Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Siku zote UKAWA mmekuwa mkililia uundwaji wa Tume huru ya Uchunguzi kutokana na vifo vyenye utata. Inakuwaje hapa pa Mtikila mnataka papite kimya kimya?

Nani anayekataa? Kwa hiyo kama Lowassa kashiriki na ikathibitishwa tutapinga? Shida ni kumuhusisha na ajali wakati hamna evide evidence, mnaongea ushirikina na uchawi usiokuwa na evidence. Kama kweli mna nia ya dhati pelekeni ushahidi polisi na mahakamani na kumbukeni mahakama ndio inayoweza kumtia mtu hatiani sio jf wala itv wala fb
 
Inahitaji moyo mkuu kutokujitoa kuwa member wa JF. Sasa hivi JF imeingiliwa na kuwa ya hovyo kama kilivyo chama cha mapinduzi kwa mujibu wa Mwanzilishi wake Kingunge Ngombale.
Kama alivyosema leo, watu wanaropoka ropoka na kutukana hovyo na hakuna wa kuwakemea tofauti na ilivyokuwa CCM asili. Vivyo hivyo JF sasa hivi kuna watu wameingia kwa fujo na wao ni matusi, kusema uongo, na kuharibu mijadala kwa hoja za kijinga tofauti na ilivyokuwa JF asilia.
Utawala wetu wa JF nao umekumbwa na tabia kama hizo alizosema Kingunge kuhusu CCM, kwamba watu wanavuruga na hawaonywi au kuazibiwa kama kanuni zilivyo. Wanatazamwa tuu.
 
Nimejiuliza sana kwa nini wamepiga picha mwili wa Mch. Mtikila pekee eneo la tukio mda huo majeruhi walikuwa wapi? Kwa nini wasingepigwa picha nao? Utata huu.

Huu ni utata kwako ambaye haukuwepo eneo la tukio, waulize waliokuwepo eneo la tukio watakupa majibu
 
KIKUBWA ZAIDI ni MARAIRI... usafiri huo Mrefu angalia TAIRI zilivyochoka... GENERAL TYRE nani aliiuza???

mtikila.jpg
 
Acha kumshuudia mungu kwenye kazi ya shetani, kaa kimia acha kazi ya shetani ibaki ya shetani,
Huyu lowasa kazi nyingi za ki shetani ameusishwa Nazi,

1,sumu mwakyembe,
2,kikwete mwenyewe,
Leo mtikila kwanini wewe lowasa? Majibu ya hivyo eti wananichukia? Kwanini wakuchukie wewe tu,


Teh teh teh sasa JK aliwekewa sumu ya kupata mtezi dume au?? Vijana wa IT Masaki mnafurahisha sana..

Tarehe 25.10 Jiandaeni msidhani mnalishwa na kunyeshwa bure hapo.. Mtavilipia maradufu chama kikianguka, wait and see.. Alafu nasikia kila Jumapili ndio siku yenu ya kuletewa Alcohol na Malaya teh teh teh Naona leo mnajinoma kweli akina Mr Chin walikuwa shift ya mchana leo, alafu kama kawaida mama la mama FaizaFoxy yeye anaingiaga humu majira ya night kali ili apambane na wabeba box, maana muda huo ndio muda wa wabeba box kuingia humu. Teh teh kweli chama kimejipanga..
 
Last edited by a moderator:
kweli raia wa kibongo smartphone zinawazingua,bila haya mtu anahoji eti kwanini marehem alipigwa picha asubuh badala ya muda aliokufa kweli? we baada ya kutokea ajari huwa unawaza kupiga picha tu si ndio!pumbavu ww subir tutakupiga ww unavyokata roho!

Hahaaa Safi sana kaka.watu wanaokoana Nani atakuwa na muda wa kupiga picha? Utu kwanza mengine badae
 
Sijui ni uvivu wa kufikir au kitu gani. Hoja zinaletwa watu wanazijibu kirahisi rahisi tu. Si ajabu watu leo hii wanamshabikia lowasa kama mtu safi

Ndio, Lowassa ni mtu msafi kwa sababu hakuna aliyeweza kuthibitisha kuwa Lowassa ni mchafu zaidi ya porojo za kishirikina kwenye media na social media. Kama una uthibitisho mimi nitaanza kumuita Lowassa mtu mchafu leo hii
 
kichwa chako kimejaa sisimizi hivi kuna shimo ambapo watu wanakusanya ushahidi dhidi ya lowasa? Mkikila yeye ni nani? Slaa, sitta, mwakyembe jeikei wote wana ushahidi ila hawautowi wameushikilia makwapan.

