Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Leo Nimeota kua nitajikita kujadili barabara za magufuli. kwanza ni nyembamba kulingana na standard gauge, na ndio maana mara nyingi hazichorwi mstari wa njano kama mpaka kwasababu ukichora utagundua kasoro za magari kupishana na usaama wa waenda kwa miguu.,

pili Zimejaa mizani nchi nzima ambazo imekua sourc eya kipato kwa jamhuri.. Mizani hizi hazipo kwenye nchi kama Ukienda Rwanda, ke
nya, Burundi na nchi a ulaya. Za nini??kwasababu barabara zao zimejengwa kuzingatia Ubora utakao dumu miaka mingi, Mizani hizi zinatozaFaini kwa magari yaliozidi uzito Kuanzia milioni mbili. NAdharia ya mizani imejikita kama njia mbadala wa kudhibiti Uzito wa magari unaharibu barabara hizi zilizojengwa CHINI YA KIWANGO. Sehemu nyingine zina matuta na kona za ajabu. matokeo yake zimekua ndio machinjio ya watanzania wengi. Nuff said.
Tukiachana na ndoto yangu hiyo juu..
By the way: mtikila ana ushahidi gani ambao ni Mkubwa Saaana ambao wakina JK, na hao wenzake hawana.. THINK HUGE. Kiasi kwamba awe adui wa EL??
Nashauri tuache kupiga ramli
 
Ya mtikila inawauma wengi kuliko kungunge kuhama ccm

Kingunge ni takataka gani? Ndo maana mumeunganisha matukio yote LA mtikila asubuhi na kingunge mchana, ili kufuta upepo wa mtikila ,wenye akili wanajua mchezo mnaofanya ila wamekaa kimia,
 
Uchunguzi wa kina tena huru na haki unapaswa uzingatiwe kwa umakini mkubwa sana.

That's the point, uchunguzi ufanyike sio kuanza kuwahusianisha watu wengine kwa hisia za mtu binafsi na huo ndio ushirikina na uchawi maana huo hauna ushahidi. Then kama atagundulika mtu kuhisika kwa ushahidi ashtakiwe.
 
na hilo kusudi la mungu ni UKAWA kuingia madararakani. FULL STOP..
 
jamani jamani mungu atabaki kuwa mungu ata iwaje mungu atabaki kuwa mungu tuache kuchanganya siasa na mambo ya kiimani mtoa mada mungu atabaki kuwa mungu kumbuka hilo usije ukasau hata siku moja.
 
Kingunge ni takataka gani? Ndo maana mumeunganisha matukio yote LA mtikila asubuhi na kingunge mchana, ili kufuta upepo wa mtikila ,wenye akili wanajua mchezo mnaofanya ila wamekaa kimia,

Wenye akili huwa hawakai kimya, kama unajua kitu march forward and present it, full stop. That's how brave people act na sio kumung'unyamung'unya maneno tu kwenye mitandao ya jamii
 
kama ilibidi afe ili tuingie madarakani poa tu, hata South Africa watu walikufa sana tu. Ije kuwa huyu mmoko tu. Tutafahamiana tu mwaka huu. Unachea na Edo nn??!!
 
Leo nitajikita kujadili barabara za magufuli. kwanza ni nyembamba kulingana na standard gauge, na ndio maana mara nyingi hazichorwi mstari wa njano kama mpaka kwasababu ukichora utagundua kasoro za magari kupishana na usaama wa waenda kwa miguu.,

pili Zimejaa mizani nchi nzima ambazo imekua sourc eya kipato kwa jamhuri.Mizani hizi hazipo kwenye nchi kama Ukienda Rwanda, kenya, Burundi kwasababu barabara zao zimejengwa kuzingatia Ubora utakao dumu miaka mingi, Mizani hizi zinatozaFaini kwa magari yaliozidi uzito. NAdharia ya mizani imejikita kama njia mbadala wa kudhibiti Uzito wa magari unaharibu barabara hizi zilizojengwa CHINI YA KIWANGO. Sehemu nyingine zina matuta na kona za ajabu. matokeo yake zimekua ndio machinjio ya watanzania wengi. Nuff said.

By the way:
mtikila ana ushahidi gani ambao ni Mkubwa Saaana ambao wakina JK, na hao wenzake hawana.. THINK HUGE. Kiasi kwamba awe adui wa EL??

Watakwambia aliingia kwenye maombi akaoteshwa na kushushiwa ushahidi na mungu baba mwenyezi.. Waache wazibe macho na kujifanya hawajui yanayoendelea.. Moyo wa Farao ulikuwa mgumu hivihivi mpaka pale kila mzaliwa wa kwanza wa nyumba ya wamisri kuanza kuondoka mmoja mmoja.. Naam, wataondoka mmoja mmoja mpaka watakaporuhusu tuondoke kuelekea Kaanan..
 
