0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,159
- 11,100
Ni hv wanaume wa sasa tunapenda kuwa na wanawake zaid ya wawil lakin sio mpaka kufunga ndoaSoma comment za wadau mkuu. Kwanza kwa mwanaume kuwa na zaidi ya mwanamke mmoja ni nature, wengine tunafungwa na imani tu ila ukweli mke mmoja ni miyeyusho sana