwa pale town ,tukakua tukasoma and our childhood memories ziko pale,so tujiue ili tusiikumbuke moshi?It's Gods plan.Naomba mjadala na uendelee.ukabila pembeni.we both Tabzanians apart from our tribal differences.
Wee kama umezaliwa/kukulia humu ruksa kujiita NORTHERNER
 
Wee kama umezaliwa/kukulia humu ruksa kujiita NORTHERNER
I do that and am proud
Tatizo naona kuna watu wakisikia story za moshi wanageuza kuwa za wachagga.really?
Naamin ulikuwa mpango wa Mungu nizaliwe na nikulie pale moshi mjini
Sion kama kuna ubaya
And it's true moshi ulikuwa mji mtamu sana
Nimeinjoi maisha yangu ya utoto moshi
That's y daily nakumbuka
Ilikuwa nikiamka asuhuh nijiandae kwenda shule nauona mlima Kilimanjaro ulee,theluji iking'aa
Those are wonderful memories I will never forget
 
Najaribu vuta kumbu kumbu hola mkuu.
Kuna jamaa fulani hivi white mnene Mushi anakaa maeneo ya pale Kisawio jina la utani anaitwa King Kong alikuwa na DCM zake kibao zimeandikwa KK jamaa alikuwa ameishika sana njia ya Uru Timbirini wakati huo Ibra hana ruti kule. Na huyo KK nae alikuwa mbabe sana kwa njia hiyo,sasa Ibra nae akapeleka Coaster mbili kule na akawa anawaambia madereva wake hakuna kukaa kilo pale Stand Kuu,Kk akiwakuta madereva wa Ibra anawadunda. Kuna siku wakakumbana na Ibra,KK alinywea balaa wapiga debe full kuzomea.
 
Kuna jamaa fulani hivi white mnene Mushi anakaa maeneo ya pale Kisawio jina la utani anaitwa King Kong alikuwa na DCM zake kibao zimeandikwa KK jamaa alikuwa ameishika sana njia ya Uru Timbirini wakati huo Ibra hana ruti kule. Na huyo KK nae alikuwa mbabe sana kwa njia hiyo,sasa Ibra nae akapeleka Coaster mbili kule na akawa anawaambia madereva wake hakuna kukaa kilo pale Stand Kuu,Kk akiwakuta madereva wa Ibra anawadunda. Kuna siku wakakumbana na Ibra,KK alinywea balaa wapiga debe full kuzomea.
Daa kweli kila mbabe na mbabe wake
 
Hahaha lol nimemkumbuka kipindi kile mweeeh
Hahahaha dah,Moshi ya kipindi kile ni nyoko. Kama wewe ni mgeni ukiwa na gari watu wanakufahamu kuwa huyu si mwenyeji na ukijifanya mjuaji gari inaibwa mchana kweupe kabisa. Nakumbuka kuna Mzee mmoja jina sitamtaja alikuwa mfanyakazi pale town tatizo lake alikuwa anatumia Cheo na hela zake kukamua mademu wa Watu. Sasa kuna siku akaenda zake club pale Alberto alipotoka nje hakukuta gari wacha aitafute mpaka kwenye koti. Kumbe wazee walishaichukua na kupelekwa kufichwa kule Kifumbu. Mzee akaambiwa atoe mpunga mrefu apate gari lake la sivyo hataipata kamwe. Akaambiwa ikifika kesho saa sita mchana afike pale Pub Alberto aweke mzigo kaunta then aondoke zake atapewa maelekezo mengine na ole wake aende na Polisi. Kweli Mzee akafanya aliyoambiwa akapigiwa simu aende Kifumbu ataikuta gari yake,kweli aliikuta.
 
Moshi mji flan wa ajabu sana

Kama Chigaco hivi ama New Orleas ina watu wake kitambo na kitambo wanachoka lakini majina yao yanabaki palepale

Sijui miaka ya karibuni ila zamani watu maarufu kutoka Dar ilikua wakija Moshi hakuna mtu ana story nao hakuna kabisa

Ila Marehemu Mzee Ndesamburo akipita pale town na ile land rover nyeupe ya Keys kelele mji unalipuka kupita maelezo

Moshi ya leo story zimebaki kwenye Pombe Jumatatu mpaka Ijumaa watu wapo Mekus, Hugos, Qwine na Hapa Red Stone

Vijiwe vya kitambo Pub Albero na Malindi wanaenda watoto wa Njoro na Pasua...Aventure ndio bure kabisa siku hizi panafanyika vikao vya harusi tu....Ila Moshi itadumu milee na story zake za Kale
 
lasway yupo na tena biashara zake zinaenda kinoma yule apendag utani kwny kaz zake ukimletea wiz wiz anakupiga bastola za mat*ko kama mia iv pia kuna kina boisaf,, mdgo ake meng mweny salsalnero kina mr price pia yupo Lawrence Mosha aliekuwaga katib wa yang zaman aligombea ubung mosh akakosa
Huyu si ndo mbongo wa kwanza mweusi kumiliki lamboghin Tanzania,
 
Halafu watanzania tuache ukabila
Mie na wazee wangu si wachaga,maisha tu yalimfikisha mzee huko akajenga na tukazaliwa,moshi town kuna makabila mengi sana
Labda huko migomban,ila kwa pale mjini asilimia kubwa ni wakuja
So sio kila anayeiongelea moshi ni mchagga
Sote ni watanzania na tuna haki ya kuishi popote Tanzania, madhali huvunji sheria za nchi
Hii thread ni maalumu kwa wana moshi ,whether mchagga ama chasaka .Wengine tumezaliwa pale town ,tukakua tukasoma and our childhood memories ziko pale,so tujiue ili tusiikumbuke moshi?It's Gods plan.Naomba mjadala na uendelee.ukabila pembeni.we both Tabzanians apart from our tribal differences.
Ila moshi mjini kwa kipindi cha nyuma kupata kiwanja kulikuwa kuna shughuli kweli kweli,Au upate kando huko kama unaelekea KIA,au umpate mzee ambaye hana watoto wa kurithi,
 
I do that and am proud
Tatizo naona kuna watu wakisikia story za moshi wanageuza kuwa za wachagga.really?
Naamin ulikuwa mpango wa Mungu nizaliwe na nikulie pale moshi mjini
Sion kama kuna ubaya
And it's true moshi ulikuwa mji mtamu sana
Nimeinjoi maisha yangu ya utoto moshi
That's y daily nakumbuka
Ilikuwa nikiamka asuhuh nijiandae kwenda shule nauona mlima Kilimanjaro ulee,theluji iking'aa
Those are wonderful memories I will never forget
Karibu tena,Uzuri wa moshi uwe na pesa tu..
 
Back
Top Bottom