Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,352
- 5,414
Miaka hiyo kulikuwa na watu wanaojua kutake risk kwelikweli....get rich or die trying. Huwa siwalaumu watu wa aina hii. Dunia nzima wapo. By the way katika generation ninayoiheshimu ni generation ya 60s na 70s hao ndio walikuwa WANAUME. Ni kama unavyosoma stories za kina Godfather n.k. Kizazi chetu lonyalonya hatuwezi hata kujaribu michongo migumu, waoooga kama kuku.
In every fortune there is crime.
In every fortune there is crime.