Song il gok
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 878
- 938
Yaan me mwenyew nimehisi ivyo au Kibo primaryLazima ulisoma Mawenzi Primary wewe.😎
Yaan me mwenyew nimehisi ivyo au Kibo primaryLazima ulisoma Mawenzi Primary wewe.😎
yule mhindi aliitwa suresh,mnaangalia picha starring akitokea mnashangilia.Moshi plaza ilikuwa ya wahindi fulani jina limenitoka.
Ndio na moja LA like Nene sana lilikuwa.Charles?
Ni wapambanaji kwa ujumla. We unategemea nini kwenye dunia ambayo siyo fair hata kidogo? Somewhere, somehow, someone gotta make it.tatizo mtu yeyote mhalifu huwa muuaji wachaga hawatalikwepa hili.
Bidii na akili ni namba moja mtu asikudanganye. Mawazo na imani kama hizi ndo vinawatajirisha waganga wa kienyeji ambao ni waongo tu.Yote kwa yote wote tutambue kwamba watu wenye uwezo wapo.ila utajiri wowote una siri iliyokuu.
Nilikuwa nikihisi ni la mzee Mwacha yule baba yao kina Ben Mwacha. Maana ndo alikuwa very close na wakuu kuanzia wa mkoa hadi polisi. Kila akija mpya lazima atambulishwe kwake. Na huo mkataba alioingia na huyo mwarabu kama sikosei, akamgeuka maana serikali ilikuwa mfukoni mwake.Yap lile ni ghofu but ndani lina facilities zote na za thamani lakini halali mtu. Kuna kipindi walijaribu kuwafuata Chuo cha Ushirika ili iwe kama Hostel,wanafunzi walipolala hakukulalika kabisa.
Nimehisi hivyo pia, ila kama alipazoea kwa jani kula koni, penda, bhaghia yenye pilipili ya Nazi, na jelebi, big chances ni Mawenzi primary.Yaan me mwenyew nimehisi ivyo au Kibo primary
Ule uthubutu wa babu wa loliondo ni kibokoTatizo sio akili bali uthubutu
Kwa taarifa ya haraka ni mmama mmoja wa kimachame sijajua lakin...Kuna Machame Safari na Machame Investment. Yule wa Machame Safari anaitwa somebody Mengi na anaishi Moshi,huyo wa Machame Investment jina lake limenitoka but anaishi Kondoa.
Unaweza kuwa sawa lakini nakwambia kwa msisitzo haya mambo yapo.Bidii na akili ni namba moja mtu asikudanganye. Mawazo na Imani kama hizi ndo vnatajairisha waganga wa kienyeji ambao ni waongo tu.
mkuu kwa jani watu walitoka mji mpya primary kwenda kwa jani.jani ni sheedah.sasa hivi miembeni prNimehisi hivyo pia, ila kama alipazoea kwa jani kula koni, penda, bhaghia yenye pilipili ya Nazi, na jelebi, big chances ni Mawenzi primary.
Panaitwa Milans kwasasa. Hao waliotoka mji mpya primary ni miaka gani hiyo? However palikuwa popular, nadhani hata kama hukusoma pale mjini, lazima utakuwa umeshafika hapo kwani palikuwa soo popular kwa watoto especially wanafunzi kwasababu ya koni. Ndo alikuwa kama Bhakhresa wa Moshi.Mk
mkuu kwa jani watu walitoka mji mpya primary kwenda kwa jani.jani ni sheedah.sasa hivi miembeni pr
Jamaa alikua mjanja longtime kitambo aisee, anamdogo wake au mwanae alikua anaitwa Ester, sijui alikua na tatizo gani lakini kila mara alikua anapelekwa polisi na kulala mahabusuAnaishi Sowote hivi sasa. Yuko vizuri ofcourse kuna miaka nyuma kati aliyumba sana hadi mke akamkimbia. Sasa hivi kampuni yake ya ujenzi iko vizuri sana, pia ana kiwanda cha kutengeneza chokaa. Mtaa anaokaa Soweto wote lami hadi getini.
Hivi Milans bado ipo?!Panaitwa Milans kwasasa. Hao waliotoka mji mpya primary ni miaka gani hiyo? However palikuwa popular, nadhani hata kama hukusoma pale mjini, lazima utakuwa umeshafika hapo kwani palikuwa soo popular kwa watoto especially wanafunzi kwasababu ya koni. Ndo alikuwa kama Bhakhresa wa Moshi.
Bosco chuwa..."building and limeworks"..mbabe mbaya kabisa.Jamaa alikua mjanja longtime kitambo aisee, anamdogo wake au mwanae alikua anaitwa Ester, sijui alikua na tatizo gani lakini kila mara alikua anapelekwa polisi na kulala mahabusu
Uko sahihi kabisa Mkuu! Naunga mkona hoja 100%.ukitegemea pesa halali wewe kutoboa ni ndoto hii naisema kila siku, ukijifanya sijui fanya kaza sana utachoka tu bure
Huwa nikisikia hili jina linanfanya niamini kila jambo lawezekana chini ya juaPablo Gaviria Escobar.
Kaghembe! Bado yupo na mihogo yake ile na kachumbari! Tena naskia ishamtoa ile biashara. Hata hivyo bado hajaiacha. Yuko maeneo yale yake utamkuta.Hivi Milans bado ipo?!
Na yule babu alikua anakaanga mihogo karibu na milans jina lake limenitoka kidogo..