Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,391
- 88,769
Usiku mwema mkuuAiseee kumbe ww ni Ke original, ndio nimechungulia profile.. duh
usiku mwema bhana,naona nimeshabugi sasa![]()
Usiku mwema mkuuAiseee kumbe ww ni Ke original, ndio nimechungulia profile.. duh
usiku mwema bhana,naona nimeshabugi sasa![]()
Hari Singh huyu ndo mwenye ile kampuni ya construction ya Hari Singh & Sons Ltd?
Nyakiraganyi yule aliyetajirika kwa kuwanyima maji ndugu zake,na kwa kukoleza zaidi akachoma hoteli kwa kukwepa kodi,hawa ndio matajiri wetu banaBabu Sambeke ni billionaire Msuya.
Huyu Laswai muziki mnene mkuu marafiki zake ni watu wanene sana ,nadhani mnakumbuka harusi ya binti yake iliyofanyika viwanja vya gofu Moshilucas Tarimo
Vïcent lasway
mawalla
Mberesero
mremi wa dar exp
Bosco Chuwa
Panjwani.
Hari singh
Rajinder
Mchuku wa Mangi.
Huyo mzee wa pembe za ndovu alikuwa akiitwa “Mayahudi”Habari za mida wana jf
Kipindi nakuwa moshi town pale wenyewe wanapaita mji wa wagumu, kulikuwa na matajiri wanajulikana na kusifika sana.
Walikuwa maarufu sana hadi makanisani.Ukienda kanisani ukimwona hata mke wake unabaki waooo
Walikuwa hadi na siti zao kristu mfalme pale.waliishi uzungun,wengine njia ya old moshi.
Kuna siku tumeenda nyumbani kwa rafiki yetu mmoja tulikuwa tunasomanaye mafundisho kanisan maeneo ya uzunguni kule,huo mjumba looh tulibak mdomo wazi.Na ilikuwa first time naona swimming pool nyumban.
Anyway zama zimepita, wengi wameaga dunia,wengine wapo ila umaarufu sio kama zamani.Nilikuwa natoka familia ya kikapuku kabisa so nilitaman siku moja at least na sisi family yetu iweze kuwa na jina kama family zile ama hata visenti tu.
Kuna mzee mmoja alikuwa maarufu sana hapo moshi town,alikuwa na maduka,garages,mabar,mabasi na biashara kibao.Alikuwa anaheshimika kama mfanyabiashara mkubwa moshi.Na wengi tuliamini hivyo.Bwana weeh siku moja katika harakati zake,akapatwa na majanga kwenye mbuga za Kenya, akapigwa risasi akafa,wenzie walifanikiwa kukimbia.Ikaja fahamika mzee alikuwa mwindaji haramu kwenye mbuga ya tsavo,alikuwa anawinda tembo na kuuza pembe na ndio ulikuwa siri ya utajiri wake.
Alirudishwa moshi akaenda zikwa kwao migombani ,after wards Mali zile zikayeyuka kama barafu. Since then nikajifunza kutokutamani cha mtu kwani hujui kakipataje. Utajiri una siri kubwa so vijana wenzangu tufanye kazi.Usiamini story za nilianza na kushona viatu stend,huwa hawasemi ukweli.
Ndio mkuu,hukumbuki wakati wa ufunguzi wa runinga yake,mzee wa Msoga alisema huyu mzee kaanzia mbali kwa sisi watoto wa mjini tulikuwa tunakula pilau kwenye vimigahawa vyake na pia kazi ingine aliyokuwa anaifanya kabla ya kufikia hapa hatuwezi kuisema akimaniisha mzee alikuwa mshona buti,kwa kifupi Mzee bakhresa kilichomtajirisha zaidi ni pale baada ya serikali kuchoma mchele wake na kusema haukufaa kwa chakula cha binadamu,nadhani unakumbuka wapelelezi,wakemia na wengi waliohusika na kuchukua sampo za huo mchele walikuwa wanapukutika mmoja baada ya mmoja na mzee akashinda kesi,nasikia fidia akapewa mali za NMC vikiwemo vinu vikubwa vya NMC Tazara,NMC Pugu rd,mengine sasa ni historiaBakhressa kweli alikuwa anashona viatu!!!!
Kijana yupi? Nyaga si alifariki? Au ana kijana mwingine? Najua alikuwa na mabinti weupee, wanono.Mawalla kijana wake anaendeleza vyema legacy,kwan ni advocate
Halafu kijana mstaarabu sana ukimwona huwez dhania anasimamia mamilion ya shillingi
ni nadra kukutana na ke wa aina yako jfNope niko kama Nancy sumari ama flaviana matata kimuonekano
Very humble polite and all
Sema mavitabu nilosoma mayb
Halafu mmezoea wanawake au wasichana wengi kama kina wema sepetu au jackline wolper,ubongo makamas
Very primitive way of thinking
Philip Tairo huyu Mzee alikuwa poa sana, hakuwa na makeke kama warombo wengi wenye hela, gari yake ya kutembelea Simple tu Suzuki Godwin& mcha Mungu kweli hakosi ibada Kristu MfalmeKipanga alikua jirani na yule baharia aliyekufa kwa viagra Simbard alikua na gari short chasses?
Philip Tairo wa bia za jumla pale (memorio) unakumbuka?
Babuu alipata ajali ya ndegeBabuu Sambeke
Ule msimu wa kikombe cha babu wa Loliondo alivuna sana. Waheshimiwa sana walikodi helicopter yake.Babuu alipata ajali ya ndege
Kuna babuu sambeke na mzee ndesa hawa ndio walikodisha sana mausafiri.Ule msimu wa kikombe cha babu wa Loliondo alivuna sana. Waheshimiwa sana walikodi helicopter yake.
Na wote sasa hivi wame RIPKuna babuu sambeke na mzee ndesa hawa ndio walikodisha sana mausafiri.
Wababe wote wameisha sshv.nimebaki mimi tuuNa wote sasa hivi wame RIP
Mwenye metro ni Willbard MtengaHuyu nae zile Metro/Msae anahusika?
Unamfahamu vipi huyu tajiri wa Kilimanjaro express??Sawaya