Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Sana, ila aliibuka gafla akawashangaza sana watu pale waliokua wanapiga mzigo pamoja kina marehemu frank Lema.
Story ya kwamba biashara yake ina ubia au uhusiano na Rizmoko, ilivyoanza, ni kwamba Dr Slaa enzi zile aliibua hiyo issue kuwa kuna vichwa vya Scania(sikumbuki vilikuwa vingapi), ila nadhani mia kadhaa. Dr Slaa alisema kuwa vichwa vile vya Scania ni vya Rizmoko. Sasa wakati watu wanasubiria Riz aende bandarini, badala yake vikatolewa pale na Ngiloi ambaye ndo mwenye hiyo Panone. The rest is history... Kwahiyo watu wakajumlishia kuwa kuibuka kwake kwa ile kasi ni matokeo hayo ya Rizmoko.

Ndo nilivyosikia.
 
Halafu wadau mbona hamleti story za mbuguni?wajua utajiri wa moshi una connection;ujangil_tsavo,wizi wa magari Nairobi, biashara ya magendo taveta na rombo,wizi wa madini ya tanzanite mererani aka mbuguni,utoaji wa kafara watoto ama familia nzima kwenye usafirishaji;kumbuka buffalo coach and the like ,wamechinja sana watu barabara ya moshi arusha and moshi to dsm kisa mali
 
Leteni maubuyu ya kina shengena,masuki,khambaita,James oraa ,masuki,Bm and the like
Tujifunze wazee wetu waliwezaje nasi tumekwama wapi?
 
Wazee wa biashara halamu ya gongo njoro,kwamtei ,msaranga,mwereni na malenga wapooo?
Watu wamejenga mijumba na kuanzisha biashara zingine halali kutokana na biashara ya bangi na gongo moshi mjini hapo
Kweli zama zinabadilika sana
 
Mimi nimeimba kwaya kristu mfalme,sauti ya pili
Nilikuwa nadamka pamoja na familia yangu daily kuwahi misa pale kanisani hata za katikati ya wiki,then after misa naenda shuleni
Nimekulia kanisani,ila nilizungukwa na watu unaona kabisa hawa wanaigiza
But all in all moshi is the best and itaendelea kuwa the best
Kuna story za wazee wa kanisa kukamatwa ugoni,wengine kushikwa uchawi,yalaaa
It's time ama?nasubir michango yenu wadau
 
Kweli mkuu.
Na vyoo vya shule ya shaurimoyo (shule ya msingi)
Sawa kabisa mambo ya ajabu yapo,cocomit alikuwa na kakake akiitwa James ni hatari sana na kakake mwingine aliitwa eduu utatu mtukutu.
 
Moshi kulikuwa na viwanda ya kutosha.
Kuanzia ngozi, kahawa hadi pamba.
Siku hizi nyumba zimejaa vumbi kutani na batini,vijana wanaoza kwa gongo iliyochanganywa na maji.watoto was moshi huwaita MVIMBO.nani aliwafundisha wachaga kuacha utajiri was mila na kukimbilia wa kichawi.Vijana wanateketea.
 
Halafu wadau mbona hamleti story za mbuguni?wajua utajiri wa moshi una connection;ujangil_tsavo,wizi wa magari Nairobi, biashara ya magendo taveta na rombo,wizi wa madini ya tanzanite mererani aka mbuguni,utoaji wa kafara watoto ama familia nzima kwenye usafirishaji;kumbuka buffalo coach and the like ,wamechinja sana watu barabara ya moshi arusha and moshi to dsm kisa mali
Moshi inahitaji tamthiliya yake mkuu ndefu kama isidingo.
 
Wazee wa biashara halamu ya gongo njoro,kwamtei ,msaranga,mwereni na malenga wapooo?
Watu wamejenga mijumba na kuanzisha biashara zingine halali kutokana na biashara ya bangi na gongo moshi mjini hapo
Kweli zama zinabadilika sana
Kumbuka mamaeliza muuza gongo maarufu,baadae akaitwa mama" Eliza msukule."alikuja fufuliwa na mganga was kuitwa yahaya mbwana.
 
Kunakipindi konda aliingia tamaa akachukia Pesa Jamaa akamwambia akazitumbukize chooni mwenyewe.MZEE saivi mambo sio mazuri kivile japo anapambana kimtindo Ila saivi ni mwanamziki kazindua album juzi kati
mh yule nae alizidisha ubabe kwenye ile njia,unajua mizimu nayo na miiko mkuu usimuonee mtu.
 
Back
Top Bottom