Aya bwana,lakini jua IPO siku na nyietakufa tu,maana kila tukio wewe then eti wamanisingizia? Why u,sauti ya watu sauti ya mungu,

Kila mtu aliyezaliwa atakufa hata wewe utakufa hilo sio la kushangaa maana kifo tuliumbiwa sie wanadamu. Wewe kama una ushahidi wowote juu ya yeyote anayehusika na ajali hiyo au lolote tulilojadili hapa upeleke polisi tena watafurahi saana maana utakuwa umewarahisishia kazi ya kuleta haki mbele ya jamii
 
Kuna kitu kinanipa shida kila tukio baya wewe,then eti watu wananionea,nakumbusha,
1,mwakyembe sumu wewe,
2,wizi wewe
3,kuangalia magenge ya mafya wewe,
4,mtikila minongono mingi juu yako,
KWANINI WEWE?
 
Kila mtu aliyezaliwa atakufa hata wewe utakufa hilo sio la kushangaa maana kifo tuliumbiwa sie wanadamu. Wewe kama una ushahidi wowote juu ya yeyote anayehusika na ajali hiyo au lolote tulilojadili hapa upeleke polisi tena watafurahi saana maana utakuwa umewarahisishia kazi ya kuleta haki mbele ya jamii

Mkuu nakubali kila MTU aliyezaliwa atakufa,lakini mwizi anavunja nyumba na kupiga MTU risasi,eti kifo cha mungu kwa kuwa tulizaliwa kufa,tumeyaona mengi watu wakipoteza maisha kwa njia za ki shetani,lkn ukweli utabaki kuwa ukweli sauti ya watu sauti ya mungu,minongono mingi ina ishara ndani yake,
 
Mkuu nakubali kila MTU aliyezaliwa atakufa,lakini mwizi anavunja nyumba na kupiga MTU risasi,eti kifo cha mungu kwa kuwa tulizaliwa kufa,tumeyaona mengi watu wakipoteza maisha kwa njia za ki shetani,lkn ukweli utabaki kuwa ukweli sauti ya watu sauti ya mungu,minongono mingi ina ishara ndani yake,

Kama una lolote la kuisaidia polisi peleka polisi,
 
Watakwambia aliingia kwenye maombi akaoteshwa na kushushiwa ushahidi na mungu baba mwenyezi.. Waache wazibe macho na kujifanya hawajui yanayoendelea.. Moyo wa Farao ulikuwa mgumu hivihivi mpaka pale kila mzaliwa wa kwanza wa nyumba ya wamisri kuanza kuondoka mmoja mmoja.. Naam, wataondoka mmoja mmoja mpaka watakaporuhusu tuondoke kuelekea Kaanan..

Kama kuna kitu kinanikera duniani ni kushuudia maneno ya mungu kwenye kazi za shetani,wataisha wte na wengine mtwaziba midomo kwa vitisho,lkn mungu atainua miamba na kusema juu ya taifa lake,
 
Fanya utafiti wa kutosha kabla hujazusha maswali yasiyo na tija.

Ajali imetokea akiwa na watu watatu wa karibu na yeye na ndio waliotoa ushuhuda wa kilichotokea, hujaangalia taarifa ya habari .
Kwa akili zako unataka kunidanganya kuwa gari linapinduka tu likipata pancha au tairi likitoka?

basi wewe mshamba sana wa magari
Mengine nenda polisi waliofanya vipimo watakupa taarifa kamili.
 
Kama una lolote la kuisaidia polisi peleka polisi,

Sauti ya wengi sauti ya mungu,nakupa ushaidi malipo yako hapahapa duniani, wakati mwakyembe wanampa kiarusi cha sumu afe nacho,walishangilia,lakini mungu alivyo wa ajabu yeye akawapa kiarusi cha kutetemeka waangaike nacho adi kufa,
 
ALWATAN KIZIGO

Muuaji wake anajulikana, hivi karibuni amemshambulia sana na akasema hafai kwenda Ikulu. Huyo huyo muuaji ndiye aliyetuma watu kumvamia Humphrey Polepole nyumbani kwake Mbezi beach.

Ndugu watch u a tounge! Sema ambacho unauhakika nacho unless ni kujitafutia matatizo
 
Last edited by a moderator:
Sauti ya wengi sauti ya mungu,nakupa ushaidi malipo yako hapahapa duniani, wakati mwakyembe wanampa kiarusi cha sumu afe nacho,walishangilia,lakini mungu alivyo wa ajabu yeye akawapa kiarusi cha kutetemeka waangaike nacho adi kufa,

Yaleyale yaushirikina na uchawi usio na evidence. Usiku mwema ila leo ulale na hili :KAMA UNA USHAHIDI WA KUISAIDIA POLISI UPELEKE POLISI ILI HAKI ITENDEKE.
 
Back
Top Bottom