Masikini my ex, kweli malipo ni hapahapa duniani

Masikini my ex, kweli malipo ni hapahapa duniani

hapo wewe ndio una maamuzi ya mwisho ila mie ni 1directioner, always forward. tukitosana ujue hakuna kurudiana, maana kama mambo yalishindikana wakati ule unadhani sasa hivi yatawezekana?

Kazi ipo mkuu!
 
Nilimpenda sana huyu binti ila siku isiyo na jina alinimwaga tena kwa mbwembwe. Niliumia sana! almanusura nichanganyikiwe!

Sasa jana mchana nikasema nikimbie Mlimani City kwenda kununua kitu fulani, nikamuazima mwanangu gari lake (Range rover evoque) nikamuachia la kwangu (Hyundai Coupe Sports car).

Sasa wakati napark pale Mlimani nikasikia naitwa, kugeuka nakutana uso kwa uso na huyo bibie!

At first alikua kama ametahayari alivoona nashuka kwenye ile ndinga! Nikasalimiana nae vizuri tu, tukaongozana kuingia Mlimani ndani!

Akaanza kuning'ang'ania, ooh Amicus I missed you, leo sikuachi nakwambia, nikazunguka nae mule ndani, nikawa najiuliza mbona yeye hanunui, alifwata nini M/city? halafu alikua 'restless'. Nikajua kapanic akidhani ule mkoko ni wangu, alizoea kuniona na Hyundai yangu.

Mara ooh naomba tuongozane! wakati hajui naelekea wapi!

Sikuwa mkaidi, nikatoka nae, tukazama kwenye ndinga nikampeleka lunch! akawa analisifia sana gari! wakati tunasubiri msosi akaanza kunisimulia yaliyomsibu huku anabubujikwa na machozi! hadi watu wakawa wanatushangaa! na yeye ameachika almost the same way kama alivyoniacha!

Ananisihi turudiane, sasa naogopa asije akawa ameweweseka na ile range, tukarudiana akaja kuleta wenge tena akijua kwamba ule usafiri si wangu! Uongo haufai, kiukweli me bado nampenda.

Ni kama alikua anatamani kuniuliza kuhusu lile gari ila akawa anashindwa!

Jamani hebu nishaurini mwenzenu, nahisi bado nampenda coz tangu tuachane imepita miezi 6 tu ingawa nilikua nimeshaanza kumsahau. Halafu amezidi kuwa mzuri, amekatika vibaya sana!

Ananisumbua sana kwenye simu wajameni!

Yeye yupo Chuo pale Muhimbili anasomea Udaktari.

Nina uhakika hayumo humu JF coz nilimuuliza jana akasema yeye sio big fan wa mitandao ya kijamii kwasababu mara nyingi anapiga msuli, kwa kifupi shule yake ni ngumu sana.

Jamani nishaurini, kwa wale mtakao-comment naomba muwe serious...nataka kesho asubuhi nimpe jibu.

Mkuu wewe mwanamke akikuambia ameachwa kisa kakuona uko pazuri huwa unamwamini???Hapo red, ni kwasababu ya matunzo ya mwanaume aliyenaye kwasasa!!Kifupi uyo sio wa kuoa, tena wala hakupendi maana asingekuacha Uyo ni mwanamke mwenye tamaa ya macho tu...kama unabisha we mrudie uone kama hatokuacha na kumtafuta uyo rafiki yako anayemiliki iyo Range pindi atakapogundua wewe si yako
 
Nilimpenda sana huyu binti ila siku isiyo na jina alinimwaga tena kwa mbwembwe. Niliumia sana! almanusura nichanganyikiwe!

Sasa jana mchana nikasema nikimbie Mlimani City kwenda kununua kitu fulani, nikamuazima mwanangu gari lake (Range rover evoque) nikamuachia la kwangu (Hyundai Coupe Sports car).

Sasa wakati napark pale Mlimani nikasikia naitwa, kugeuka nakutana uso kwa uso na huyo bibie!

At first alikua kama ametahayari alivoona nashuka kwenye ile ndinga! Nikasalimiana nae vizuri tu, tukaongozana kuingia Mlimani ndani!

Akaanza kuning'ang'ania, ooh Amicus I missed you, leo sikuachi nakwambia, nikazunguka nae mule ndani, nikawa najiuliza mbona yeye hanunui, alifwata nini M/city? halafu alikua 'restless'. Nikajua kapanic akidhani ule mkoko ni wangu, alizoea kuniona na Hyundai yangu.

Mara ooh naomba tuongozane! wakati hajui naelekea wapi!

