Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Mchungaji Mtikila, mtetezi halisi wa Tanganyika, mtetezi wa Katiba, Mtetezi wa Haki za Binadamu, Mungu akulaze mahala pema peponi na kama kuna mkono wa mtu basi Mungu amuweke wazi hadharani kablka jogoo hajawika. umekuwa ni mpambanaji halisi ambaye ulidiriki kuweka usajili wa chama chako rehani kwa kuitetea Tanganyika.

I salute you.
 
Something wrong somewhere ukitulia na kufikiri na kutazama kwa jicho la tatu utakiri na Mimi sio ajali ya kawaida., huo ndio ukweli

Nikiona mambo kama haya nakumbuka wafuatao..Chacha Wangwe,Harrison Mwakiembe,Said Kubenea, Kibanda na wengine naweka hakiba ya maneno
 
kumbe wewe mnyaruanda sasa pilipili usioila inakuhusu nini tuachieni tanzania yetu.

Nipo MAALUM Kuwasaidia WATANZANIA Tena Hasa Wana CCM Ili Mgombea Wao AWE RAIS WENU. Rwanda TUNAMUHITAJI MNO Dr. Magufuli ILI Tushirikiane Nae Vizuri Kimaendeleo Kama Tulivyoshirikiana Na Mzee Wetu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Bado Wana Rwanda TUNATAKA KUJIFUNZA MENGI KUTOKA KWA CCM Hasa Yale Ya KIMAENDELEO Hasa TUKIAMINI KUWA KIONGOZI WAKE MKUU NA ALIYETUSAIDIA SISI WANYARWANDA HAYATI BABA YENU WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE Alikuwa Muasisi Wa CHAMA KIZURI NA MFANO WA KUIGWA AFRIKA NA DUNIANI CHA CCM. Na SISI WANYARWANDA TUTAMPA KILA AINA YA USHIRIKIANO Dr. John Pombe Joseph Magufuli Na TUNAMPENDA Mno.
 
attachment.php


Tusicheze na mambo ya ajali, angalia alipokaa hayati Mtikila seat ya mbele kushoto kwa dereva, hizi imagination jamani tujaribu kusitisha.

Tunatakiwa kila wakati kuwa tayari kupokea mapenzi ya Bwana anapotuita kwake, hakuna binadamu aishiye milele, lazima kila mtu afe na mwili kurudia mavumbi.

upande wa dereva ndo umepondeka zaidi Mtikila tu ndo wakufa hapo hapo? uchunguzi ufanyike juu ya hiki kifo hapana kwa kweli hainiingii akilini kabisa
 
Kweli kabisa - Hayo maswali yako yanahitaji majibu - haswa ukichukuliwa sasa tunakaribia uchaguzi - na Mchungaji Mtikila alikuwa akimtuhumu mgombea Mmoja wa Urais kuwa ni FISADI, MWIZI na MLA RUSHWA.
 
Mmeanza Swine! Watanzania Fanyeni Mambo Yenu Na Iacheni Rwanda Na Maisha Yake. IKIGUSWA Tu Nchi Ya Rwanda Gentamycine SITANYAMAZA Na Hali Ya Hewa ITACHAFUKA Humu. Mtuache WANYARWANDA TUPAMBANE NA MAISHA YETU KWANI GENOCIDE Ya 1994 IMETURUDISHA MNO NYUMA ILA Tunashukuru Mwenyezi Mungu SASA KIONGOZI Wetu Mwenye HAIBA Kama Za Dr. Magufuli KIPENZI Changu His Excellency President Paul Kagame ANAIRUDISHA Rwanda Ktk Economic and Development Map. I Love Rwanda, I Love Paul Kagame, I Love Tutsi Tribe And I Love Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Mkuu GENTAMYCINE kwa hili la Bahima naomba nitofautiane na wewe kwa hali na mali!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kipaumbele cha kwanza hadi cha tatu ni elimu,mtoa mada rudi shule hata vitabu vya dini vinatuhasa tutafute elimu hata uchina.
 
nyerere alisema hivi kifo cha sokoine Tuamin ameshakufa na huyupo tena hata maswali mengi hajatasaidie kitu
 
mkuu huyu jamaa atatumaliza bana...
nyie mnaotukana watu wengine eti ni wagonjwa mtatangulia nyie maana mnajiona wenye afya na dhamana ya kuishi kuliko wengine. wanaochechemea wanajua namna ya kutunza afya zao mliojazia miili yenu mkajiona mna haki kuliko wengine shauri yenu
 
Na Huyu Huyo Killer King Maker Ndiyo Aliyewatengeneza Akina Dr. Mwakyembe Na Professor Mwandosya Kwa ILE Kitu Ya Tel Aviv Yafo Nchini Israel. ANASIFIKA MNO KWA MICHEZO Hiyo Ya Hatari!

nakubaliana na wewe kabisa. Ipo siku MUNGU dhihirisha ukweli kwa mambo yaliyojificha chini ya pazia
 
subiri majeruhi wapone ndo watakupa real story ya ajali

Ni kweli majeruhi ndio watatupa picha yote Maana wao ndio wanajua alipokuwa akitoka na njiani alikuwa akiwasiliana na nani?
 
Acha uchochezi we mvuruga amani ya nchi...huoni hiyo tai aliyofungwa usoni ...inajitoshereza kuonesha ameumia sehemu za kichwani na akafungwa na tai...
 
Nipo MAALUM Kuwasaidia WATANZANIA Tena Hasa Wana CCM Ili Mgombea Wao AWE RAIS WENU. Rwanda TUNAMUHITAJI MNO Dr. Magufuli ILI Tushirikiane Nae Vizuri Kimaendeleo Kama Tulivyoshirikiana Na Mzee Wetu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Bado Wana Rwanda TUNATAKA KUJIFUNZA MENGI KUTOKA KWA CCM Hasa Yale Ya KIMAENDELEO Hasa TUKIAMINI KUWA KIONGOZI WAKE MKUU NA ALIYETUSAIDIA SISI WANYARWANDA HAYATI BABA YENU WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE Alikuwa Muasisi Wa CHAMA KIZURI NA MFANO WA KUIGWA AFRIKA NA DUNIANI CHA CCM. Na SISI WANYARWANDA TUTAMPA KILA AINA YA USHIRIKIANO Dr. John Pombe Joseph Magufuli Na TUNAMPENDA Mno.
Kubali ninyi ni koloni la Tanzania haupo hapa kusaidia.CCM ya mwalimu nyerere sio hii ya sasa ya matusi. naomba tafuta kitabu cha mwalimu hatima ya Tanzania na uongozi wetu usome ndipo utaacha propoganda zako chafu, mwisho wa majibizano
 
4. Kwa nini picha kwenye media/mitandao zitoke 2 tu????
 
Back
Top Bottom