wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Mwongo huyo saa hivi nasikiliza bolingo hapa labda kaweka freequnc vibaya imeshika station nyingine
ndio tyr hiyoooo
ndio tyr hiyoooo
Mkuu mbona hao jamaa hawapatikani baadhi ya maeneo ya mikoa ya pwani?Mbona saa hivi nawasikuliza hapa
Mda huo taarifa ya habari ya dw kuisha ni kweli walisahau kuquit surb yao ili kurudi kwenye freequnc za hapaKweli na mm nimewacheki ni mlio wa DW tu nahisi dialo na bwana Mkubwa kuna sehem hawakwenda sawa, tusubir 2020 itafufuliwa kwenye kampeni
Mkuu mbona hao jamaa hawapatikani baadhi ya maeneo ya mikoa ya pwani?
Ana matiti makubwa kama ya maserati mcheza porno yule akimpiga nayo mtoto haamki mazimaMwenye account ya instagram ya GLORY ROBINSON...AKA MTOTO WA MAMA SABUNI aiweke apa nimffollow.
Yaan huyo alikua roll model wang
Ana matiti makubwa kama ya maserati mcheza porno yule akimpiga nayo mtoto haamki mazima
Ana sauti kali ila manyonyo aliyonayo kudadadeki ni kisangaEeh bwana. Sio kwamba ni "wivu tu"?!
Kwa sauti ile jomba?
Mkuu anapatikana wap kwa sasa?Ana sauti kali ila manyonyo aliyonayo kudadadeki ni kisanga
mm nilikiwa nakipenda sana kipind cha magazet sa 12 na nusu asbh na dw na bbc jion na sa saba mchanaInasikitisha sana... nakumbuka enzi nikiwa kachalii nilivipenda vipindi vya RFA kama vile Sindano 5 za moto by Fred Waa, Show time, Weekend Fever, Search Line, Je wajua? na Michezo.
Ukisikia Neeeeews ..sauti za watangaza news zilikuwa nzuri na makini sana...
God!
mm nilikiwa nakipenda sana kipind cha magazet sa 12 na nusu asbh na dw na bbc jion na sa saba mchana
Ingekuwa mimi ndo mmiliki ningebadili frequency na brand kisha kuja kivingineKinachoendelea kwenye radio Free Afrika ni huzun kwa kweli, watangazaji wanabadirishana kutwa hao hao.
Cha ajabu jioni hii nahisi wamefanya mgomo, mara baada ya matangazo kutoka DW Radio hakuna aliyebadili station au kuingia hewani, ni ule mlio wa DW radio ndiyo unaendelea mpaka muda huu.
Hata jamaa yangu aliye Arusha ananipigia akisema hiki.
RIP RFA.
Asante Sana eeeeeeeh baba😁😁😁Alikuwepo na yule mwenzie lawena nsonda kutoka makongorosi chunya.
Utasikia
Nikutakie kanzi njema eeeeeeeh baba😀😀😀😀
Inamaana wamekosa hata vijana wa field?Watangazaji wamebaki
1. Wambura Mtani
2. Felista Kulujirwa
3. Faustine Staphano
4.
5.
Yaani sijui wapo watano tu.
Na wewe madrasa huwa mnasomea ujinga au= wanabadilishana
= aliyebadili
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Rfa moja ya redio niliyokuwa naipenda kabisa kwa vipindi vyake muruwaah.Kinachoendelea kwenye radio Free Afrika ni huzun kwa kweli, watangazaji wanabadirishana kutwa hao hao.
Cha ajabu jioni hii nahisi wamefanya mgomo, mara baada ya matangazo kutoka DW Radio hakuna aliyebadili station au kuingia hewani, ni ule mlio wa DW radio ndiyo unaendelea mpaka muda huu.
Hata jamaa yangu aliye Arusha ananipigia akisema hiki.
RIP RFA.
Duh jamaniiiiWambura mtani ana kipind kinaitwa JE HUU NI UUNGWANA? kila jumapili kazi kusema ya wenzake yeye anakaa had miezi 3 bila mshahara halizungumzii hili
Alikuwepo na yule mwenzie lawena nsonda kutoka makongorosi chunya.
Utasikia
Nikutakie kanzi njema eeeeeeeh baba