KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,756
- 2,998
Yaani unafurahisha na kuchekesha.Hivi kweli unaweza kuwa na ushauri sahihi kweli kwa mwanaume ambaye ameishakuwa ndani ya ndoa kwa zaidi ya miaka 20?.Unaelewa nini unaposikia huyu ameoa mke wa nne hii leo?.Huyu ni mwanaume ambaye aliishi ndoa ya mke mmoja,akaishi ndoa ya wake wawili,akaishi ndoa ya wake watatu na sasa ameingia kuishi ndoa ya wake wa nne.Ndugu!Uwezi kuwa mshauri juu ya jambo ambalo huna uzoefu nalo wala uwezi kuliishi.Acha wanaume tupongezane wenye kuyaishi haya.Sikiliza zamani mtu anatoa wanawake 4 au zaidi lakini wanakaa nyumba moja tu hivo ilikua rahisi Sana kuwapa malezi mazuri watoto watakaozaliwa. Na pia kumbuka ndoa sio kufanya mapenzi tu, kwa Hilo kabugi na ukumbuke hakuna mwanamke anaependa ukewenza sema ni umasikini wa hao wanawake ndo umewapekea kuolewa hivyo.