Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

sema yote ila usiombe ukutane na jangili macho kwa macho bora ukutane na hitler.
Yes majangil nayo yakikuwahi yanakupoteza that's y Kenya nadhan ilikuwa sera yao kuwa wakiwapata wasirud Tz wakiwa hai
Na walikuwa wanajulikana ni watz wa mpakan mwa tz na Kenya
Wameifilis sana mbuga ya tsavo
Wakenya walitoa movies na vitabu kuhusu ujangil tsavo
 
Yes majangil nayo yakikuwahi yanakupoteza that's y Kenya nadhan ilikuwa sera yao kuwa wakiwapata wasirud Tz wakiwa hai
Na walikuwa wanajulikana ni watz wa mpakan mwa tz na Kenya
Wameifilis sana mbuga ya tsavo
Wakenya walitoa movies na vitabu kuhusu ujangil tsavo
halafu na majangili wa ktz nao walikuwa wakiwaona wakenya wanawaua mbaya hivyo wakenya wakawa hawalindi tena wanyama ila wanatafuta kuwamaliza watanzania.kilikuwa ni kisasi kumbuka kabla ya ujangili watanzania wameiba sana magari ya wakenya.UNAMKUMBUKA MAYURI.
 
ha ha ha sikuwahi kuona padri mbabe mgoni na mjinga kama yule.
Aliwakula wamama wa mo town kama hana akil
Alipata pia watoto wengi tu,inavyosemekana lakin
Ila alikuwa mkali
Namkumbuka enzi tunasoma mafundisho mkichelewa mnakutana naye kashika mwanzi
Alitulamba sana bakora kanisan pale
 
Mkimaliza haya muuzungumzie ujambazi nalo hili ni kiboko pale moshi.
 
halafu na majangili wa ktz nao walikuwa wakiwaona wakenya wanawaua mbaya hivyo wakenya wakawa hawalindi tena wanyama ila wanatafuta kuwamaliza watanzania.kilikuwa ni kisasi kumbuka kabla ya ujangili watanzania wameiba sana magari ya wakenya.UNAMKUMBUKA MAYURI.
Yes walianza wizi wa magari then wakahamia kwenye ujangil
Na kilikuwa kisasi kweli kwani wengi walimalizwa na askari wa Kenya
Miili ilikuwa inarejeshwa imejaa matundu ya risasi kama gunia
 
Buffalo hawana undugu na Mberesero!! Mberesero ndiye mmiliki wa Ngorika na Kindoroko Hotel.

Ana undugu na Hatco au Zebra Hotel, mabasi ya Ndoika kama unayakumbuka na kuna kampuni ya basi nimeisahau ila ilikuwa inatoka Ar to Mwanza.

Pengine anaweza kuwa na undugu na kina Osaka coz wanatumia facilities za pamoja mfano petrol stations.
Zebra sio ya hao hao kina buffalo
 
Back
Top Bottom