Sijui ni uvivu wa kufikir au kitu gani. Hoja zinaletwa watu wanazijibu kirahisi rahisi tu. Si ajabu watu leo hii wanamshabikia lowasa kama mtu safi
Hoja za Kipumbavu zinajibiwa Kipumbavu, Mtikila hakufunga Mkanda, Abiria aliyekuwa naye garini amethibitisha hilo.Sijui ni uvivu wa kufikir au kitu gani. Hoja zinaletwa watu wanazijibu kirahisi rahisi tu. Si ajabu watu leo hii wanamshabikia lowasa kama mtu safi
Wewe si mtaalam wa mambo ya ajali,msitake kuwagawa watanzania kwa kila mtu kuja na mawazo ya chama chake,ajali ni ajali Mohamed Mtoi mbona kafa majuzi haukuoji chanzo cha kifo chake Acheni ktmka kwa tamaa za wanadamu mnaleta mada chonganishi kwa wananchi .
kumbe wewe mnyaruanda sasa pilipili usioila inakuhusu nini tuachieni tanzania yetu.
Umejuaje Rev. Alikaa Siti ya mbele?![]()
Tusicheze na mambo ya ajali, angalia alipokaa hayati Mtikila seat ya mbele kushoto kwa dereva, hizi imagination jamani tujaribu kusitisha.
Tunatakiwa kila wakati kuwa tayari kupokea mapenzi ya Bwana anapotuita kwake, hakuna binadamu aishiye milele, lazima kila mtu afe na mwili kurudia mavumbi.
Mkuu angekuwa mchafu either angekuwa gerezani au angekuwa rumande akiendelea kusikilizia kesi yake mahakamani otherwise ni mtu safi unless uniambie ni mchafu katika kundi la wachafu ccm na serikali yakeSijui ni uvivu wa kufikir au kitu gani. Hoja zinaletwa watu wanazijibu kirahisi rahisi tu. Si ajabu watu leo hii wanamshabikia lowasa kama mtu safi