Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Jamaa alikua mjanja longtime kitambo aisee, anamdogo wake au mwanae alikua anaitwa Ester, sijui alikua na tatizo gani lakini kila mara alikua anapelekwa polisi na kulala mahabusu
Ana mtoto wake wa like ambaye ni kama “tomboy” kiaina, ila yuko fresh anapambana! Huwa namuona anasimamia kazi za baba yake za construction anazopata contracts. Huwa kampuni yao ikipata tender ya kutengeneza barabara, utamkuta amepaki gari anasimamia kazi. Mzee Kool sana yule.
 
Ana mtoto wake wa like ambaye ni kama “tomboy” kiaina, ila yuko fresh anapambana! Huwa namuona anasimamia kazi za baba yake za construction anazopata contracts. Huwa kampuni yao ikipata tender ya kutengeneza barabara, utamkuta amepaki gari anasimamia kazi. Mzee Kool sana yule.
Hahahah mkuu mmeanza kupiga ramli juu yangu
Mie team chasaka,tumewastudy na tumefuzu
Sasa tunaenda sawa
Ogopa sana chasaka akijua mbinu zako
Na tumegoma kurud makwetu
Tumebak wa hapahapa tu
 
Uko sahihi, nawashangaa sana wale wanaosema Moshi iko vilevile. Hata sijui wanachomaanisha. Hata mimi nimekuta huge difference. Hilo la machalii kuwa impacted linafahamika, na pia nadhani ni issue ya nchi nzima kwa ujumla, sema uchaggani wanabanwa Zaidi.Tena ukizingatia na huyu mkulu wa sasa anasema wasubiri maendeleo kwasababu eti "walishaendelea"?
Yes washaendelea kwel
Saivi tunaongelea ishu za about 20 years ago na ushee, kwa wengine ni story hizi tu hahaha
Mshapiga sana
Tulien na wengine wale
 
Ana mtoto wake wa like ambaye ni kama “tomboy” kiaina, ila yuko fresh anapambana! Huwa namuona anasimamia kazi za baba yake za construction anazopata contracts. Huwa kampuni yao ikipata tender ya kutengeneza barabara, utamkuta amepaki gari anasimamia kazi. Mzee Kool sana yule.
Ila father amani alifaid sadaka za kristu mfalme jamen
Hahahah
 
Kaprocon ni Ngorika zilizo badilishwa rangi baada ya vijana kugombea mali

Kuna mwingine kaja na Mberesero basi za kichina baada ya kugawana miradhi ya baba yao
Ni kweli wana ugomvi.si kweli kwamba kapricon ndo ngorika maana zilikwepo barabarani pamoja na ngorika, ngorika zimepaki Moshi mkabala na ofisi ya tahmeed nadhani.
 
Ana mtoto wake wa like ambaye ni kama “tomboy” kiaina, ila yuko fresh anapambana! Huwa namuona anasimamia kazi za baba yake za construction anazopata contracts. Huwa kampuni yao ikipata tender ya kutengeneza barabara, utamkuta amepaki gari anasimamia kazi. Mzee Kool sana yule.
Hilux pickup nyeusi.
 
Back
Top Bottom