Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Yes moshi watu walikuwa wanasali sana
Na makandokando kama kawa
Mtu unabaki njiapanda tu,manake wale tulokuwa tunawaona kama masaint wakija umbuka kwenye ujangil ama uchawi,mnabaki kinywa wazi to
Kuna story za mtaa wa malengo
Naomba kama kuna memba anazipata atushirikishe kidogo
Malengo au malenga??
 
au yusuph bakari zono unamkumbuka mkuu.

Daaaah apana mkuu ila nakumbuka muonekano wake tuu alikuwa mkubwa mrefu mweusi nadhani ni mtu wa kenya yule

moshi nimekulia na kusoma elimu yangu yote kuondoa chuo kikuu ila ki umri ni mdogo sana japo najua jua mambo kidogo
 
Daaaah apana mkuu ila nakumbuka muonekano wake tuu alikuwa mkubwa mrefu mweusi nadhani ni mtu wa kenya yule

moshi nimekulia na kusoma elimu yangu yote kuondoa chuo kikuu ila ki umri ni mdogo sana japo najua jua mambo kidogo
msikiti wa answar wapi upo navuta kumbukumbu.
 
Moshi panabadilika sana tu,kama ulitoka 2010 sio sawa na sasa,Kwa mfano kuna hadi ghorofa kumi zimejengwa katika ya mji,Laami kila mtaa,manispaa inautaratibu wa kuweka lami ya km 5 kila mwaka kama sikosei,na ilianza tangu 2010 kama sijakosea sina uhakika sana ko panabadilika sana,vichochoro vyote vya pale twn pana lami.
 
Mimi nimeimba kwaya kristu mfalme,sauti ya pili
Nilikuwa nadamka pamoja na familia yangu daily kuwahi misa pale kanisani hata za katikati ya wiki,then after misa naenda shuleni
Nimekulia kanisani,ila nilizungukwa na watu unaona kabisa hawa wanaigiza
But all in all moshi is the best and itaendelea kuwa the best
Kuna story za wazee wa kanisa kukamatwa ugoni,wengine kushikwa uchawi,yalaaa
It's time ama?nasubir michango yenu wadau
kwaya ipi ndugu, mimi nilikuwa cesilia ya wakina fide uiso
 
Labda ya yule mzee Mwacha? Yule mzee aliyekuwa na watoto wake kina Ben Mwacha the late.
Hilo gorofa nalifahamu sana kwa gorofa palikuwa panaitwa kwa Mwacha wakati panajengwa bimkubwa alikuwa anawauzia mafundi msosi so tulikuwa tunaingiamo. Ukienda mbele kidodgo ndio pakiitwa pensheni
 
Moshi panabadilika sana tu,kama ulitoka 2010 sio sawa na sasa,Kwa mfano kuna hadi ghorofa kumi zimejengwa katika ya mji,Laami kila mtaa,manispaa inautaratibu wa kuweka lami ya km 5 kila mwaka kama sikosei,na ilianza tangu 2010 kama sijakosea sina uhakika sana ko panabadilika sana,vichochoro vyote vya pale twn pana lami.

Ni kweli mzee kwetu ukitoka ni lami tu

Nyumbani ni karibu na hotel ya al jezeera au msikiti wa riadha

Pia sio mbali sana na hotel ya buni ramole

Ukipanda juu unakutana na maduka mpangano a.k.a kariakoo

Juu unakuta soko la juu unanyoosha umefika home
 
Back
Top Bottom