Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Ni kweli, binadamu sie wabinafsi sana..

Kuna wengine wanatoka Marekani na vijiviwalo lakini hata kuachia ndugu zake hapa bongo pindi anarudi hawezi, anarudi nazo zote Marekani..
Muulize mbona wao kule kanda ya Ziwa wanavua mpaka vitoto vya dagaa
 
Hawa wote mliowataja ni wa miaka hii tuu. HapoKale walikuepo kina :Kisinani tarimo, Natanaeli Matowo, Paul Kyauka, Aikael Mbowe, Alexanda Itaeli, ,Phillips Sharra Olotu ,Elimonysa Kimei ,Kidumbuyo, Tarawia, A slam Garage.
Unamwacha wapi Elitira Mengi kwenye hiyo list
 
Unachokitaka wala hutakipata. Sasa naelewa kumbe una kakitu na mie. Wacomment wote mie ndo iwe shobo kama tunajuana aunt? Sishobokei takataka yoyote humu ujue hilo kwanza. Ukianzisha uzi usipotaka watu fulani wacomment weka kabisa sio kutaka ugomvi kwa nguvu.
Nimemaliza.
@Mzigua. Mnyamazie kimya. Nimejaribu kumfuatilia nimeona kuna kitu anataka. BTW mbona wa hivyo ulishakutana nao wengi tu humu ndani Dada!!!halafu member sijui since June sijui July 2018. Asikusingue. Tulivumilia vichambo vya kina fulani. Huyu ushindwe Dada????
 
Chokochoko kusema nilidhani we ni mwanaume? Acha kutafuta sympathy kwa ugomvi ulioleta mwenyewe. Wapi nimekuandikia vibaya? Wewe si ndo umeanza? Tafuta mjinga mwenzio umtishie akujue we nani. Ujulikane we nani umekua Nyerere au uko kwenye hela? Tunajua watu wenye kazi nao sio watu wanaoleta midomo mirefu wakijibiwa wanalia lia wakati wameyatafuta wenyewe. Mwanakulitafuta mwanakulipata. Usilie ukichokoa mtu akakujibu. Ulitaka uandike shudu zako nikukalie kimya? Kama ambavyo na wewe hunijui usinizoee kiboya mbweha wee
Dada kuna mtu umempa Password yako?? Huyu siyo wewe Haki!!!
 
Hahahahaha,ilikuwaje Mkuu. Hana Elimu ya darasani yule,ila ana Elimu ya Kitaa

Off the keyboard nilikuwa naongea na mtu kama anamjua Ernest Massawe.

Akawa anachanganya na Alex Massawe na huyo Ernest Massawe. Nikamwambia E Massawe ni ACCA member long time kitambo.

Akanipa stori hiyo ya kuleta kontena lakini nikawa mbishi kumwambia Alex Massawe hajasoma.
Stori yenyewe kwa ufupi ni kwamba jamaa alienda Uk akawapanga wazungu. Akachukua zaga za kontena mbili.
Kazipakia kwenye meli hadi bandari ya salama (kuzitoa bandarini ilikuwa kitu rahisi kabisa)
 
Ibra ilifikia kipindi mpaka Polisi wanamuogopa na alikuwa nawapiga vibao na kuwatukana matusi hadharani.
Ile ilikuwa moshi mbaya na chafu kupata kutokea,majambazi walitamba sana na ndipo kipindi wakina TD walipoteza maisha.kwa tuliokaa kwa mtei kwa arobo pale watu walikuwa wanafunga kitaa hadi dakika karibu thelathini.
 
Sasa wewe ulozaliwa na kukulia sehemu ambayo mwanamke anachukuliwa kama chombo cha starehe nakujibu nini?
Tuma matokeo yako ya kidato cha nne kama wewe mwanamke kweli nami ntatuma yangu
Usishindane nami
Pambana na hali yako
Wakati wanakufukua wacheza ngoma and all that nilikuwa darasani
Nimeshika namba moja toka primary hadi chuo kikuu,gpa yangu huna na kamwe hata urudi darasani Huwezi ipata
Remember mimi si mwalimu
Unayoyawaza nishayafanya sana
I repeat stay on your lane
Hahahahaaaa JamiiForums inafurahisha sana
 
Back
Top Bottom