Sasa na marehem alikuwa nao atimae kafa nao uioini ni ujinga? Mwacheni lowasa hana akili mbovu kama zao kifo cha mtikila muulizeni mungu.ajari ni ajari kwani kamanda mtoi yuko wap? Acha ujinga wewe gamba

well said
 
mbona nyie mnatetea uovu. hapa tunaongelea uhai. mtu muhim katka jamii kapoteza uhai wakat ambapo alikuwa anahitajika. na watu wanahisi mgombea fulan anahusika. na wanaweka apa mazingira yanayofanya waamni kuwa mkubwa huyo anahusika.
kama na ww ni kibaraka wake weka ushahidi apa kuonyesha mgombea huyo hahusiki. lakin watu wanajua kilichotokea kuwa kilipangwa as mazingira yana utata.
mgombea mkubwa kama yule anapoanza kuhusishwa na vifo vya watu aina ya mtikila inachanganya sana.
weka ushahid wako apa kama unao kumtetea mtu wako.
damu ya mtu haipoteagi kirahisi vile na nyie mnaanza kuleta utetez wa kitoto apa.

Nilishasema pepo namba moja tanzania ni lowasa,kuwapa sumu watu yeye,mwakyembe,mtikila yeye ,due mungu tuokoe
 
Kifo cha Mohamed Mtoi ungehoji wewe kama uliona kuna ulazima. Watu wanahoji kifo cha Mtikila kwasababu kifo chake kina utata!

Kifo chake kina utata kwasababu watu kwa sasa hawana taarifa na information za ajali, information zikifika tutajua na kama kuna mtu kahusika atashtakiwa, simple
 
Mungu atusaidie watanzania walau vichwa vyeti viwe na uwezo wa kufikiri kidogo,yani mtu kufa mpaka atoke damu.
 
upande wa dereva ndo umepondeka zaidi Mtikila tu ndo wakufa hapo hapo? uchunguzi ufanyike juu ya hiki kifo hapana kwa kweli hainiingii akilini kabisa

Mtikila hakufunga mkanda wa usalama hivyo impact ya ajali ilimdhuru yeye kuliko wenzake waliofunga mikanda
 
Ndio, Lowassa ni mtu msafi kwa sababu hakuna aliyeweza kuthibitisha kuwa Lowassa ni mchafu zaidi ya porojo za kishirikina kwenye media na social media. Kama una uthibitisho mimi nitaanza kumuita Lowassa mtu mchafu leo hii

Lowasa ni pepo hatari sana,lilitaka kumtoa roho kwa sumu mwakyembe kisa siasa wewe wa wapi akili yako inaogozwa na gwajima bila kujua,
 
Inahitaji moyo mkuu kutokujitoa kuwa member wa JF. Sasa hivi JF imeingiliwa na kuwa ya hovyo kama kilivyo chama cha mapinduzi kwa mujibu wa Mwanzilishi wake Kingunge Ngombale.
Kama alivyosema leo, watu wanaropoka ropoka na kutukana hovyo na hakuna wa kuwakemea tofauti na ilivyokuwa CCM asili. Vivyo hivyo JF sasa hivi kuna watu wameingia kwa fujo na wao ni matusi, kusema uongo, na kuharibu mijadala kwa hoja za kijinga tofauti na ilivyokuwa JF asilia.
Utawala wetu wa JF nao umekumbwa na tabia kama hizo alizosema Kingunge kuhusu CCM, kwamba watu wanavuruga na hawaonywi au kuazibiwa kama kanuni zilivyo. Wanatazamwa tuu.


Mkuu wangu.. Kuna wakati huwa najikuta nimeandika matusi makubwa kwa Maxence Mello na Mike kwa kuacha ujinga kama huu unaendelea humu bila hata ya wao kama wamiliki kutoa tamko lolote au kuwaadhibu hawa watu lakini kwa busara najikuta nimeyafuta tu..

Nimepigwa BAN za mara tatu mfululizo kwa kuchallenge watu kawaida tu, lakini hawa wanaosambaza maneno ambayo yanaweza kuligawa taifa tunawaona kila siku wakiendelea kudunda humu bila kupewa warning yoyote. Inahitaji busara ya ajabu sana kuwa MwanaJF kipindi kama hiki.. Uchaguzi upite kwa amani tu tuendelea na mambo mengine.. Japo najua kuna watu watabaki bila kazi na kurudi makwao Tandale na Mazense wakitokea pale Masaki..
 
Lowasa ni pepo hatari sana,lilitaka kumtoa roho kwa sumu mwakyembe kisa siasa wewe wa wapi akili yako inaogozwa na gwajima bila kujua,

Mimi siongozwi na Gwajima wewe (haunijui na pia sikujui) the point is unaweza kuthibitisha hayo unayoyaandika? Kama hauwezi acha USHIRIKINA NA UCHAWI maana huo hauna ushahidi. Sikukatazi kumuita lowassa jina lolote wewe muite tu,
 
Ulikuwepo? Au ndo wewe ulipiga picha mapema na kutuma kwenye mitandao nini? Shetani wewe

Asante kwa kunitusi. Source ya hiyo info niliyotoa ni itv, Nimeangalia habari ya itv leo saa2 usiku. Again asante kwa kunitusi kama una tusi jingine nitukane pia ruksa
 
Kifo chake kina utata kwasababu watu kwa sasa hawana taarifa na information za ajali, information zikifika tutajua na kama kuna mtu kahusika atashtakiwa, simple

Uchunguzi wa kina tena huru na haki unapaswa uzingatiwe kwa umakini mkubwa sana.
 
Back
Top Bottom