The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,527
- Thread starter
- #521
Kweli moshi ilichangamka sanaDisco la Kilimanjaro hotel lilinoga hasa pale DJ maarufu wa enzi hizo DJ Kalikali alipoweka kambi kwa muda maeneo hayo
Kwanza shughuli za kiuchumi zilikua nyingi sana
Kulikua na viwanda vya kila aina kama magunia, ngozi, fenicha, bia, makampuni makubwa ya mafuta kama BPShell, ESSO,
Mashule lukuki hasa ya sekondari.
From January to December mji ulikua busy
Ilikua ni shangwe tupu
Reli ya tanga moshi iliubust mji sana pia
Saivi naambiwa kumekuwa doro sana