AbaMukulu
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 2,070
- 3,618
Kumbe k vant ni ya mmbongo kumbe nijuzeni
Yes mkuu.
Kumbe k vant ni ya mmbongo kumbe nijuzeni
Hahahahah achana nayeni tag kwenye Uzi huo nimgaragaze
Uzi una Tittle, Kagera/Bukoba waongoza Kwa Maprofesani tag kwenye Uzi huo nimgaragaze
Kitu cha ArushaKumbe k vant ni ya mmbongo kumbe nijuzeni
Hahaha prof bila helaUzi una Tittle, Kagera/Bukoba waongoza Kwa Maprofesa
Hahaha prof bila hela
Wanafel sanaaa
Watu wanataka hela bana
Uprof huko kwao
Kaskazin hoyeee
hata kwenye u prof tumewapiga bao pakubwa,nina list ya maprof Zaidi ya 300 wachaga nimemtajia kidogo tu nitajafungua thread yenye ma prof wachaga jino jinoUzi una Tittle, Kagera/Bukoba waongoza Kwa Maprofesa
Yees,ninao kibao mwaga listi nitiririkehata kwenye u prof tumewapiga bao pakubwa,nina list ya maprof Zaidi ya 300 wachaga nimemtajia kidogo tu nitajafungua thread yenye ma prof wachaga jino jino
kagera mkoa wa tatu kwa umaskini hawwez tuzd chochote.
Fungua Uzi Mpya kabisahata kwenye u prof tumewapiga bao pakubwa,nina list ya maprof Zaidi ya 300 wachaga nimemtajia kidogo tu nitajafungua thread yenye ma prof wachaga jino jino
kagera mkoa wa tatu kwa umaskini hawwez tuzd chochote.
okYees,ninao kibao mwaga listi nitiririke
Sawa kabisa palikuwa pana garden nzuri sana ila kipindi cha masika maji yanakatiza hapo yanaharibu.Hilo gorofa nalifahamu sana kwa gorofa palikuwa panaitwa kwa Mwacha wakati panajengwa bimkubwa alikuwa anawauzia mafundi msosi so tulikuwa tunaingiamo. Ukienda mbele kidodgo ndio pakiitwa pensheni
Mwenye ile Hotel opposite ma Jengo la TTCL ni Ibra aka Ibra CoachKuna yule jamaa wa pale moshi karibu na stendi anayejenga ghorofa kwa awamu na ana mgahawa mkubwa kwa pembeni ni nani? Na buffalo je? Bila kumsahau huyu mwenye Aquline hotel Arusha,wazee wengi wa kichaga waliupatia utajiri kenya,sikujua kenya kuna siri gani ila ndo naanza kung'amua
Anaongoza kwa Biashara ya Mabasi ukanda wa Kaskazini MasharikiUnamfahamu vipi huyu tajiri wa Kilimanjaro express??
Hivi hizo gari bado zipo?
Kwa sisi wa zamani kabisa Lilikuwa Jengo la Benki ya Nyumba Tanzania THBSabaya wa Kilimanjaro Bus naona sahivi amelinunua lile jengo pale round about zamani vodacom.
Unasemea fresh restaurant??Mwenye ile Hotel opposite ma Jengo la TTCL ni Ibra aka Ibra Coach
Kama amebase hadi Kagera yote inamaana ukijib unajib kwa kutumia evidence za maprofesa wa Kilimanjaro yote.Uzi una Tittle, Kagera/Bukoba waongoza Kwa Maprofesa
hapo cjamtajia wapare nikitaja wapare nitakeshaKama amebase hadi Kagera yote inamaana ukijib unajib kwa kutumia evidence za maprofesa wa Kilimanjaro yote.
luambo makiadi
Umenikumbusha Gerad niliendaga kwake nilichezea tasbii za mgongoni sikuwahi kurudi kwake tenaKuna story za jerad alotokewa na mama bikira Maria
Mji ulizizima
Watu wazima walienda kibosho kushuhudia muujiza ule
Bibi yangu alikwenda,na alinihakikishia alimwona mama bikira Maria.
Kuna habari za baba mtakatifu yohane paulo wa pili miaka ya 90 alikuja Tanzania
Nadhan alifika kristu mfalme pale,sina uhakika kwakuwa nilikuwa mdogo
Alituachia baraka watanzania
Babu yangu alinambia alivofika airport aliibusu ardhi ya Tanzania,akimaanisha baraka na amani hivyo haitokaa itokee vita Tanzania.
ni kama dsm street au uswahilini kitu kama hivyo.Kama umeenda moshi karibuni gari za maimorial zinaanza safari mbuyuni so ile njia inayopanda dar street ndo msikiti uko
Mtaa Unabiashara ya pikipiki sana na spare part za pikipiki
Inshort ni barabara ya kwenda dar street