TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,764
- 21,237
Miaka mitatu iliyopita tuliweka hili bandiko kwa kinachoendelea pale Mwanza kuhusu RFA, Kiss FM na StarTV palipokuwa na mgomo baridi.
Maskini RFA, ndiyo kwaheri hivyo
Kinachoendelea kwenye radio Free Afrika ni huzuni kwa kweli, watangazaji wanabadilishana kutwa hao hao. Cha ajabu jioni hii nahisi wamefanya mgomo, mara baada ya matangazo kutoka DW Radio hakuna aliyebadiri station au kuingia hewani, ni ule mlio wa DW radio ndiyo unaendelea mpaka muda huu...
www.jamiiforums.com
Mzee Antony muite huyu mzee-kijana
Pascal Mayalla atakuendeshea kwa ufanisi, kazi yako itakuwa kusuburi mrejesho kila mwisho wa mwaka.
Dialo anaogopa nini kuuza hivi vyombo au kuingia mkataba na wawekezaji?.