Acha vitisho,wenzako wanaenda mbali zaidi ya upeo wa macho yako,Ndugu watch u a tounge! Sema ambacho unauhakika nacho unless ni kujitafutia matatizo
Acha vitisho,wenzako wanaenda mbali zaidi ya upeo wa macho yako,Ndugu watch u a tounge! Sema ambacho unauhakika nacho unless ni kujitafutia matatizo
Wameshaenda Kupeleka Feedback Ya Aliyewatuma Kufanya KILICHOFANYIKA Na Si Ajabu Hata Wao Pia Wakamfuata MCHUNGAJI Leo Jioni au Kesho ILI KUMALIZA USHAHIDI Wa Scenario Nzima. Principles Za KIMAFIA Na KIJASUSI Duniani Kote HAZITOFAUTIANI Sana. King Maker Sasa Hivi KATULIA Tu KIMYA Huku AKIDHANI Kazi IMEKWISHA Wakati Kumbe Ndiyo Kwanza WANAMUME Wameamka Na Kuanzia Leo Hadi Tarehe 24 Ni Shuka Kwa Shuka Na Ngozi Kwa Ngozi Campaign Huku Tarehe 7 WATU Wawili MAARUFU Na Wao WAKIANZA KUFAGIA NJIA Na KUCHAFUA Kule KOTE Walikopita WALIOMTANGULIZA Reverend Alfajiri Ya Leo.
Yaleyale yaushirikina na uchawi usio na evidence. Usiku mwema ila leo ulale na hili :KAMA UNA USHAHIDI WA KUISAIDIA POLISI UPELEKE POLISI ILI HAKI ITENDEKE.
Lowassa hatutompa kura za kuingia Ikulu, ni zaidi ya shetani.
Mmeanza Swine! Watanzania Fanyeni Mambo Yenu Na Iacheni Rwanda Na Maisha Yake. IKIGUSWA Tu Nchi Ya Rwanda Gentamycine SITANYAMAZA Na Hali Ya Hewa ITACHAFUKA Humu. Mtuache WANYARWANDA TUPAMBANE NA MAISHA YETU KWANI GENOCIDE Ya 1994 IMETURUDISHA MNO NYUMA ILA Tunashukuru Mwenyezi Mungu SASA KIONGOZI Wetu Mwenye HAIBA Kama Za Dr. Magufuli KIPENZI Changu His Excellency President Paul Kagame ANAIRUDISHA Rwanda Ktk Economic and Development Map. I Love Rwanda, I Love Paul Kagame, I Love Tutsi Tribe And I Love Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Lowassa hatutompa kura za kuingia Ikulu, ni zaidi ya shetani.
huyu mchungaji inatiwa mtu adig his past,je amewahi kuwa na uhusiano na na yule askofu wa tanganyika packers?,,,kwanini ilibidi wachukuwe madreva wawili kwa gari dogo kama hilo,tena wote wametafutwa na huyo patrick ,kwanini wamemaza chali marehemu then wakamchukua picha,maana kwa vyovyote ile picha imechukuliwa na hao hao waliokua nae,,,mbona gari imekaa kama imebinuliwa na wala haikuviringika?
Muishukuru sana Congo maana ndo inafanya muendelee, we ni mrwanda ila unampigia kampeni Magufuli? Kwa hapo mlipofikia kama kweli ni mrwanda usingemention TUTSI TRIBE. Tuache na tz yetu pia mnyarwanda
Huyo yupo safe kabisa,kwa utawala wa ccm kumtukana Lowasa na kuwavunjia heshima wazee unazawadiwa cheo, tunakwenda kuwafundisha adabu tarehe 25 kwenye sanduku la kura.Ndugu watch u a tounge! Sema ambacho unauhakika nacho unless ni kujitafutia matatizo
nakubaliana na wewe kabisa. Ipo siku MUNGU dhihirisha ukweli kwa mambo yaliyojificha chini ya pazia
Kweli ni myarwanda au ndo anapuguza nguvu issue ya kagame na lowasa,
Yaani we jamaa, trust me sio mnyarwanda we ni kada
Kweli kwa ajali ionekanavyo na maelezo mafupi uliyotoa naungana mkono nawewe kua ajali ichunguzwe kwa kina...
Naona wengi tumejikita ktk kuchambua namna ya ajali zinvyokua na ufaji wa mtu,kwangu hio haina mashiko zaidi..
Ila ukweli uchunguzi wakina ufanywe na kuna majina flani yawatu yametajwa ktk post yako wapatikane hao watu na wahojiwe kwa kina....
Watu tunapodai majeruhi waje wajibu maswali haya kwa haraka inakua ngumu endapo tu watakua wamehusika kinagaubaga na issue kama ulivyojaribu kugusia...
Tumekua tunasema Mtikila alikua hajafunga mkanda.
Kanakwamba tunafahamu uhalisia wa namna gani alitoka ndani ya gari mpaka kulala nje ya gari....
Kwann bricase yake iwe kando yake kanakwamba alikua kaikumbatia miguuuni na kutoka nayo?...
Hoja yako naamin haijalenga kwa mtu flani zaid ila kutaka vyombo husika kuichunguza ajali kwa kina na ikiwezekana watu wapate pc nyingi zaid kwa kuzipitia na kulinganisha aina ya ajali.....
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Angesema lowasa ungeshangilia,lakini walipo muusisha kagame na lowasa kwa mtikila umekaa kimia,aya bwana wenye akili zako wanajua,
Mkuu uchunguzi wa nini mbona issue inafaamika kazi ya el,tena huyu ni bingwa wa kazi hizo,haukumbuki sumu ya mwakyembe nini?