Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Halafu wanaomjua wanakumbuka alivyokuwa tuu mtu wa kawaida town pale.
Northern tuna wakina Rockerfella wetu aisee
Nakumba mwaka 2010 nilikua nafanya kazi jirani na alipokua akifanya biashar ya spear za scania pale tabata dampo sijui kama sasa hivi bado yupo, nilikua na mzee mmoja former wa sub scania akaniambia jamaa gari zake zilikamatwa Congo akiwa anapeleka mafuta ambayo ni biashara aliyokua akiifanya pia. Kipindi hicho ndipo walikua wanafanya msako wa wanaochakachua mafuta, inasemekana hiyo biashara ndiyo iliyomwinua pia.
 
Ni kweli ila mbona wa kwetu hawaui majangili hivo? Manake tumemalizia tembo zetu na majangil ila sio wengi waliouawa
Wakenya wana roho katili sana
Walikuwa hawawakamati wao ni kuwalamba shaba tu
Aliyebahatika kukamatwa na kuwekwa gerezan Mungu wake ni mkubwa sana
Wengi walimalizwa on the spot

Askari wa TZ wanakufikisha mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake.
Wakenya wanawahi kukurudisha namba
 
Nakumba mwaka 2010 nilikua nafanya kazi jirani na alipokua akifanya biashar ya spear za scania pale tabata dampo sijui kama sasa hivi bado yupo, nilikua na mzee mmoja former wa sub scania akaniambia jamaa gari zake zilikamatwa Congo akiwa anapeleka mafuta ambayo ni biashara aliyokua akiifanya pia. Kipindi hicho ndipo walikua wanafanya msako wa wanaochakachua mafuta, inasemekana hiyo biashara ndiyo iliyomwinua pia.
Sema ni mtu poa sana
 
Back
Top Bottom