The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,527
- Thread starter
- #821
Halafu watanzania tuache ukabila
Mie na wazee wangu si wachaga,maisha tu yalimfikisha mzee huko akajenga na tukazaliwa,moshi town kuna makabila mengi sana
Labda huko migomban,ila kwa pale mjini asilimia kubwa ni wakuja
So sio kila anayeiongelea moshi ni mchagga
Sote ni watanzania na tuna haki ya kuishi popote Tanzania, madhali huvunji sheria za nchi
Hii thread ni maalumu kwa wana moshi ,whether mchagga ama chasaka .Wengine tumezaliwa pale town ,tukakua tukasoma and our childhood memories ziko pale,so tujiue ili tusiikumbuke moshi?It's Gods plan.Naomba mjadala na uendelee.ukabila pembeni.we both Tabzanians apart from our tribal differences.
Mie na wazee wangu si wachaga,maisha tu yalimfikisha mzee huko akajenga na tukazaliwa,moshi town kuna makabila mengi sana
Labda huko migomban,ila kwa pale mjini asilimia kubwa ni wakuja
So sio kila anayeiongelea moshi ni mchagga
Sote ni watanzania na tuna haki ya kuishi popote Tanzania, madhali huvunji sheria za nchi
Hii thread ni maalumu kwa wana moshi ,whether mchagga ama chasaka .Wengine tumezaliwa pale town ,tukakua tukasoma and our childhood memories ziko pale,so tujiue ili tusiikumbuke moshi?It's Gods plan.Naomba mjadala na uendelee.ukabila pembeni.we both Tabzanians apart from our tribal differences.