NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,840
- 5,101
Babu Sambeke alikuwa mzee mtu mzima bilionea Msuya alikuwa kijana mdogo tuBabu Sambeke ni billionaire Msuya.
Babu Sambeke alikuwa mzee mtu mzima bilionea Msuya alikuwa kijana mdogo tuBabu Sambeke ni billionaire Msuya.
HahahahahKuna yule jamaa wa pale moshi karibu na stendi anayejenga ghorofa kwa awamu na ana mgahawa mkubwa kwa pembeni ni nani? Na buffalo je? Bila kumsahau huyu mwenye Aquline hotel Arusha,wazee wengi wa kichaga waliupatia utajiri kenya,sikujua kenya kuna siri gani ila ndo naanza kung'amua
usingetaja jina ingependeza na umekosea sana kumtaja Mzigua90 huyu ananogesha tu jukwaa but yuko njema sana, kuna wapo wachache sana wanafanya vizuri, lakini wale wanaojifanya makungwi wengi wao ni zero brain kwenye ulimwengu wa uchumi, zaidi ya kupanua mapaja ili wapate za kusugulia kucha na kujirusha.Ok mmewazoea kina mzigua kutwa story za mapenz?hahahahah
Hahahah naye alikuwa miongon mwaonani huyo mkuu ni kawa nini kipande kimoja cha baba kilikuwa na duka usawa wa baa ya makando.
Kanunua ama kapangisha?Sabaya wa Kilimanjaro Bus naona sahivi amelinunua lile jengo pale round about zamani vodacom.
Yupo ila kachoka kiainaMasuki bado yupo! Vinywaji vikali kwa jumla ni yeye.
Sana tuKwa sasa hakuna tajiri wala maskini,wote tunaisoma namba,wale walizoea kupiga madili yao kwa kushirikiana na watu wa TRA,mambo ni magumu mbayaaaa,biashara haziendi,huko kwenye mabenki watu wanakimbia kama wezi,maisha yamebadilika,ulichonacho kwa sasa ndicho hicho hicho,kichunge.
Siyo nyagaKama Unamzungumzia Nyaga Mawalla Ni Marehemu Saivi.
Hahahah lakin si tumepewa bure?usingetaja jina ingependeza, kuna wapo wachache sana wanafanya vizuri, lakini wale wanaojifanya makungwi wengi wao ni zero brain kwenye ulimwengu wa uchumi, zaidi ya kupanua mapaja ili wapate za kusugulia kucha na kujirusha.
wanatembea na maduka yao..wao wanasema
Usimtaje, angekuwa na skandali angeshatajwa. Hata Nyaga R.I.P was down to earth. Very humble young man. Labda kama alibadilika baadaye.Yupo nikiandika jina lake atanistukia
Nimemsahau kazi zake za wachina sehemu flan
Yuko so humble
kila kitu kikizidi ni hatari, hata mimi nakula hiyo kitu tena sana tu but nina kiasi, nina muda wa kazi mkubwa kuliko hilo jukumu, malengo yananitesa kiasi kwamba muda haunitoshi.Hahahah lakin si tumepewa bure?
Hata mwalimu alisema uchumi tumeukalia
Hahahha
Hahahah waache wauze banakila kitu kikizidi ni hatari, hata mimi nakula hiyo kitu tena sana tu but nina kiasi, nina muda wa kazi mkubwa kuliko hilo jukumu, malengo yananitesa kiasi kwamba muda haunitoshi.
lakini ni hatari kuufanya mwili kitega uchumi...dhambi
usinielewe vibaya, sijamnyooshea kidole mtu bali nimeongelea tabia hiyo kwa ujumla ktk jamii.Hahahah waache wauze bana
Labda hawakupata nafac kama ke wengine so huwez jua
Tusiwahukumu
Exactlyusinielewe vibaya, sijamnyooshea kidole mtu bali nimeongelea tabia hiyo kwa ujumla ktk jamii.
na nikutaarifu kuwa hata wenye nafasi zao ni wadau wakubwa ya mambo haya
James Oraa yupo sema kesi ndio zimemfilisi.my father[/QUOTE]Vipi ni mzee wako?sorry kwakuuliza lakinJameaE="taamu, post: 28320815, member: 112676"]kuna kipindi alipoteza familia nzima kumbe ilikuwa mwendelezo wa utajiri uliotukuka.usimsahau James Oraa HUYU NASIKIA ALIHASIWA.
Nimevutiwa na wewe...Kawaida mbona because am smart
Mie naandika na kupresent maripot daily huku serikalin
So huwez kuta naandika kama kina nanihii
Nimepikwa nikapikika
Halafu mmezoea watu smart ni me tu
So pathetic
Nimeandika vitabu 5 hadi nagraduate
So it's normal
I know kujipresent
Siandikagi sentensi zenye xoxo kama kina f f f f

