Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,444
- 7,806
“Maisha yangu mimi sio ya kuyaweka hadharani kama watu wanavyotaka, dunia tuliyopo kuna vitu vikifanyika watu wanaona kawaida na vile vya kawaida vinaonekana sio sawa"
"Kuna mtu anaweza akawa na mwenza mmoja lakini nyuma yake ana 'watu' wengi sana na kila mwaka anabadilisha na watu wanaona sawa ila kuna mwingine akifuata dini inavyotaka inakuwa shida”
Masoud Kipanya
====
Siku za karibuni Masoud amekuwa akiandamwa na dada maarufu mtandaoni juu ya ndoa yake mpya ya mke wa nne ambayo anadai imepeleka huzuni kwa mke wake wa kwanza.
Pia, soma=> Masoud Kipanya aongeza mke wa nne
"Kuna mtu anaweza akawa na mwenza mmoja lakini nyuma yake ana 'watu' wengi sana na kila mwaka anabadilisha na watu wanaona sawa ila kuna mwingine akifuata dini inavyotaka inakuwa shida”
Masoud Kipanya
====
Siku za karibuni Masoud amekuwa akiandamwa na dada maarufu mtandaoni juu ya ndoa yake mpya ya mke wa nne ambayo anadai imepeleka huzuni kwa mke wake wa kwanza.
Pia, soma=> Masoud Kipanya aongeza mke wa nne