SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,028
- 5,355
Hapo sasa. Mie nipo Mwanza nafahamiana nao ni watu wa mizinga sana.Inamaana wamekosa hata vijana wa field?
Sent from my SM-G900T using JamiiForums mobile app
Hapo sasa. Mie nipo Mwanza nafahamiana nao ni watu wa mizinga sana.Inamaana wamekosa hata vijana wa field?
Ajira za watu wa 5 tena Wafia Chama?Bora wakose tuuUnacheka wakati ni jambo la kusikitisha. Ajira za watu ziko mashakani
Mwili Obare kutoka kwa watu wazito Igoma Mwanza. Alikuwa hakosi line pale RFA wakati wengine wakihangaika kupiga simu yeye utafikiri alikuwa na line yake peke yake. NaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamEnzi za R.F.A
Mtangazaji: unaitwa nani
Mwili obare:naitwa Mwili obare kutoka musoma Mara
Mtangazaji: mwili obare
Naaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaammm
Yani jamaa alitika mpaka radio Betri zikaisha.
Huyo dada alikua bora haswaMwenye account ya instagram ya GLORY ROBINSON...AKA MTOTO WA MAMA SABUNI aiweke apa nimffollow.
Yaan huyo alikua roll model wang
Mbona wagumu kuelewa? Tatizo lililoikumba sekta binafsi,/wafanyabiashara na pesa ni pana Sana, si wao tu Kama media pia wamo hata ipp Hali tulisikia hali ni tete mishahara kulipana, , New habari wao tayari gazeti limesimama, wale channel ten na magic FM wameokolewa na chama kuamua kuinunua kampuniKweli na mm nimewacheki ni mlio wa DW tu nahisi dialo na bwana Mkubwa kuna sehem hawakwenda sawa, tusubir 2020 itafufuliwa kwenye kampeni
Ilikuwa noma sana jingle linapiga neeews kisha anasikika kusoma habari Lazaro Matalange jamaa alikuwa na vocal ya zege...kweli RFA inamuhitaji mwokoziInasikitisha sana... nakumbuka enzi nikiwa kachalii nilivipenda vipindi vya RFA kama vile Sindano 5 za moto by Fred Waa, Show time, Weekend Fever, Search Line, Je wajua? na Michezo.
Ukisikia Neeeeews ..sauti za watangaza news zilikuwa nzuri na makini sana...
God!
Akili za wachawi hizi!!CCM HOYEEEEEEEE.CCM MBELE KWA MBELE.WACHA ANTONY DIALLO AISOME NAMBA EEEEEH,CCM MBELE KWA MBELE EEEE!!![]()
Yes nakumbuka 1999 hicho kipindi cha udondozi wa magazeti walikuwa wanakiwasilisha Hamisi Dambaya na Egbert Mkoko redio mkoa tulikuwa utaipata kwa AM(Amplitude Modulation)...wakati huo nawasilikiliza kwenye karedio kangu ka Rising kwenye geto lililobandikwa magazeti ukutani yenye picha za Notorious B.I.G , Lil Bow Wow,JLo nk...mm nilikiwa nakipenda sana kipind cha magazet sa 12 na nusu asbh na dw na bbc jion na sa saba mchana
Wambura mtani ana kipind kinaitwa JE HUU NI UUNGWANA? kila jumapili kazi kusema ya wenzake yeye anakaa had miezi 3 bila mshahara halizungumzii hili




dahJe kama anataka kulelewa, itashindwaje kwa mfano?Bibi yako huyo, unamanzaje kuingiza mkuyenge kwa bibi yko?
Mwenye account ya instagram ya GLORY ROBINSON...AKA MTOTO WA MAMA SABUNI aiweke apa nimffollow.
Yaan huyo alikua roll model wang
Ana matiti makubwa kama ya maserati mcheza porno yule akimpiga nayo mtoto
Weka wewe akili za Waganga tuoneAkili za wachawi hizi!!
Tunasikia nowdays kwenye media za dini kila siku zikitangazia A/c No. za benki na namba za simu ili waumini/washiriki wao na watu wengine wazichangie.Kuendesha kituo cha redio au television ni gharama sana.
Kwa muda mrefu tu Sahara Media wamekuwa wakiendesha kwa hasara, ndio maana madeni yamekuwa mengi, including ya serikali (TRA). Hakuna waangaliaji, hivyo wamekuwa wakipoteza wadhamini/matangazo.
Mikopo ingesaidia mno kama wangejaribu kuji-reinvent kabisa. Lakini walibaki vile vile.
Ipo Chanel tenKweli na mm nimewacheki ni mlio wa DW tu nahisi dialo na bwana Mkubwa kuna sehem hawakwenda sawa, tusubir 2020 itafufuliwa kwenye kampeni
Inabidi tu.Tunasikia nowdays kwenye media za dini kila siku zikitangazia A/c No. za benki na namba za simu ili waumini/washiriki wao na watu wengine wazichangie.
Na wanapata shekeli za kutosha, kuna media nyingine za dini makanisa yao wamewekewa kiasi cha kutoa (asilimia)