Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Kwa wapenzi wa cinema palikua na kumbi maarufu sana za Plaza na ABC ingawa hadi leo sijui wamiliki walikua akina nani
Plaza mali ya nhc ile
Nakumbuka movie ya komando
Hahaha komando komando komandoooo hahah
Mbona hamleti story za kristu mfalme pale
Anyway ni nyumba ya Mungu,let's forget
Namkumbuka father amani,bishop msarikie alale pema ameni.
 
Plaza mali ya nhc ile
Nakumbuka movie ya komando
Hahaha komando komando komandoooo hahah
Mbona hamleti story za kristu mfalme pale
Anyway ni nyumba ya Mungu,let's forget
Namkumbuka father amani,bishop msarikie alale pema ameni.
Komando ya juzi juzi tu hiyo

Enzi hizo umaarufu ulikua katika Movies za kihindi kama Amne Samne, Sate pi Sate, Dostana, Ashanti n.k

Actors walikua kina Amita Bachan, Mithun Chakaraboty, Amjad Khan, Dan Denzopa, Shash Kapoor n.k

Kulikua na ushindani mkubwa wa kuonyesha Filamu mpya kati ya Plaza na ABC
 
Nikiwa mdogo nakumbuka mama devotion alikuwa akipita barabara ya home uku amevaa nguo nyeupe katoka mbuyuni

Kipindi iyo nasoma primary jamhuri duuub
 
Plaza mali ya nhc ile
Nakumbuka movie ya komando
Hahaha komando komando komandoooo hahah
Mbona hamleti story za kristu mfalme pale
Anyway ni nyumba ya Mungu,let's forget
Namkumbuka father amani,bishop msarikie alale pema ameni.
Father Amani mkibosho sasa ni Askufu
Msarikie Amedeus
 
Na disco la Kilimanjaro hotel je? Mweeh
Saivi wameweka nakumat pale
Lilikuwa tamu sana
Nakumbuka kiingilio kilikuwa soda
Moshi nitarudi jamen
Hahahahah
Disco la Kilimanjaro hotel lilinoga hasa pale DJ maarufu wa enzi hizo DJ Kalikali alipoweka kambi kwa muda maeneo hayo

Kwanza shughuli za kiuchumi zilikua nyingi sana

Kulikua na viwanda vya kila aina kama magunia, ngozi, fenicha, bia, makampuni makubwa ya mafuta kama BPShell, ESSO,

Mashule lukuki hasa ya sekondari.

From January to December mji ulikua busy

Ilikua ni shangwe tupu
 
Disco la Kilimanjaro hotel lilinoga hasa pale DJ maarufu wa enzi hizo DJ Kalikali alipoweka kambi kwa muda maeneo hayo

Kwanza shughuli za kiuchumi zilikua nyingi sana

Kulikua na viwanda vya kila aina kama magunia, ngozi, fenicha, bia, makampuni makubwa ya mafuta kama BPShell, ESSO,

Mashule lukuki hasa ya sekondari.

From January to December mji ulikua busy

Ilikua ni shangwe tupu
Enzi hizo niko mdogo sana
Siku za sikukuu ndo tunaruhusiwa kutoka
Basi hausigel wetu namkumbuka hadija akawa anatupeleka pale na bwana ake
Tukiingia ndani hana time na sisi tena
Yeye bize na bwana ake
Akinunuliwa soda anamwaga kwenye Rasta kichwan tukawa tunazitaman mimi na kaka yangu ila hatuna jinsi lol
Inapigwa hidayaaa nitarudiii hahah maisha haya mweehhh
 
Enzi hizo niko mdogo sana
Siku za sikukuu ndo tunaruhusiwa kutoka
Basi hausigel wetu namkumbuka hadija akawa anatupeleka pale na bwana ake
Tukiingia ndani hana time na sisi tena
Yeye bize na bwana ake
Akinunuliwa soda anamwaga kwenye Rasta kichwan tukawa tunazitaman mimi na kaka yangu ila hatuna jinsi lol
Inapigwa hidayaaa nitarudiii hahah maisha haya mweehhh
Unatamani siku zirudi nyuma eeh?😀😀😀
 
Plaza mali ya nhc ile
Nakumbuka movie ya komando
Hahaha komando komando komandoooo hahah
Mbona hamleti story za kristu mfalme pale
Anyway ni nyumba ya Mungu,let's forget
Namkumbuka father amani,bishop msarikie alale pema ameni.
Msarikie alikuja kudharau mila wakamuokota kwenye vichaka huko hakujui hata anachofanya na kanzu yake,sijui ulikuwa ni ugonjwa sijui ndo mila zenyewe,Askofu wangu aliyenipatia kipaimara
 
Na disco la Kilimanjaro hotel je? Mweeh
Saivi wameweka nakumat pale
Lilikuwa tamu sana
Nakumbuka kiingilio kilikuwa soda
Moshi nitarudi jamen
Hahahahah
Na Nakumat wamefunga sijui wanataka waweke kitu gani,Ningelikuwa na pesa za kutosha ningekodi ile sehemu kuna pesa nzuri kwani nakumatt tayari ameshapatangaza
 
Back
Top Bottom