Sikuwa mkaidi, nikatoka nae, tukazama kwenye ndinga nikampeleka lunch! akawa analisifia sana gari! wakati tunasubiri msosi akaanza kunisimulia yaliyomsibu huku anabubujikwa na machozi! hadi watu wakawa wanatushangaa! na yeye ameachika almost the same way kama alivyoniacha!

Ananisihi turudiane, sasa naogopa asije akawa ameweweseka na ile range, tukarudiana akaja kuleta wenge tena akijua kwamba ule usafiri si wangu! Uongo haufai, kiukweli me bado nampenda.

Ni kama alikua anatamani kuniuliza kuhusu lile gari ila akawa anashindwa!

Jamani hebu nishaurini mwenzenu, nahisi bado nampenda coz tangu tuachane imepita miezi 6 tu ingawa nilikua nimeshaanza kumsahau. Halafu amezidi kuwa mzuri, amekatika vibaya sana!

Ananisumbua sana kwenye simu wajameni!

Yeye yupo Chuo pale Muhimbili anasomea Udaktari.

Nina uhakika hayumo humu JF coz nilimuuliza jana akasema yeye sio big fan wa mitandao ya kijamii kwasababu mara nyingi anapiga msuli, kwa kifupi shule yake ni ngumu sana.

Jamani nishaurini, kwa wale mtakao-comment naomba muwe serious...nataka kesho asubuhi nimpe jibu.

hahahahahah umenifurahisha sana kiongozi yani comment yako inaonyesha kabisa mtu akikwambia usirudiane nae itakuwa ugomvi sasa fanya hivi nenda kampime vvu,cheki kama buti liko pouwa then uzame kwenye penzi upya ila kwa mimi hapo duuh nachapa mwendo 180 ngorika, coz huyo paka mapepe tayari na ukirudiana nae anajua unampenda sana.
 
Mkuu wewe mwanamke akikuambia ameachwa kisa kakuona uko pazuri huwa unamwamini???Hapo red, ni kwasababu ya matunzo ya mwanaume aliyenaye kwasasa!!Kifupi uyo sio wa kuoa, tena wala hakupendi maana asingekuacha Uyo ni mwanamke mwenye tamaa ya macho tu...kama unabisha we mrudie uone kama hatokuacha na kumtafuta uyo rafiki yako anayemiliki iyo Range pindi atakapogundua wewe si yako

Mkuu maneno mazito sana haya
 
hahahahahah umenifurahisha sana kiongozi yani comment yako inaonyesha kabisa mtu akikwambia usirudiane nae itakuwa ugomvi sasa fanya hivi nenda kampime vvu,cheki kama buti liko pouwa then uzame kwenye penzi upya ila kwa mimi hapo duuh nachapa mwendo 180 ngorika, coz huyo paka mapepe tayari na ukirudiana nae anajua unampenda sana.

Hahahaa

Umenichekesha sana mkuu...
 
Huhitaji kuwa na PHD kwa hili kwani hapo hamna kitu, kwa ulimwengu wa digitali huu namba yako anaijua, facebook, sijui insta...nini kote kama angekutafuta angekupata in advance kabla hata ya kukutana na vogue
 
education.gif


offtopic.gif
 
Stori nyingine bwana.......umeazima gari la mwanao....hadi mwanao ana gari tena R/Rover Vague maana yake ww ni mtu mzima sana .......umeachana na huyo girl wako miezi6 iliyopita na bado unampenda pamoja na kwamba alikumwaga. Hivi mtu umri wa kwako ni wa kubabaika na mapenzi ya akina girl?????? Yeye yupo chuo mlimani anasomea udaktari..... Udaktari wa binadamu au PhD???????? Kwa vyovyote alivyo, wewe na yeye wote mawenge. Stori yako haiingii masikioni mwa mtu mwenye akiri. Kawatafute mbulula wenzio na uludi ukajipange upya.

Acha kumshambulia mwenzio na kumuita mbulula. Huwezi jua mbulula ni nani kati yako na yeye. Mi nimesoma uzi mara 1 tu lakini nakumbuka amesema girl yuko Muhimbili, sasa sijui wewe Mlimani umeitoa wapi. Halafu sijajua unawezaje kukadiria umri wa mtu kwa kuangalia gari aliloazima au kumiliki. halafu sijui inawezekana vipi kukadiria umri wa mtu kwa aina ya gari analomiliki!
 
Kuna tofauti ya tamaa na mapenzi, sasa mbaya zaidi kwako dada wala hajakutamani wewe bali hilo range.
 
Back
Top Bottom