Mimi kuna bro wangu wa kitambo sana,nikiuliza shule eti kamaliza la saba akaenda kenya kufanya biashara,baadae akaungana na wakenya fulani hivi wakaanzisha kiwanda cha kutengeneza vyombo vya ndani,na vya kufanyia kazi,baadae kila mmoja akawa na hotel yake nzuri tu Arusha ambayo hakosi mil.100 kwa mwezi,maanake kuna muda alikuwa akidaiwa kodi ya mil.60 katika hilo jengo,Ila baada ya hapo naona wakaanza kupukutika mmoja baada ya mwingi,bro tushafukia mgombani huko,Bahati nzuri wachaga hawakosei kwenye kujenga nyumbani hata mara moja imebaki jumba lake tu,Sasa nikawa najiuliza huko kenya kuna nini cha ajabu kumbee..